Kafara
Platinum Member
- Feb 17, 2007
- 1,397
- 434
huyu njemba awali alikuwa mwanamke kisha kwa utaalamu wa
sasa akawa "mwanamume" lakini akabakiza njia za kupata mimba
na kuweza kupata watoto. sasa anatarajia kujifungua mtoto
wa pili akiwa "mwanamume".
inaelekea "njemba" inataka kuwa kote kote.
http://blogs.suntimes.com/oprah/2008/1/pregnant_man_who_was_on_oprah.html
sasa akawa "mwanamume" lakini akabakiza njia za kupata mimba
na kuweza kupata watoto. sasa anatarajia kujifungua mtoto
wa pili akiwa "mwanamume".
inaelekea "njemba" inataka kuwa kote kote.
http://blogs.suntimes.com/oprah/2008/1/pregnant_man_who_was_on_oprah.html