Gari nissan tiida inauzwa
Bei 4,500,000/-
Inahitaji service,kuweka Engine oil,Gear box oil,kubadilisha filter
Gharama ya fundi kwa service zote unakabidhiwa gari ni 500,000/-
picha check attachments
Gari lipo Dar,maeneo ya Airport
0629068815
Mtandao wa Nijuze ambao unamilikiwa na shirika lisilo la kiserikali la TYEEO limezindua mtandao wa kijamii utakao saidia wanataaluma na watu wenye vipaji mbalimbali kuandika machapisho mbalimbali kupitia mtandao huo na baadae kujiingizia kipato kupitia njia ya matangazo ya kibiashara yatakayo...
Baada ya mwaka mmoja na miezi kadhaa,idea yangu imekuja kuwa harisi baada ya kile nilicho kuwa nakiota kutimia.
Lengo langu lilikuwa ni kuunda mtandao wa kijamii ambao ungekuwa na mambo yafuatayo.
1.Watu wenye taaluma na vipaji waweze kupost articles zao zenye lengo la kuelimisha na...
Mtandao wa nijuze umeanzishwa rasmi kutumia vukiwa ni mtandao wa kwanza Tanzania kutumia vipaji na taaluma za watanzania katika kutangaza biashara na matangazo mbalimbali ya kibiashara.Watanzania ambao wana taaluma zao au vipaji wanaweza kushare kupitia nijuze na kujipatia kipato,Kama unajijua...
Maisha ya mtu yamejaa vitu vingi vya kuvutia,kufurahisha na vingine vya kusikitisha na kutisha.
Haijalishi ni jambo gani ulilonalo Nijuze inakupa nafasi ya ku-"share" na marafiki zako au watu wengine matukio au jambo lolote katika maisha.Kama vile;-
-Maisha
-Matukio
-Hadithi
-maigizo
-Elimu...
Wamiliki wa mitandao ya kijamii,
ambao wana followers wengi na hivyo kujipatia LIKES za kutosha
wataanza kulipwa kwa kila LIKE
wanayopata.
Thamani ya LIKE moja inaanzia Tsh 2/- hadi Tsh 10/-
Katika mfumo huu unaoitwa Pay Per Like(PPL),itamlazimu mmiliki wa mtandao wa kijamii kuweka tangazo la...
Wamiliki wa mitandao ya kijamii,
ambao wana followers wengi na hivyo kujipatia LIKES za kutosha
wataanza kulipwa kwa kila LIKE
wanayopata.
Thamani ya LIKE moja inaanzia Tsh 2/- hadi Tsh 10/-
Katika mfumo huu unaoitwa Pay Per Like(PPL),itamlazimu mmiliki wa mtandao wa kijamii kuweka tangazo la...
Hongera mjomba,kama kweli hukuonekana kutumika kama daraja!
Heshima yako itabakia kuwa juu daima,maana umekwepa meno ya wanasiasa kukutafuna kama muwa na mwisho kukutema ptuuuu!
Njaa mbaya,njaa yaweza kusababisha utu kupotea,wangapi wameuza utu wao ili tu mkono uende kinywani?
Kahaba...
Kati ya mashabiki waliokuwa wakikupigania huku mtaani Ni mm!
Kati ya mashabiki waliokuwa wakiperuzi page zako za facebook,instagram na tweeter kila saa Ni Mimi!
Kati ya shabiki ambaye nili kuwa nikiwachukia wabaya wako tena labda zaidi ya ulivyokuwa uliwachukia wewe Ni Mimi!
Kila...
Huduma za Afya mbovu,Ajira hakuna,Umeme leo mwezi wa tatu huu shida tupu.Harafu mtu leo anasimama jukwaani na ahadi zile zile baada ya kupewa uaminifu na wananchi na kutawala nchi hii miaka hamsini matokeo yake nchi imeachwa katika hali hii ya kusikitisha
wananchi tunaonekana wajinga.
Wakati...
Wakati mkoa wa Dar ulionekana kuwa nyuma kwenda sawia na muamko wa wananchi kutaka nabadiliko ya kisiasa huku ukionekana ni mkoa ambao ni ngome ya chama tawala;hatimae hali ya hewa imebadilika ghafla sasa kila kona unayo pita watu wanazungumzia kutaka mabadiliko wimbo unao imbwa ni...
Watu wameandika post kibao leo wakitoa tahadhari kwamba kutokana na vuguvugu la kisiasa leo kuwa moto dar TANESCO wanaweza kata umeme kabla ya taarifa za habari za usiku.
Kama utani vile umeme umekatwa kweli mida hiyohiyo ya kuanza kwa habari katika vtuo mbalimbali vya tv.
Pia inavyo...
Baadhi ya wajumbe wamempokea mwenyekiti wa ccm,wakati akiingia kwenye kikao leo asubuhi Ndugu Jakaya mrisho kikwete kwa nyimbo ya "Tunaimani na Lowasa oyaaaa oyaaa oyaaa x3.Badala ya kuimba tunaimani na Kikwete.
Kabla hali hiyo haijatulia wananchi waandamana nje ya jengo la mkutano la...
-Fundi umeme anahitajika kwa ajiri ya kufanya kazi ya hudumia mitambo ya umeme katika kiwanda cha kufyatua matofali Dar es salaam.
-Awe na elimu ya ufundi umeme kutoka vyuo vinavyo tambuliwa kisheria kuanzia veta na kuendelea
-Akiwa na elimu ya electronics kama ziada ni bora zaidi
-kazi ni full...
Wakuu tv yangu aina ya bush flat screen ina king'amuzi(DVB)kimejengewa ndani yake,niki search channel zote znazo rushwa na startimes znakuwa detected lakn hazioneshi!je kuna uwezekano wa kufanya zionekane hata kama kwa kulipia?je nkifunga settelite dish la kawaida kitafanya kazi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.