Barabara ya Tegeta-Mwenge kukosa taa

madiya85

JF-Expert Member
Mar 5, 2013
282
65
Ni ajabu sana hii barabara imejengwa na wajapan lakin cha ajabu imekamilika pasipo kuwekewa taa na mi nnavyojua barabara ikijengwa lazma iwekewe taa lakin hii n tofauti au ndo tuamin makanjanja na majizi wa nchi hii wamekwapua pesa ya taa? Maana hawachelewi baadae kuja kuchangsha wananchi kwamba tuchangie maendeleo ili waweke taa, maana walijenga shule za kata paspo maabara leo hii yamekuja eti kuchangsha kwa lazma tena wakataka kukata mpaka mishahara yetu ili wajenga maabara, at ze same time wanagawa.na kodi zetu wakdai n pesa ya mboga,ugolo,madafu. TUNATAKA TAA
 
Ni ajabu sana hii barabara imejengwa na wajapan lakin cha ajabu imekamilika pasipo kuwekewa taa na mi nnavyojua barabara ikijengwa lazma iwekewe taa lakin hii n tofauti au ndo tuamin makanjanja na majizi wa nchi hii wamekwapua pesa ya taa? Maana hawachelewi baadae kuja kuchangsha wananchi kwamba tuchangie maendeleo ili waweke taa, maana walijenga shule za kata paspo maabara leo hii yamekuja eti kuchangsha kwa lazma tena wakataka kukata mpaka mishahara yetu ili wajenga maabara, at ze same time wanagawa.na kodi zetu wakdai n pesa ya mboga,ugolo,madafu. TUNATAKA TAA
Sheria gani unatumia kuhalalisha uongo wako?
 
Ni ajabu sana hii barabara imejengwa na wajapan lakin cha ajabu imekamilika pasipo kuwekewa taa na mi nnavyojua barabara ikijengwa lazma iwekewe taa lakin hii n tofauti au ndo tuamin makanjanja na majizi wa nchi hii wamekwapua pesa ya taa? Maana hawachelewi baadae kuja kuchangsha wananchi kwamba tuchangie maendeleo ili waweke taa, maana walijenga shule za kata paspo maabara leo hii yamekuja eti kuchangsha kwa lazma tena wakataka kukata mpaka mishahara yetu ili wajenga maabara, at ze same time wanagawa.na kodi zetu wakdai n pesa ya mboga,ugolo,madafu. TUNATAKA TAA

Wajapani walitoa pesa ya Barabara peke yake, Hata pesa ya kuamisha services (Maji + Umeme) walikataa kutoa. Serikali ya TZ ilitakiwa kuongeze pesa ila ikasema priority yake ni kupeleka daraja Kigamboni maana uku ndiyo vigogo wameshika viwanja. Kwa sasa hivi ndiyo mchakato unafanyika wa kuweka taa + service road
 
Ni ajabu sana hii barabara imejengwa na wajapan lakin cha ajabu imekamilika pasipo kuwekewa taa na mi nnavyojua barabara ikijengwa lazma iwekewe taa lakin hii n tofauti au ndo tuamin makanjanja na majizi wa nchi hii wamekwapua pesa ya taa? Maana hawachelewi baadae kuja kuchangsha wananchi kwamba tuchangie maendeleo ili waweke taa, maana walijenga shule za kata paspo maabara leo hii yamekuja eti kuchangsha kwa lazma tena wakataka kukata mpaka mishahara yetu ili wajenga maabara, at ze same time wanagawa.na kodi zetu wakdai n pesa ya mboga,ugolo,madafu. TUNATAKA TAA

Wewe Umeona Taa Tu Wakati Unaambiwa Kuwa Hata Tu Upana Wake Kuna Watu Wamekula Hela Ili Upunguzwe Na Kama Hilo Nalo Halitoshi Jiulize Ni Kwanini Hakujawekwa Njia Maalum Ya Magari Yanayotaka Kuingia Upande Wa Pili Kuwa Na Lane Yake. Kwamfano Barabara Karibu Zote Ally Hassan Mwinyi, Kawawa Road, Pugu Road Na Nyinginezo Kubwa Kuna Lane Maalum Ya Wanaoingia Upande Wa Pili ILA Nakuuliza Swali Njia Hiyo Ya Kuanzia Mwenge Kwenda Tegeta Kuna Diverting Lane Yoyote Hapo Tangi Bovu, Goigi Na Makonde? Lakini Diverting Lane Hiyo Cha Kushangazwa Imewekwa Africana Tu Na Mbuyuni. Na Labda Kwa Kukusaidia Tu Hili Ndilo Tatizo Kubwa Linalosababisha Ajali Za Mara Kwa Mara Kuanzia Tangi Bovu Hadi Makonde Kwani Unakuta Kuna Gari Inataka Kuchepuka Kuingia Upande Wa Pili Na Huku Nyuma Kuna Gari Inakuja Speed Na Kusababisha Kupiga Break Za Ghafla Na Kugonga Gari Za Mbele Na Ajali Nyingi Za Maeneo Hayo Ni Za Kubutuana Kwa Nyuma. Watu Wamekula Hela Kusiwekwe Hizo Diverting Lanes Na Kupunguzwa Upana Halisi Wa Hiyo Barabara Hivyo Watumiaji Wote Wa Hiyo Njia ( GENTAMYCINE Inclusive ) Ni Sawa Sawa Wizara Husika Na Tanroads Wametushikia Funguo Zetu Za Mortuary. Inasikitisha Sana Na Watu Tumeridhika Tu Halafu Yakitokea Ya Kutokea Tunaanza Kusema Bwana Ametoa Na Bwana Ametwaa au Utasikia Ni Kazi Yake Mwenyezi Mungu
 
Ni ajabu sana hii barabara imejengwa na wajapan lakin cha ajabu imekamilika pasipo kuwekewa taa na mi nnavyojua barabara ikijengwa lazma iwekewe taa lakin hii n tofauti au ndo tuamin makanjanja na majizi wa nchi hii wamekwapua pesa ya taa? Maana hawachelewi baadae kuja kuchangsha wananchi kwamba tuchangie maendeleo ili waweke taa, maana walijenga shule za kata paspo maabara leo hii yamekuja eti kuchangsha kwa lazma tena wakataka kukata mpaka mishahara yetu ili wajenga maabara, at ze same time wanagawa.na kodi zetu wakdai n pesa ya mboga,ugolo,madafu. TUNATAKA TAA
Bora wewe unalilia taa,njoo kwetu Mbagala walijenga hao hao Wajapan mpaka sasa tumeamriwa kupitia reserve road maana lami imechoka hata mwaka haina
 
Hata mi huwa nashangaa sana bara kama hiyo haina taa za barabarani.
Si hilo tu sijui TANROADS wako wapi, nusu au zaidi ya vibao vya kuonyesha alama za barabarani zimesha gongwa na zingine kutoweka kabisa.
Barabara imekuwa hatari, haipiti siku moja kunakuwa na ajali mbaya sana.
 
Relaxxxxx tutaziwekea taa barabara zooote kipindi cha uchaguzi.
Maji yatatoka kila mahali sehemu nyingine yameshaanza kipindi cha uchaguzi
Barabara za vumbi tutazipiga greda kipindi cha uchaguzi

Relaxxxxxx be happy.... kipindi cha uchaguzi.
huduma za mama na mtoto zitakuwa taaamu kipindi cha uchaguzi

Relaxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
 
Sheria gani unatumia kuhalalisha uongo wako?

tumia akili kdogo wewe gamba, je ni sheria gani unatumika kuchangsha wananchi pesa ya kujenga maabara tena kwa lazma? Kuhusu taa ile n barabara kuu na tokea nmefka dsm sjawahi ona barabara kuu inajengwa halafu isiwekewe taa, huu n upuuz na uwenda baada ya miaka kadhaa itakua n ufsad kwamba majiz ya nchi yalpga hela hapo, c hata hayo mabehewa mabovu ya india mnayotaka tudanganyia oct tayari imeonekana pesa imepgwa na majiz ya maccm.
 
Usanifu wa hii barabara ni janga kubwa. Ajali kubwa zilizosabisha na zinaendelea kusababisha maafa zinatokea na wahusika wanaangalia tu. Walistuka kidogo wakaweka matuta Lugalo jeshini, huku kwingine je? Nilipata ajali njia panda ya Goba mwezi wa nane mwaka jana na kama wahusika wapo hizi barabara za kuchepukia waziweke upesi maana tunakwisha. Hizo taa na service road ni vitu muhimu sana sijui hapa Magofuli alifunga kofuli kabisa au nini?
 
Relaxxxxx tutaziwekea taa barabara zooote kipindi cha uchaguzi.
Maji yatatoka kila mahali sehemu nyingine yameshaanza kipindi cha uchaguzi
Barabara za vumbi tutazipiga greda kipindi cha uchaguzi

Relaxxxxxx be happy.... kipindi cha uchaguzi.
huduma za mama na mtoto zitakuwa taaamu kipindi cha uchaguzi

Relaxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

barabara za vumbi zitapigwa greda kipindi cha uchaguzi tayari wameshaanza kuweka vifusi kwi kwi kwi!
 
aiseee babayangu iyo njia huwa nai2mia sana nikiwa nakwenda kwa mchepuko wangu pale africana huwa napata tabu sana nikifika njiaa panda kawe mpaka mwenge ni giza mwanzo mwisho
 
Kuna mambo ni suala la "civilization" zaidi kuliko uwezo. Mmasai au mgogo kulala katika nyumba iliyojengwa na kinyesi ni suala la "civilization" zaidi kuliko uwezo. Hivyo uchafu wa Watanganyika na kutoweka taa, ni suala la tabia/au "civilization" zaidi kuliko uwezo. Iko siku mtabadilika tu kama mlivyokuwa mkiogopa kujenga vyoo vya ndani ya nyumba enzi hizo. Watanganyika sie badoooo saaaana ktk kustaarabika. Huo ndo ukweli.
 
Umeniwahi tu
nilitaka anzisha thread
sio tu bagamoyo road hata kilwa road haikuwekwa taa
na hiyo barabara ya bagamoyo ndo hiyo hiyo mitaro haijafunikwa
inasababisha ajali na kukosekana kwa hizi diverting line na kuchakachua upana
na rais akaitwa kuzindua barabara hizi na waziri 'mchapakazi'
hii ndo TZ... EMT mjasiria Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Umeniwahi tu
nilitaka anzisha thread
sio tu bagamoyo road hata kilwa road haikuwekwa taa
na hiyo barabara ya bagamoyo ndo hiyo hiyo mitaro haijafunikwa
inasababisha ajali na kukosekana kwa hizi diverting line na kuchakachua upana
na rais akaitwa kuzindua barabara hizi na waziri 'mchapakazi'
hii ndo TZ... EMT mjasiria Nyani Ngabu

Na siyo taa za kuleta mwanga barabarani tu.

Hata taa za kuongoza magari pamoja na watembea kwa miguu.

Kuweka alama za pundamilia na kutegemea hisani ya madereva haitoshi.

Watembea kwa miguu nao wanapaswa kuwa na taa hususan pale Tangi Bovu na maeneo ya shule ya Makongo.
 
aiseee babayangu iyo njia huwa nai2mia sana nikiwa nakwenda kwa mchepuko wangu pale africana huwa napata tabu sana nikifika njiaa panda kawe mpaka mwenge ni giza mwanzo mwisho

Macho Tu Ya Wanajeshi Wa Lugalo Ni Taa Tosha Sasa Muwekewe Taa Tena Za Nini? Ili Uamini Kuwa Hapo Lugalo Na Wanajeshi Wao Wana Taa Wewe KINUKISHE Tu Halafu Utashangaa Watakavyotokea Kila Pembe Kisha Uanze Kukoga Vitasa Na Nakoz!
 
Back
Top Bottom