Tsakhodegha
Member
- Mar 16, 2013
- 27
- 13
Wanajavi natanguliza samahani kwa watakao kwazika kwa namna moja au nyingine na hili....binafsi nikiwa kijana mpenda mabadiliko ktk nchini yangu hii napata shida sana na ni muda sasa kwanini mtu ukijaribu kuhoji kwa nia njema kabisa na kwa mantiki jambo lolote juu ya chadema kwa ujumla wake unaonekana mpinga ukombozi, msaliti, kibaraka wa ccm na mengine ya aina hiyo.
Hivi ni kweli kwamba vijana tulio wengi tuna mapenzi ya kufa na kuzikana na vyama vyetu vya siasa kuliko nchi yetu? Hivi haya mapenzi mazito kwa vyama vyetu vya siasa yametufanya tuache kutumia mantiki katika kuhoji mambo badala yake hisia?
Niwaombe vijana wenzangu kwa mwendo huu hatutafika embu tuweke maslahi mapana ya nchi yetu mbele then vyama vyetu vya siasa.....na huu utamaduni wa kuogopa kukosoa jambo kisa nitaonekana msaliti, natumika haujengi vyama vyetu bali unavibomoa.....daima tusimamie hoja za msingi regardless zimetoka upande gani.......nimalizie kwa kusema dr.slaa na mbowe ni binadamu wala si malaika hivo panapotakiwa kukosolewa wakosolewe na wakosoaji wasionekane matarishi......
Ni mawazo tu.
Hivi ni kweli kwamba vijana tulio wengi tuna mapenzi ya kufa na kuzikana na vyama vyetu vya siasa kuliko nchi yetu? Hivi haya mapenzi mazito kwa vyama vyetu vya siasa yametufanya tuache kutumia mantiki katika kuhoji mambo badala yake hisia?
Niwaombe vijana wenzangu kwa mwendo huu hatutafika embu tuweke maslahi mapana ya nchi yetu mbele then vyama vyetu vya siasa.....na huu utamaduni wa kuogopa kukosoa jambo kisa nitaonekana msaliti, natumika haujengi vyama vyetu bali unavibomoa.....daima tusimamie hoja za msingi regardless zimetoka upande gani.......nimalizie kwa kusema dr.slaa na mbowe ni binadamu wala si malaika hivo panapotakiwa kukosolewa wakosolewe na wakosoaji wasionekane matarishi......
Ni mawazo tu.