Tsakhodegha
Member
- Mar 16, 2013
- 27
- 13
Chadema hii ya mbowe ingekuwa madarakani yafuatayo yangetokea;
1.wakosoaji wote wa serikali wangekuwa wamefungwa kwa uhaini ama wangefutiwa uraia wao na kutakiwa kuondoka nchini.
2. Magazeti aina ya mawio na yanayofanana nayo yangekuwa jela siku moja tu baada ya toleo la kwanza.
3. Maandamano yawayo yeyote yangepigwa marufuku isipokuwa yale ya kusifia serikali yake pekee.
4. Ingekuwa marufuku kulitaja jina la mtukufu raisi mbowe kwa namna yeyote yenye mwelekeo wa kukosoa ama kupinga na kutoridhishwa na namna serikali yake inavokabiliana na changamoto za wananchi wake.
5. Ingekuwa ngumu kuachia madaraka kwa kisingizio kuwa bado nchi haijatengemaa kiuchumi na kwamba hawezi kabidhi nchi kwa mtu asiyemjua.
Ni mawazo tu sio lazima ucomment kamanda
1.wakosoaji wote wa serikali wangekuwa wamefungwa kwa uhaini ama wangefutiwa uraia wao na kutakiwa kuondoka nchini.
2. Magazeti aina ya mawio na yanayofanana nayo yangekuwa jela siku moja tu baada ya toleo la kwanza.
3. Maandamano yawayo yeyote yangepigwa marufuku isipokuwa yale ya kusifia serikali yake pekee.
4. Ingekuwa marufuku kulitaja jina la mtukufu raisi mbowe kwa namna yeyote yenye mwelekeo wa kukosoa ama kupinga na kutoridhishwa na namna serikali yake inavokabiliana na changamoto za wananchi wake.
5. Ingekuwa ngumu kuachia madaraka kwa kisingizio kuwa bado nchi haijatengemaa kiuchumi na kwamba hawezi kabidhi nchi kwa mtu asiyemjua.
Ni mawazo tu sio lazima ucomment kamanda