je inawezekana?

Kafara

JF-Expert Member
Feb 17, 2007
1,396
411
wababa wanachugua mabinti wadogo wadogo wanaitwa sukari baba.
na akina sukari mama nao hawako nyuma kwa kufuata serengeti boy.

swali ninalojiuliza je inawezekana binti ambaye uchache (pesa) umemtembelea
akawa hapendi vijana wenzake ila anawazimia wale waliomzidi umri na yuko
tayari kutumia pesa ili ataoke na "mzee"?

nauliza hivi kwa sababu nafahamu wapo wanaume ambao wenyewe wanapenda wanawake waliowazidi umri na wala sio kwa ajili ya pesa yao bali wao wanasema wanaburudika zaidi wakitoka na wanawake waliowazidi umri.
 
Mkuu binafsi naona kama hiyo inategemeana tu na uchaguzi wa mtu binafsi na wala haihusiani na uwepo wa Masugar-Dad wala masugar-mammy.. Kwa sababu wapo vijana wa kiume ambao huona kama kutembea na mabinti ni usumbufu kwa kuwa wanakuwa na mambo mengi (bado damu inawachemka) Na pia wapo wasichana ambao hu-prefer wababa kwa sababu hizo hizo.. Hivyo kwa mtazamo wao, kutoka na mtu aliyemzidi umri inamsaidia kupunguza presha ya kukimbizana na damu changa wenzie..

Mtazamo wangu.
 
Mkuu binafsi naona kama hiyo inategemeana tu na uchaguzi wa mtu binafsi na wala haihusiani na uwepo wa Masugar-Dad wala masugar-mammy.. Kwa sababu wapo vijana wa kiume ambao huona kama kutembea na mabinti ni usumbufu kwa kuwa wanakuwa na mambo mengi (bado damu inawachemka) Na pia wapo wasichana ambao hu-prefer wababa kwa sababu hizo hizo.. Hivyo kwa mtazamo wao, kutoka na mtu aliyemzidi umri inamsaidia kupunguza presha ya kukimbizana na damu changa wenzie..

Mtazamo wangu.

Wanawake wengi wanataka watu watakaokua wakiwapa pesa pia. Mwanamke hata awe na hela kiasi gani,anapenda kuona mume anaprovide for her. They are just like that.
 
Wanawake wengi wanataka watu watakaokua wakiwapa pesa pia. Mwanamke hata awe na hela kiasi gani,anapenda kuona mume anaprovide for her. They are just like that.

hapo ndipo lilipo swali langu. yaani binti anayopesa yake anakwenda sehemu
kujilengesha kwa njemba iliyomzidi umri ili wastarehe. hapa binti haitaki wala kuitamani pesa ya mwanaume bali anaona raha tu kuchukuliwa na jamaa aliyemzidi umri.
 
Mkuu binafsi naona kama hiyo inategemeana tu na uchaguzi wa mtu binafsi na wala haihusiani na uwepo wa Masugar-Dad wala masugar-mammy.. Kwa sababu wapo vijana wa kiume ambao huona kama kutembea na mabinti ni usumbufu kwa kuwa wanakuwa na mambo mengi (bado damu inawachemka) Na pia wapo wasichana ambao hu-prefer wababa kwa sababu hizo hizo.. Hivyo kwa mtazamo wao, kutoka na mtu aliyemzidi umri inamsaidia kupunguza presha ya kukimbizana na damu changa wenzie..

Mtazamo wangu.

kweli kwa vijana wa kiume wapo ambao wao bila kuchukua mwanamama waliowazidi umri hawaoni starehe. tena hata kama pesa watatumia mradi atoke na mama aliomzidi umri. bahati mbaya sijaona binti ambaye yeye anazimia tu wanaume waliomzidi umri na si kwa sababu ya security wala pesa bali anapenda tuu. ndio maana nauliza wapo hao?
 
Sichaguwi ,imani yangu kuwa kila mmoja ana laza yake .inabidi iwe una onja onja huku na kule ili kupata pale unapoona ni heri yako,hata ukienda madukani unachagua na kama haitoshi siku hizi maduka mingi wana sehemu chemba ya kujipima ,tatizo wanawake nasikia wanajipima mpaka underwear na saa ingine ndio haivui ,anaingia na tatu anatoka na mbili ,sijui wanakuwaje ?
 
kweli kwa vijana wa kiume wapo ambao wao bila kuchukua mwanamama waliowazidi umri hawaoni starehe. tena hata kama pesa watatumia mradi atoke na mama aliomzidi umri. bahati mbaya sijaona binti ambaye yeye anazimia tu wanaume waliomzidi umri na si kwa sababu ya security wala pesa bali anapenda tuu. ndio maana nauliza wapo hao?
wapo kabisa mabinti wanaopenda wanaume waliozidi umri si kwa pesa wala security ila kwa upendo wa dhati kabisa.
 
Back
Top Bottom