Kwa wale ambao wamekuwa wakidanganywa na kutembelea website kama www.taskto-job (toa alama ya dash) na nyingine nyingi hutakaa ulipwe maisha yako yote. Kuna watu wangu wakaribu ambao mpaka sasa wana $500 kwenye account zao za tasktojob lakini hawawezi kutoa na hii yote ni utapeli kwa watu...
Kamanda aliyehusika kumtesa Dr. Ulimboka na mmoja kati ya watu wanaounda tume ya kuchunguza unyama aliofanyiwa Dr. Ulimboka ameaibika mara alipoingia chumba alicholazwa Dr. Ulimboka aliweza kumtambua na kumwambia "Nirudishie simu na wallet yangu".
Kamanda alitoka wodini kainamisha kichwa...
RIPOTI KWA VYOMBO VYA HABARI.
UTANGULIZI
Baada ya kikao cha madaktari kilichofanyika leo tarehe 10/3/2012. Madaktari nchini kupitia chama cha madaktari Tanzania (MAT), tunapenda kutoa ufafanuzi ufuatao:
... 1. Jamii ielewe kuwa daktari kama binadamu mwingine anayefanya kazi Tanzania ana...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mahakama Kuu, Divisheni ya Kazi, leo (*Alhamisi Machi 8, 2012) *imetoa
... uamuzi wa kusitishwa mara moja kwa mgomo wa Madaktari ulioitishwa nchi
nzima tangu jana (*Jumatano Machi 7, 2012).
Katika amri yake ya pili, Mahakama Kuu pia imekitaka Chama cha...
Kutokana Taarifa zilizonifikia punde wakati nikipita katika hospitali zetu za rufaa na Kuongea na baadhi ya Madakatari kuna mpango ambao serikali ikiutekeleza itakuwa kwenye wakati mbaya na inawezekana ikamfanya mkuu wa nchi atishi uchaguzi wa uraisi mapema kabla ya 2015.
Mambo haya ni...
Pinda amekamilisha mkutano na waandishi wa habari hivi punde na meseji ya kubwa kwa madaktari ni kuwaambia kuwa serikali haiwezekani kushinikizwa na madaktari na kuwafukuza mawaziri Mponda na Nkya. Hivyo, kama wanataka kugoma, wagome tu.
Legal and Human Rights Centre
Mkutano wa Wanaharakati...
Legal and Human Rights Centre
Tangazo Mkutano na Waandishi wa Habari Kuhusu uwezekano wa kuwepo Mgomo Mwingine wa Madaktari Mwananchi yeyote anayeguswa na suala la tishio la mgomo wa madaktari, mnaalikwa kuhudhuria kwa wingi mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika kesho, Jumanne, Machi 6...
KIKAO NDO KINA ANZA Dr. Namala ameonge na anasisitiza kikao kiwe brief na detail, Dr. ulimboka kaongea amekwisha toa muhtasari wa mkutano wa tarehe 9/2/2012.
Dr. Namala anasisitiza sababu zilizosababisha kuhitilafiana/kutokukubaliana na meza ya majdiliano ya serikali. Madaktari wanatoa...
kutokana na wabunge kupenda posho na marupurupu mazuri na ubunge kuwa juu ya
Engineer
Daktari
Mwalimu
Mhasibu
Nesi
Secretary
Napendekeza walipwe kwa scale ya tanzani hivi kweli watakimbilia bungeni,Tanzania itakuwa na maendeleo
Kigezo kingine mbunge lazima awe na degree ya somo lolote...
pinda huwezi kutudharau madaktari kwa taarifa yako tuna uwezo wa kuondoka au kusoma vitu vingine poatgraduate. Kwa hiyo watch out hii vita utachemsha kwa sababu kutibu huwezi na umekurupuka.
watu wengi wanasiasa,raia wa kawaida wamekuwa wakipokea simu au message za vitusho kutoka kwa number zisizo julikana
tumesajili number lakini haisaidii. Hata kipindi cha uchaguzi zulitumika kuwakashifu watu.
Kutokana na taarifa yake ya jana kuwa ametatua matatizo mengi ya madktari na ukiangalia bado madktari wana matatizo lukuki,pili alikataa kuwasikiliza.
Nyoni,mtasiwa,mponda,nkya must go
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.