wakuu wa jukwaa hili naombeni msaada juu ya tatizo hili kwenye computer yangu ambapo natumia hp ( window 10 ) ila kuna huu ujumbe nimekua nikiupata ukinitaka ku activate window mwenye uelewa juu ya hili naomba anieleweshe
Kwa wale mliozoea kuuziwa simu fake tambua kama simu yako ni original au fake kwa kutumia IMEI ambayo unaipata kwa kubonyeza *#06# kisha angalia namba ya 7 na ya 8
Best Way to Know Your Phone
Better and originality:-
Look at the 7th and 8th digit of
your IMEI. These two digits will
ensure...
Pamoja na serikali kumwaga hela za kujikimu kwa wanafunzi wa Elimu ya juu bado wanafunzi ambao wamefanya "Transfer" wameendelea kuteseka kwani tangu wahamie kwenye vyuo vipya hawajawahi kupewa hela zao za kujikimu mpaka leo.
Bodi ya mikopo kuweni na huruma na hawa wadogo zetu kwani...
The student with Index number 'S1206.0118.2012' did not secure a higher education loan for 2015/16 academic year in the Lots 1, 2 & 3 (New) of allocations.
Wataalamu wa jiolojia wameitwa
kuchunguzwa ni jinsi gani ardhi
ilipasuka na kumeza magari 12 katika
maegesho ya magari jijini
Mississippi.
Shimo kubwa, la urefu wa futi 400
(120m) na upana wa futi 35 (11m),
lilitokea baadaye Jumamosi katika
eneo la Meridian, karibu na barabara
kuu ya...
habarini wakuu wa jukwaa hili yapo maneno ambayo kwa
hakika yamekua yakitumika kwenye
jamii yetu na kuonekana ni matusi ila
kwa upande mwingine yakionekana
sio matusi. Mwenye kujua maana
halisi ya maneno haya na matumizi
yake naomba anitoe kwenye utata
huu
1.Mpumbavu
2.Falaa
3.Mjinga...
habarini wakuu wa jukwaa hili la lugha yapo maneno ambayo kwa hakika yamekua yakiitumika kwenye jamii yetu na kuonekana ni matusi ila kwa upande meingine yakionekana sio matusi. Mwenye kujua maana halisi ya maneno haya na matumizi yake naomba anitoe kwenye utata huu
1.Mpumbavu
2.----
3.Mjinga...
naona hii system inazidi kupoteza ubora wake kila siku na kuzidi kuzima ndoto za watu kuna dogo hapa kitaa ameshakata tamaa ya kujaza tena na anadai bora aende hata diploma ya course za Afya.
je kwa sasa anaweza kufanya aplication ya diploma kwa course za Afya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.