Habari za leo wanajamvi,
NINATUMA UZI HUU KUFUATIA UZI Nilioutuma Novemba 2008: Bado sijawapata ndugu zangu Joseph na Patrick (Watoto wa Afande Lemson Jonas Mgalla aka Afande SOKOMOKO WA MSALATO):
1. Patric ambaye mama yake ni Wanjila Zakaria. Patric alizaliwa Dodoma mwaka 1973 maeneo ya...
Habari wana Jamvi,
Sioni umuhimu wa Taa za kuongoza magari makutano ya Samnujoma/SIMU 2000 (Mawasiliano) wakati zinaruhusu magari yanayotoka Mwenge na Mawasiliano kwa pamoja?
kweli kabisa wenzetu waislam ni waaminifu na hufuata haki ukilinganisha na sisi Wakristo....Kielelezo kizuri hebu tazama matajiri wafanyabiashara waliowengi ni Waislam...Kingine tazama tawala zote 1,2,3,4,5 na 6....utagundua 2,4 na 6 zimekuwa tawala zenye HOFU NA MUNGU kuliko zingine...Achana na...
Kaka ninakupongeza kwa kuwa SMART na kurekodi. . .ijapokuwa sijapenda uliposema una mjomba wako MBUNGE. Kingune hilo jamaa na askari wenye uniform ni WAJINGA KWELI. Binafsi sio askari na sina mafunzo ya uaskari.....lakini kwa akili ya kawaida walijiweka ktk RISK .....maana jamaa wangekuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.