Kafara
JF-Expert Member
- Feb 17, 2007
- 1,396
- 411
wababa wanachugua mabinti wadogo wadogo wanaitwa sukari baba.
na akina sukari mama nao hawako nyuma kwa kufuata serengeti boy.
swali ninalojiuliza je inawezekana binti ambaye uchache (pesa) umemtembelea
akawa hapendi vijana wenzake ila anawazimia wale waliomzidi umri na yuko
tayari kutumia pesa ili ataoke na "mzee"?
nauliza hivi kwa sababu nafahamu wapo wanaume ambao wenyewe wanapenda wanawake waliowazidi umri na wala sio kwa ajili ya pesa yao bali wao wanasema wanaburudika zaidi wakitoka na wanawake waliowazidi umri.
na akina sukari mama nao hawako nyuma kwa kufuata serengeti boy.
swali ninalojiuliza je inawezekana binti ambaye uchache (pesa) umemtembelea
akawa hapendi vijana wenzake ila anawazimia wale waliomzidi umri na yuko
tayari kutumia pesa ili ataoke na "mzee"?
nauliza hivi kwa sababu nafahamu wapo wanaume ambao wenyewe wanapenda wanawake waliowazidi umri na wala sio kwa ajili ya pesa yao bali wao wanasema wanaburudika zaidi wakitoka na wanawake waliowazidi umri.