Uppuzi mtupu hakuna wakujiuzulu labda nyie madaktari muache kazi kwanza hakunaaliyewalizimisha kusoma udaktari ni usongo wenu tu wakusoma PCB sasa unawa cost huku tuliopiga coz za kijanja sasa tunakula bata tu katika serikali ya kifisadiKutokana na taarifa yake ya jana kuwa ametatua matatizo mengi ya madktari na ukiangalia bado madktari wana matatizo lukuki,pili alikataa kuwasikiliza.
Nyoni,mtasiwa,mponda,nkya must go
Uppuzi mtupu hakuna wakujiuzulu labda nyie madaktari muache kazi kwanza hakunaaliyewalizimisha kusoma udaktari ni usongo wenu tu wakusoma PCB sasa unawa cost huku tuliopiga coz za kijanja sasa tunakula bata tu katika serikali ya kifisadi
Madaktari mnapenda sana kujiona kuwa nyie ni Daraja la juu kumbe sio hivyo kabisa tambueni serikali ya Tanzania inawatumishi wakada nyingi na kila kada ni muhimu hata kama ni ya Dereva na Mhudumu wa ofic. Kama mnataka masilahi ya haraka rudini shule mkasome coz nyingine kama BCOM,MBA HRM Procurement kuliko kutukera na kelele zenu kila kukichaNaunga mkono
Tatizo la Madaktari nikujiona mko juu sana sivyoooo kabisa you just like other professional, pia mnatakiwa kukumbuka kuwa Binadamu hategemei Matibabu tu ili aweze kuishi by da way sisi huku bushi tunatiba na Nursing Officer hatuna shida na nyie kwani wao wanatosha kabisaHahahahaha Mkuu wewe unatibiwa na kina Babu Kalumanzila eh?! Umenifanya nicheke bila kupenda.
Haya bwana angalia wasichekuchoma sindano ya maji ukiugua
Tatizo la Madaktari nikujiona mko juu sana sivyoooo kabisa you just like other professional, pia mnatakiwa kukumbuka kuwa Binadamu hategemei Matibabu tu ili aweze kuishi by da way sisi huku bushi tunatiba na Nursing Officer hatuna shida na nyie kwani wao wanatosha kabisa
Tatizo lenu mnasumbuliwa na ulimbukeni tu mshahara mnaopata unawatosha kama hutaki kazi cmuache tu kwani watanzani wataishi tu hebu fikiria huko mawaliyani vivijijini hakuna madaktari na maisha yanasonga tu leo tishia nyau; Aidha hakuna mtu aliyewashikia Bango au kuwaladhimisha kusoma udaktari bali mliamua wenyewe hivyo unaweza kuacha kazi tu;Nursing officer? okay lucky are you guys.
But Mkuu sijaelewa unapolalamika kuwa Madr wanajifanya matawi kuliko professions nyingine? wamekosea kudai wanachodai au?
Matunda ya PCB ndio hayo lakini hawakulazinishwa ni ufinyu wao wa kufikiriMgomo: Hali ni mbaya
Watu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda, akisema yeye na timu yake hawawezi kujiuzulu kwa sababu ya mgomo wa madaktari, Kamati ya Muda ya Jumuiya ya Madaktari wanaoendelea na mgomo huo, jijini Dar es Salaam, imesema hawako tayari kumfuata Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ofisini kwake kwa ajili ya kufanya mazungumzo kuhusiana na madai yao.
Hivi serikali hii ni ya aina gani jamaa wamepiga shule nyundo(miaka) sama, shule ngumu vifaa hamna kisha mshahara wa maandamano, hii sikubali kila mtu afadhali awe muhasibu kama budii!
Tatizo lenu mnasumbuliwa na ulimbukeni tu mshahara mnaopata unawatosha kama hutaki kazi cmuache tu kwani watanzani wataishi tu hebu fikiria huko mawaliyani vivijijini hakuna madaktari na maisha yanasonga tu leo tishia nyau; Aidha hakuna mtu aliyewashikia Bango au kuwaladhimisha kusoma udaktari bali mliamua wenyewe hivyo unaweza kuacha kazi tu;
Uppuzi mtupu hakuna wakujiuzulu labda nyie madaktari muache kazi kwanza hakunaaliyewalizimisha kusoma udaktari ni usongo wenu tu wakusoma PCB sasa unawa cost huku tuliopiga coz za kijanja sasa tunakula bata tu katika serikali ya kifisadi
Nakumbuka tulipokuwa tunaingia kidato cha tatu enzi hizoooo Mwalimu akutuambi tuchague Comb ama sayansi ama ART, Vilaza wote wa kufikiri na mabingwa wa kukremisha wakachagua Sayansi PCB na kutamba kuwa wao wameula hahaaa but sisi wajanja wa kufikiri na wadadisi wa mambo tukaenda zetu ART shule lainiii hutoi hata jasho; du chuo miaka 3 then kazi nonooooo, Waasongo waliokimbilia PCB kwakuwa ni vilaza wa kufikiri Chuo miaka 6 du na kufanya kazi masaa 24 wakati sisi mwisho saa 8 mchana then tunaanza kula biaaa na dili za kuingiza fedha. Kwakuwa kupanga ni kuchagua vumilieni tu ndugu zangu siku zote wajinga ndio waliwao hapo mmenasa hamuwezi kujinasua mcheza sana tunawafutia na usajili[/Q
khaaaaaaa! duniani kuna mambo jamani
Hii ndio ile inayoitwa inferiority complex...hapa hujengi ila unabomoa na hutaki kuukubali ukweli kuwa wengi wa waliosoma PCB wana uwezo wa kusoma coz yoyote ya Art in a post graduate level..lakini ni wachache sana waliosoma Arts/Biashara wanaweza even kudare kusoma Sayansi....!Huu ni mtazamo wangu!!Ni kweli udaktari ni like any other professional....lakini tukubali its rare and life-based profession,mtu wa hivi kama kuna anachostahili na kipo ndani ya uwezo apewe na kama kweli hakipo aambiwe kiungwana.Nakumbuka tulipokuwa tunaingia kidato cha tatu enzi hizoooo Mwalimu akutuambi tuchague Comb ama sayansi ama ART, Vilaza wote wa kufikiri na mabingwa wa kukremisha wakachagua Sayansi PCB na kutamba kuwa wao wameula hahaaa but sisi wajanja wa kufikiri na wadadisi wa mambo tukaenda zetu ART shule lainiii hutoi hata jasho; du chuo miaka 3 then kazi nonooooo, Waasongo waliokimbilia PCB kwakuwa ni vilaza wa kufikiri Chuo miaka 6 du na kufanya kazi masaa 24 wakati sisi mwisho saa 8 mchana then tunaanza kula biaaa na dili za kuingiza fedha. Kwakuwa kupanga ni kuchagua vumilieni tu ndugu zangu siku zote wajinga ndio waliwao hapo mmenasa hamuwezi kujinasua mcheza sana tunawafutia na usajili
kwa mtazamo wako hizi fani ndo zina maslahi ya haraka??unamaanisha halali au haramu?kipimo cha kipato ni mshahara na ndio huo usio na zengwe wala kulazimika kujibembeleza kwa mtu ili usainiwe maombi ya posho,mshahara ni dhamana inayoweza kukudhamini hivyo ukiwa mkubwa utadhaminiwa kwa vitu vya thamani zaidi ya mshahara unapokuwa mdogo.na mishahara huwa inaongezeka wakati posho zinategemea hali ya kifedha ya wakati huo na utashi wa kisiasa.kitakwimu daktari ana mshahara mkubwa zaidi ya wahasibu,wagavi,maafisa utumishi..provided wako katika taasisi moja unless hao wengine wawe na mshahara unaotokana na madaraka yao siyo taaluma yao mfano mkuu wa Idara,kitengo n.k.Madaktari mnapenda sana kujiona kuwa nyie ni Daraja la juu kumbe sio hivyo kabisa tambueni serikali ya Tanzania inawatumishi wakada nyingi na kila kada ni muhimu hata kama ni ya Dereva na Mhudumu wa ofic. Kama mnataka masilahi ya haraka rudini shule mkasome coz nyingine kama BCOM,MBA HRM Procurement kuliko kutukera na kelele zenu kila kukicha
Nakumbuka tulipokuwa tunaingia kidato cha tatu enzi hizoooo Mwalimu akutuambi tuchague Comb ama sayansi ama ART, Vilaza wote wa kufikiri na mabingwa wa kukremisha wakachagua Sayansi PCB na kutamba kuwa wao wameula hahaaa but sisi wajanja wa kufikiri na wadadisi wa mambo tukaenda zetu ART shule lainiii hutoi hata jasho; du chuo miaka 3 then kazi nonooooo, Waasongo waliokimbilia PCB kwakuwa ni vilaza wa kufikiri Chuo miaka 6 du na kufanya kazi masaa 24 wakati sisi mwisho saa 8 mchana then tunaanza kula biaaa na dili za kuingiza fedha. Kwakuwa kupanga ni kuchagua vumilieni tu ndugu zangu siku zote wajinga ndio waliwao hapo mmenasa hamuwezi kujinasua mcheza sana tunawafutia na usajili