wakuu sina hakika kama hapa ni mahali pake.
naomba msaada jinsi ya kubadilisha jina kwani
ningependa kubadili jina nitumialo "kafara". hata hivyo nimeshindwa
pata jinsi ya kufanya hivyo.
kwenye profile wala setting sijaona sehemu inayowezesha kufanya hivyo.
natanguliza shukurani zangu
jamaa yangu kaniomba ushauri.
anadai jana asubuhi kamwona mkewe akivaa
na kila kitu kilikuwa salama, lakini jioni mkewe
aliporudi wakati anabadilisha nguo akaona kwamba
mkewe amegeuza chupi yake nje ndani.
sasa anajiuliza imekuwaje amkewe arudi amegeuza
kufuli? au ndio jamaa wameishamsaidia...
cocacola, ibm, nokia, nk zinahesabika kwamba ni "brands" zenye thamani sana. kwa maana nyingine "brands" hizi zinaheshimika kwa nguvu zake sokoni. makampuni yenye brands hizi yanawivu sana na brands zake na siku zote yapo makini na tayari kuzilinda brands hizo. kuondoka kwa meneja mkuu au...
huyu njemba awali alikuwa mwanamke kisha kwa utaalamu wa
sasa akawa "mwanamume" lakini akabakiza njia za kupata mimba
na kuweza kupata watoto. sasa anatarajia kujifungua mtoto
wa pili akiwa "mwanamume".
inaelekea "njemba" inataka kuwa kote kote...
mkutano wa sullivan kumalizika na wachambuzi wanachambua kama mkutano huo umekuwa wa mafanikio kwa watanzania au ndio watanzania
tumeuziwa mbuzi kwenye gunia. leo katika pita pita yangu nimekutana
na habari za maadalizi wa mkutano mwengine utakaofanyika
mwezi oktoba 2008 jijini dar katika...
wakuu, mimi sio mtu wa teknolojia ya mtandao ila nimekutana na
hii software nimeisoma na nikaona bora niwajulishe wengine kama bado hawajaifahamu inapatikana hapa
http://moodle.org/
pamoja na hayo katika ukurasa wa jumuiya ya moodle tanzania nimekuta bendera inayofanana na ya iraq badala...
Kutokana na hali ya kisiasa na kiuchumi inayoendelea hapa Bongo, nimejikuta nikijiuliza, "Je, inawezekana na CCM nao wanajifunza?" Swali hili limenijia baada ya kutafakari majibu yanayotolewa na CCM na serikali ya CCM kwa hoja mbalimbali zinazotolewa na wadau kuhusu mstakabali wa kisiasa na...
Mengi yamesemwa kuhusu Mzee wetu huyu na sisi tuliokuwa shuleni wakati ule tulilishwa kile ambacho naamini ni sumu. Wakubwa tuelimisheni ukweli kuhusu Mzee huyu.
Oscar Kambona
Hii ameandika Simon Martha Mkina
Natumaini waandishi wa historia ya tanzania watampa nafasi yake kwa mchango mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.