(na cde Agathon Simba Ulanga)
Baada ya kuisoma Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoitwa “Katiba Inayopendekezwa Oktoba 2014”, nilisema afadhali kuwa mchakato uliishia pale ulipoishia.
Kwani Rasimu ile ingekubaliwa na kupitishwa, historia ya Chama cha Mapinduzi (CCM)...
ROLE AND SIGNIFICANCE OF TRIBAL NORMS IN GOOD GOVERNANCE AND CHINA`S EVIL PLAN FOR AFRICA.
NA Cde a.s. Ulanga
Napenda kutoa maoni yangu kuhusu haya mambo mawili ambayo nimeyasoma katika Group, ulilolianzisha.
Mjadala wa “Significance of Tribal Norms in Good Governance” unaonyesha kuwa kuna...
EDPOS ni mfumo uliotengenezwa na vijana wa Kitanzania ambao upo mahususi kwa ajili ya kusimamia biashara yako. Biashara ambayo inawezwa kusimamiwa na huu mfumo ni kama vile: -
Maduka Makubwa (Super-market)
Duka...
Chadema na “ngekewa” kisiyoweza kuitumia ipasavyo
CHAMA kikuu cha upinzani hapa nchini, Chadema, kimeonyesha kwamba ukuu wa upinzani kilio nao umepatikana tu kwa kitu ambacho vijana wa mitaani wanakiita “ngekewa”, na wala sio umakini ambao unaweza kutathiminiwa na kuonekana kuwa chama...
Magufuli kawaondolea Watanzania majuto
Na Zacharia Biseko Zacharia
KWA muda mrefu maisha ya Watanzania yameendeshwa kwa dhambi kuanzia juu kwenda chini na kuanzia chini hadi juu, yamekuwa hivyo kwa kiwango cha kutisha. Ilifika wakati baadhi ya wananchi wakawa wanajuta ni kwa nini walizaliwa...
Edward Snowden Is Acting Very Strange Inside Russia
Russian spy-watcher Andrei Soldatov on Snowden's strange behavior in Russia, the Nemtsov assassination, and signs of a power struggle in Putin's inner circle.
Andrei Soldatov's beat is Russian spies, which is a hot topic for a new cold war...
SALAAM KWA MH. EDWARD LOWASA NA WENZAKE KUHUSU KUSEMA UKWELI (TRUTH) NA SUALA ZIMA LA UADILIFU NA UWAJIBIKAJI WA VIONGOZI TANZANIA
Nimemsoma Askofu Mokiwa kuhusu uadilifu na uwajibikaji wa viongozi wa serikali. Nianze kwa nukuu ya Sir Francis Bacon; samahani kwa kuileta kwenu kwa kiingereza...
Thousands of Germans have staged a protest rally to express their anger at the West's warmongering policies against Russia over the ongoing crisis in Ukraine.
At least 3,500 people took part in the protest, organized by the German Peace Movement, in the capital Berlin on Saturday.
The...
Russian President Vladimir Putin has the world in his hands, according to Forbes.
Vladimir Putin Russian President Vladimir Putin has the world in his hands, according to Forbes.
Forbes has just declared Russian President Vladimir Putin to be the most powerful person on Earth.
"As the...
Tumefanikiwa katika lipi? ambalo tunaweza tamba nalo kifua mbele!
Hivi tumefanikiwa katika nyaja ipi ya maendeleo ya nchi yetu? yale ya msingi, Yataje hapa:-
Na kutokana na uwepo wa vyama vingi vya upinzani hapa nchini, Serikali yetu inaonaje kupunguza idadi ya vyama vya upinzani hapa nchini...
Wapendwa ningependa kufahamu kama Nchi yetu ya Tanzania bado tuna mahusiano mazuri na Urusi? Kama bado yapo mbona sijawai ona au kusikia kama Rais wangu JK mewai kuzuru Moscow-kremlin
TUMWOMBE MUNGU ATUPE UELEWA WA PAMOJA WA MANENO, NCHI, TAIFA, SERIKALI NA KATIBA ILI TUPATE MUAFAKA WA KATIBA YA
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
Na A.S. Ulanga, Tel: 0784 283520
ulangasimba@yahoo.com
Nimewasilikiza na nimewaona watu wengi wakiwemo viongozi wa Dini, wakisema na kujadili...
Wapendwa Habari zenu
Ninahitaji mwongozo wa kufungua kampuni ya uwakala wa bima. Na ni kampuni gani ya bima ambayo iko vizuri kwenye soko na haitaniwia vigumu kushawishi wateja wangu kujiunga nayo. Naombeni Dondoo (Procedure)
Nawasilisha
Asanteni
Wadau,
Napenda kujuzwa kama message za whatsapp zinakuwa traced na zawezwa kuwa printed na hawa jamaa, Najua BBM haziwezi kuwa traced na kuwaprinted. lakini hizi za whatsapp ikoje?
Ahsanten
Russian President Vladimir Putin (L) welcomes Chinas President Xi Jinping during a summit in Saint Petersburg.
The Chinese government is one international player that benefits from the recent struggle between Russia and the United States over the Ukraine crisis, an analyst says.
In an...
MODEL: RANGE ROVER,Diesel engine.
Engine model: BMW CAPACITY CC2500
KM 125385
Contact: 0715550330
NB: iko kwenye hali nzuri inatembea na pia ina heavy sound system
]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.