Mke Wangu Amegraduate Chuo Cha Ualimu Tukuyu Diploma Yake Mwaka 2015 na Kupata GPA ya 3.0 kwa Mujibu wa Matokeo ya NECTA.
Mwaka 2017 Akataka Kujiendeleza Kwa Kusoma Digrii Yake OPEN UNIVERSITY Akapewa Sharti Atafute Uthibitisho NACTE Kwa Sababu Cheti Chake Hakikuwa na GPA .
Basi Tukalipia...
Wadua naomba kujua kama sheria zinaruhusu vijana wetu wa sekondari kuanzisha matawi ya vyama vyao hasa chama tawala mashuleni maana nimeshangazwa kuona vijana wa chama cha mapinduzi wakiwa wameanzisha tawi la chama chao hapa shuleni.
Nina Simu Yangu ni Samsung GT S55701 Shida ni Kuwa Ina External Memory ya 8GB na Iko Tupu Wakati Internal Imejaa Sasa Ninapojaribu Kuhamishia Kwenye External App Zinagoma Nifanyeje?
Nina Mashaka Sana na Viongozi Wa CHADEMA Kwani Pamoja na Hali Kuonyesha Wazi Kuwa Chama Chao Kinahali Mbaya Kwa Sasa Bado Wanaujasiri wa Kusimama na Kujisifia Mafanikio Mufilisi Kabisa Katika Chaguzi Ndogo Zinazoendelea Hapa Nchini, Binafsi Nadhani Umefika Muda wa Kujitadhimini Kama Chama na...
Chadema hii ya mbowe ingekuwa madarakani yafuatayo yangetokea;
1.wakosoaji wote wa serikali wangekuwa wamefungwa kwa uhaini ama wangefutiwa uraia wao na kutakiwa kuondoka nchini.
2. Magazeti aina ya mawio na yanayofanana nayo yangekuwa jela siku moja tu baada ya toleo la kwanza.
3...
Wanajavi natanguliza samahani kwa watakao kwazika kwa namna moja au nyingine na hili....binafsi nikiwa kijana mpenda mabadiliko ktk nchini yangu hii napata shida sana na ni muda sasa kwanini mtu ukijaribu kuhoji kwa nia njema kabisa na kwa mantiki jambo lolote juu ya chadema kwa ujumla wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.