INCHI 22 INA USB PORT, HDMI, EARPHONE PORT, DC AND AC ELECTRICITY 210,000 DSM HAINA TATZO LOLOTE BALI NATAKA CHUKUA 32 INCHI SERIOUSLY BUYER ONLY 0787 429 104. MBEZI LUIS.
Anayehitaji mtu wa kufanya kazi za uandishi wa habari au matukio au makala,mbalimbali zihusuzo siasa, jamii nipo hapa iwe ni kwenye blog au website nk.
Nicheck 0683666702
Nimevumilia ninashindwa, sasa Leo alfajiri wakati najiandaa kwenda job daah! Nikakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa, ukimuulza hayo majibu yake khaa! Jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na naamini kwenda job kwake hajaoga maana nilimuacha...
Ninapokea oder ya maziwa kuanzia Lita 20 ni wa ng'ombe wa kienyeji nakamua mi mwenyewe hakuna maji naruhusu upime kama kuna maji napokea oda za mahotel na binafsi napatikana Kongowe .
Lakini akihitaji namletea iwe kuanzia Lita 20 nasisitiza siweki maji na ni ya ng'ombe wa kienyeji nipigie au...
Wakuu,
Kuna jirani yangu ana mkewe kimsing huwa wanazozana lakini yanaisha sasa juzi jamaa akawa anamlalamikia mkewe kwanini hamjali mda wote yeye kakaa na dada wa kazi jamaa yuko sitting room mwisho wa siku ikabidi jamaa amuite mkewe waongee tatizo nini jibu alilotoa mke ni kumwambia jamaa...
Sofa za leza kubwa la watu wawili na mawili ya mtu mmoja mmoja hayana michubuko,godoro imara na ni za ksasa zmenunuliwa mwezi wa pili bei ni 350,000 serious buyer only. ZINAPATIKANA GOBA, piga 0659 174 311 au 0755 914 977.
Haya serious buyer tu kama unahitaji sub woofer inapatikana kwa elfu 60 imenunuliwa mwez wa pili haina kasoro wala michubuko ina fm radio, remote, mahala pa kuchomeka flash na memory card na haijawahi pelekwa kwa fundi INAPATIKANA GOBA, piga 0659 174 311 au 0755 914 977.
Ni ajabu sana hii barabara imejengwa na wajapan lakin cha ajabu imekamilika pasipo kuwekewa taa na mi nnavyojua barabara ikijengwa lazma iwekewe taa lakin hii n tofauti au ndo tuamin makanjanja na majizi wa nchi hii wamekwapua pesa ya taa? Maana hawachelewi baadae kuja kuchangsha wananchi kwamba...
Kuna rafiki yangu ana mke wake, usiku mmoja wakati wamelala mida ya saa saba usku akaota anaona wachawi wanaingia chumbani mmoja kapanda fisi wengine kama watatu wanatembea.
Mara akaanza pambana nao huku akisema kwa jina la Yesu akafanikiwa kumkamata mmoja akaanza kumpiga sana ile anakuja stuka...
Wakuu naombeni msaada kwa hii ndoto nimeota nikiwa natembea na mdogo wangu mara nikaona majoka mawili njiani moja kubwa jingne dogo, nkaanza kupambana nayo nkafanikiwa kumuua mdogo, wakati naenda kuua yule joka mkubwa nkastuka ndotoni. JE MAANA YAKE NINI?
Mara nyingi wakiwa kwenye vijiwe vyao ama ofisini hasa wenye ndoa wengi wao huishia kuvunjiana ndoa tu,unakuta mwingine anamshiriksha mwenzie matatizo yake na mumewe utashangaa ushauri atakaopewa ni either achepuke or avunje ndoa kwanza ana kazi mwanaume wa nini.
Sasa cha ajabu huyo anaemshauri...
Wadau nahtaji photoprinter aina ya epson yenye tank za wino nje na camera ndogo ya laki 1, bt kwa njia ya mkopo talipa kila mwisho wa mwezi laki na nusu mi ni mwajiliwa mwalimu,tutaandkishana mpaka kwangu takufksha na mashahidi wako na wangu watashriki mwenye nayo,tafadhari iwe nzma kama ikiwa n...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.