Ubunge uwe utumishi wa umma,mshahara 957,000/ kama daktari anayeanza kuanzia 2015

vimon

Senior Member
Apr 3, 2008
183
195
kutokana na wabunge kupenda posho na marupurupu mazuri na ubunge kuwa juu ya
Engineer
Daktari
Mwalimu
Mhasibu
Nesi
Secretary
Napendekeza walipwe kwa scale ya tanzani hivi kweli watakimbilia bungeni,Tanzania itakuwa na maendeleo
Kigezo kingine mbunge lazima awe na degree ya somo lolote.
SINA UBAGUZI WABUNGE WOTE WAWE WA CDM,NCCR,CUF au CCM AMBAO NI WAZEMBE WAWAJINISHWE KWA KUWANYIMA KURA.
Mungu tupe umoja tuipende nchi yetu.
 
hata sasa hivi si ni kufanya mabadiliko tu ? hii dhana ya wanasiasa na kutugawa watanzania ndio yanayo zaa ujinga tunaona sasa hivi , anaanza mwanasiasa halafu wanajifanya kuwanunua wengine kwa kuwapa mishahara mikubwa eti kuondoa mianya ya rushwa, je wachini ndio hawa mweki katika mazingira ya kupokea rushwa? katbu mkuu 12millioni , daktari bingwa? je structure za wenzetu zipoje?
 
Fourteen Scotland Yard employees are paid more than £150,000 a year – earning more than the Prime Minister.
Despite huge cuts in police budgets, figures revealed by the Metropolitan Police Authority show that most of the 10 senior police officers and four civilian staff are paid far in excess of David Cameron's £142,000 salary.
Former Met Commissioner Sir Paul Stephenson received the highest salary last year – £276,588, plus benefits and pension contributions taking the total to £299,377.
Advertisement >>


The four civilian staff were director of resources Anne McMeel, on £175,493; director of information Ailsa Beaton, £194,555; former human resources chief Martin Tiplady, £191,031, and chief medical officer Eileen ­Cahill-Canning, £167,136. Among the other top earners were Deputy Commissioner Tim Godwin – £243,503, plus benefits and pension contributions making a total £309,605, and former Assistant Commissioner John Yates, £200,713.
Sir Paul and Mr Yates resigned last month over the phone-hacking scandal. Both have been cleared of any wrongdoing.
Assistant Commissioner Ian McPherson received a salary of £192,917. Assistant Commissioners Chris Allison and Cressida Dick each earned £190,846. Four others were paid £150,000-
 
Mimi nadhani, wabunge waongezewe mishahara, uwe at least million 5 kwa mwezi, lakini iwe ukichaguliwa kuwa mbunge basi hakuna tena kuwa na biashara binafsi wala kuwa na u director kwenye mashirika ya umma au ya binafsi. Uwe kazi ni yako ni hiyo hiyo tu, na muda wote ambao hauko bungeni uwe jimboni kwako ofisini unapatikana muda wote kuwahudumia wananchi wako. Sio unaishi Dar. jimbo Chato.

Na mawaziri wasiwe wabunge, bali wawe ni waajiriwa wanaopendekezwa na Rais halafu wanaenda kuhakikiwa bungeni wakipita ndio wanaajiriwa. Wakisha ajiriwa ndio wanaingia bungeni. Hii itawaafanya wawe na muda wa kufanya kazi zao za uwaziri full time na wabunge watafanya kazi zao za Ubunge full time. Hii ya kuwa mbunge wajimbi fulani na waziri at the same time inaleta "conflict of interest" kama tulivyoona Magufli akiipindisha barabara na kuipitisha Chato. Kwenda kuhudumia watu huko ni mwaka mara moja.

Wajimbi = wa jimbo

Vyema.
Masuala uliyoyaandika yana manufaa sana kwa taifa. Na yatafaa kuwemo kwenye mapendekezo ya katiba mpya,ingawa masuala kama haya yamejadiliwa sana.

Hilo la kutenganisha ubunge na vyeo lukuki anavyokua mbunge ni suala la manufaa sana. Kwani licha ya kupunguza mtu mmoja kuwa na malipo lukuki,pia litaongeza uwajibikaji wa mhusika.

Ingawa kwenye suala la mshahara wa mbunge kua tsh. milioni 5 sijue umetumia vigezo vipi kuja na figa hiyo!
 
na hivi visingizio vya Pinda kwamba wana madeni makubwa na kuwasaidia wapiga kura wao haina mshiko, kwani hawakuchaguliwa kuwa wabunge ili waende kukopa, na zaidi ya hapo shida hiyo wanapata watanzania wote iwe mkulima, wanataaluma, wafanya biashara na kadhalika, na suala la kuwasaidia wapiga kura hilo ni hongo, kwani wao jukumu lao ni kutetea maslahi na huduma kwa ajili ya wapiga kura wao hili litaondoa shida ya mtu kukosa nauli/ada ya shule/matibabu na kdhalika na ladhalika kinyume cha hapo ni kuwafanya wapiga kura kama watumwa wao.
 
kutokana na wabunge kupenda posho na marupurupu mazuri na ubunge kuwa juu ya
Engineer
Daktari
Mwalimu
Mhasibu
Nesi
Secretary
Napendekeza walipwe kwa scale ya tanzani hivi kweli watakimbilia bungeni,Tanzania itakuwa na maendeleo
Kigezo kingine mbunge lazima awe na degree ya somo lolote.
SINA UBAGUZI WABUNGE WOTE WAWE WA CDM,NCCR,CUF au CCM AMBAO NI WAZEMBE WAWAJINISHWE KWA KUWANYIMA KURA.
Mungu tupe umoja tuipende nchi yetu.


Akili Kama hizi ndio zinazoanzishaga migomo isiyo na kichwa wala Miguu....hebu tathimini ujue siasa Ni nini na hizo profession Ni nini.....then ndio usurgest madudu Kama haya.
 
Akili Kama hizi ndio zinazoanzishaga migomo isiyo na kichwa wala Miguu....hebu tathimini ujue siasa Ni nini na hizo profession Ni nini.....then ndio usurgest madudu Kama haya.

mbona unakuwa mkali magamba wamekutuma nini?
 
Kwanini tusiwafanye wabunge wetu part-time?

Baada ya Bunge... wanaenda kufanya kazi Wilayani kwao?
 
Mimi nadhani, wabunge waongezewe mishahara, uwe at least million 5 kwa mwezi, lakini iwe ukichaguliwa kuwa mbunge basi hakuna tena kuwa na biashara binafsi wala kuwa na u director kwenye mashirika ya umma au ya binafsi. Uwe kazi ni yako ni hiyo hiyo tu, na muda wote ambao hauko bungeni uwe jimboni kwako ofisini unapatikana muda wote kuwahudumia wananchi wako. Sio unaishi Dar. jimbo Chato.

Na mawaziri wasiwe wabunge wa kuchaguliwa majimboni, bali wawe ni waajiriwa wanaopendekezwa na Rais halafu wanaenda kuhakikiwa bungeni wakipita ndio wanaajiriwa. Wakisha ajiriwa ndio wanaingia bungeni. Hii itawaafanya wawe na muda wa kufanya kazi zao za uwaziri full time na wabunge watafanya kazi zao za Ubunge full time. Hii ya kuwa mbunge wajimbi fulani na waziri at the same time inaleta "conflict of interest" kama tulivyoona Magufli akiipindisha barabara na kuipitisha Chato. Kwenda kuhudumia watu huko ni mwaka mara moja.

Sio Lazima, Kwa Ushauri wangu kwako ni Wabunge wote wawe Matajiri wenye fedha, kama nchi za USA, UK kwahiyo wakiingia Bungeni wanajali maslahi yao Jinsi gani wataongeza Utajiri wao? Jinsi gani watanunua Madini yaliyopo Nchini?

Hivyo utawapunguzia karaha... ya kuwapa pesa za nchi wakati kanchi kenyewe hakana pesa ila kina Madini ya kugawia mafisadi
 

Sio Lazima, Kwa Ushauri wangu kwako ni Wabunge wote wawe Matajiri wenye fedha, kama nchi za USA, UK kwahiyo wakiingia Bungeni wanajali maslahi yao Jinsi gani wataongeza Utajiri wao? Jinsi gani watanunua Madini yaliyopo Nchini?

Hivyo utawapunguzia karaha... ya kuwapa pesa za nchi wakati kanchi kenyewe hakana pesa ila kina Madini ya kugawia mafisadi

wewe kweli ni mwana JF great thinker were we dare talk openly
 
Mi nadhani ya mwalimu, daktari na wahandisi ni ya kitaaluma na huleta mabadiliko ya kiuchumi na isipothaminiwa tutaendelea kuadhibiwa na umasikini, ujinga na maradhi na makamanda wanaoongoza vita hii wakivihama vikosi vyao kwa kutothaminiwa.Hivi mbunge kafanya nini zaidi ya hawa? hata alipwe mshahara na posho kubwa kiasi hicho tena bila kodi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom