Search results

  1. Tsakhodegha

    NACTE NA NECTA nani mwenye mamlaka ya kucompute/ kupanga GPA ya Walimu wa Diploma ambao vyeti vyao havina GPA hasa 2015?

    Mke Wangu Amegraduate Chuo Cha Ualimu Tukuyu Diploma Yake Mwaka 2015 na Kupata GPA ya 3.0 kwa Mujibu wa Matokeo ya NECTA. Mwaka 2017 Akataka Kujiendeleza Kwa Kusoma Digrii Yake OPEN UNIVERSITY Akapewa Sharti Atafute Uthibitisho NACTE Kwa Sababu Cheti Chake Hakikuwa na GPA . Basi Tukalipia...
  2. Tsakhodegha

    Hivi inaruhusiwa kuanzisha tawi la chama cha siasa shuleni?

    Wadua naomba kujua kama sheria zinaruhusu vijana wetu wa sekondari kuanzisha matawi ya vyama vyao hasa chama tawala mashuleni maana nimeshangazwa kuona vijana wa chama cha mapinduzi wakiwa wameanzisha tawi la chama chao hapa shuleni.
  3. Tsakhodegha

    Tafadhalini Wadau Nisaidieni

    Nina Simu Yangu ni Samsung GT S55701 Shida ni Kuwa Ina External Memory ya 8GB na Iko Tupu Wakati Internal Imejaa Sasa Ninapojaribu Kuhamishia Kwenye External App Zinagoma Nifanyeje?
  4. Tsakhodegha

    CHADEMA hali yenu ni mbaya jitafakarini tena

    Nina Mashaka Sana na Viongozi Wa CHADEMA Kwani Pamoja na Hali Kuonyesha Wazi Kuwa Chama Chao Kinahali Mbaya Kwa Sasa Bado Wanaujasiri wa Kusimama na Kujisifia Mafanikio Mufilisi Kabisa Katika Chaguzi Ndogo Zinazoendelea Hapa Nchini, Binafsi Nadhani Umefika Muda wa Kujitadhimini Kama Chama na...
  5. Tsakhodegha

    Chadema hii ya mbowe ingekuwa madarakani

    Chadema hii ya mbowe ingekuwa madarakani yafuatayo yangetokea; 1.wakosoaji wote wa serikali wangekuwa wamefungwa kwa uhaini ama wangefutiwa uraia wao na kutakiwa kuondoka nchini. 2. Magazeti aina ya mawio na yanayofanana nayo yangekuwa jela siku moja tu baada ya toleo la kwanza. 3...
  6. Tsakhodegha

    Hivi kwanini ukihoji mambo fulani juu ya Dr. Slaa na Mbowe unaonekana msaliti?

    Wanajavi natanguliza samahani kwa watakao kwazika kwa namna moja au nyingine na hili....binafsi nikiwa kijana mpenda mabadiliko ktk nchini yangu hii napata shida sana na ni muda sasa kwanini mtu ukijaribu kuhoji kwa nia njema kabisa na kwa mantiki jambo lolote juu ya chadema kwa ujumla wake...
  7. Tsakhodegha

    Hi JF Members!

    Hopfly to Cooperate Wit u.......Pse Let Mi Kno ABCs of out here
Back
Top Bottom