vimon
Senior Member
- Apr 3, 2008
- 183
- 195
Legal and Human Rights Centre
Tangazo Mkutano na Waandishi wa Habari Kuhusu uwezekano wa kuwepo Mgomo Mwingine wa Madaktari Mwananchi yeyote anayeguswa na suala la tishio la mgomo wa madaktari, mnaalikwa kuhudhuria kwa wingi mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika kesho, Jumanne, Machi 6 2012, katika viwanja vya Mtandao wa Jinsia - Tanzania (TGNP), vilivyoko Mabibo jijini Dar es Salaam. Lengo ni kutafuta suluhisho la kudumu kuhusu mgomo mwingine wa madaktari ili kuzuia vifo zaidi vya Watanzania. Tuhudhurie kwa wingi. NB: Muda ni saa Tatu Asubuhi Viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP - Mabibo, Dar es Salaam
Tangazo Mkutano na Waandishi wa Habari Kuhusu uwezekano wa kuwepo Mgomo Mwingine wa Madaktari Mwananchi yeyote anayeguswa na suala la tishio la mgomo wa madaktari, mnaalikwa kuhudhuria kwa wingi mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika kesho, Jumanne, Machi 6 2012, katika viwanja vya Mtandao wa Jinsia - Tanzania (TGNP), vilivyoko Mabibo jijini Dar es Salaam. Lengo ni kutafuta suluhisho la kudumu kuhusu mgomo mwingine wa madaktari ili kuzuia vifo zaidi vya Watanzania. Tuhudhurie kwa wingi. NB: Muda ni saa Tatu Asubuhi Viwanja vya Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP - Mabibo, Dar es Salaam