je? mpumbavu ni tusi

je? mpumbavu ni tusi

yampwai

Member
Joined
May 16, 2013
Posts
27
Reaction score
6
habarini wakuu wa jukwaa hili yapo maneno ambayo kwa
hakika yamekua yakitumika kwenye
jamii yetu na kuonekana ni matusi ila
kwa upande mwingine yakionekana
sio matusi. Mwenye kujua maana
halisi ya maneno haya na matumizi
yake naomba anitoe kwenye utata
huu
1.Mpumbavu
2.Falaa
3.Mjinga
4.Lofa
 
habarini wakuu wa jukwaa hili yapo maneno ambayo kwa
hakika yamekua yakitumika kwenye
jamii yetu na kuonekana ni matusi ila
kwa upande mwingine yakionekana
sio matusi. Mwenye kujua maana
halisi ya maneno haya na matumizi
yake naomba anitoe kwenye utata
huu
1.Mpumbavu
2.Falaa
3.Mjinga
4.Lofa
1.Mpumbavu (fool)
2.Falaa (perplexed/clueless)
3.Mjinga (ignorant)
4.Lofa (low life/lazy person/idler)
 
yote hayo si matusi ila ni maneno ya kutumia kwa tahadhari
 
Mpumbavu.

Nimejaribu tu, nacheza tu.

Wala usichukulie kivile, haya e...
 
Alikuwa mmojawapo wa ma-rahisi
watatu waliopita,kasaidia sana kubomoa
Democracy,kagawa vipande vya fedha vya kufa
mtu kule pande za Kanda ya
Ziwa,kura feki na vitisho vingi.
Ndio kinara wa kusema maneno ya
hovyo hata kuwaita wananchi
Malofa, wapumbavu,nk

Nafkiri ni vizuri tukamsubiri huko alikoenda arudi atupe majibu sahihi ya maneno hayo
 
mpumbavu maana yake ni mtu asiye fundiska
 
Nyerere akielezea tofauti kati ya ujinga na upumbavu.

Nami nakubaliana naye kabisa.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom