Search results

  1. o_2

    Sayansi na imani

    'You won't find faith and hope down a telescope, You won't find heart and soul in the stars' 'Science and faith' ni albamu ya pili kutoka katika kundi la wanamuziki wa rock kutoka Ireland iliyotoka mwaka 2010. 'sayansi na imani' ni jina la wimbo lililobeba album hiyo. Walijaribu kuelezea...
  2. o_2

    Hii hali mpaka lini? Tulaumu mvua?

    Habari ndugu mdau, Baada ya salamu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada kama inavyo jieleza. Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha, mayowe ni mengi sana kila kona kwenye mvua. Bahati nzuri hizi mvua sio mwaka huu tu ndio zinanyesha, miaka yoote zinanyesha lakini akili tuko nazo...
  3. o_2

    Mtihani kwa walimu wapya 2024/2025

    Rejea kichwa habari hapo juu. Tukiwa tunasubiria Sekeseke la 'kupiga pepa' tufaulu ndio tuajiriwe hebu tupeane dondoo za hapa na pale. Pepa' itakuaje na labda itakuwa ni content based kwendana na somo au itakuwa teaching methodology. Au tusikilizie tu liwalo na liwe?
  4. o_2

    MWAMBA NA GOLI 3 ZA AFCON

    Habari, Tukiwa tunaendelea kuugulia na kujifariji kwa yale yaliyotokea jana kwa timu yetu ya taifa (Tanzania) dhidi ya Morroco, leo nakupa wataalamu wa hat tricks tokea mashindano haya yameanzishwa kama ifuatavyo; 1. Ad-Diba (1957) 2. Mahmoud El-Gohary (1959) 3. Mohamed Morsi Hussein (1963)...
  5. o_2

    Nini hiki?

    Nipo na haraka sana. Hebu ona. Leo ni ile tarehe 17/1/2024 kila mtanzania mpenda michezo alikuwa anasubiria ifike saa mbili kamili ili apate fursa kuitazama timu yetu pendwa, Taifa Stars akicheza dhidi ya Morroco. Natazama first eleven nakutana na kitu cha ajabu. Unawaazisha wachezaji ambao...
  6. o_2

    Mbegu za Mchongoma

    Habari mdau, Kama upo Mbeya, Nanenane au Tukuyu inajishughulisha na duka la pembejeo na una mbegu za Mchongoma kwa ajili ya fensi. Tokea chap nikupe dili. Asante.
  7. o_2

    Rasilimali na uzalendo

    Tanzania ni moja kati ya nchi chache zilizobarikiwa kuwa na rasilimali za kila aina. Mabwawa, maziwa, bahari na mito. Madini, misitu na milima. Wote tunafahamu kwenye maji tunapata nini, aina zote za samaki, dagaa mashuhuri zinapatikana kuanzia migebuka, Sato n.k. Ukija kwenye madini...
  8. o_2

    RASILIMALI NA UZALENDO

    Tanzania ni moja kati ya nchi chache zilizobarikiwa kuwa na rasilimali za kila aina. Mabwawa, maziwa, bahari na mito. Madini, misitu na milima. Wote tunafahamu kwenye maji tunapata nini, aina zote za samaki, dagaa mashuhuri zinapatikana kuanzia migebuka, Sato n.k. Ukija kwenye madini...
  9. o_2

    Kuna hali gani hapo mtaani kwenu?

    Wanajamii salama? Muhali gani? Katika hali ya kawaida kabisa kila sehemu, mahali kuna hali yake fulani ya tofauti. Inaweza kuwa hali ya hewa, hali ya kiuchumi, hali fulani hivi ya utulivu.. burudani nakadhalika. Kila sehemu kuna mambo yake na nyakati zake. Kuna watu sasa hivi ndio wanarudi...
  10. o_2

    Kozi ya ukocha

    Habari wana jamvi wenzangu. Bila kupoteza muda, lengo kuu la kuandika uzi huu ni kutaka kujua ni vyuo gani mashuhuri kwa kutoa kozi za ukocha hapa Tanzania. Wajuzi mpo, naomba kujua. Nawasilisha.
  11. o_2

    Imani ya Kichawi

    Imani ya kichawi inahusu imani katika uwezo wa nguvu za kichawi au uchawi kushawishi mambo katika ulimwengu. Imekuwa sehemu ya tamaduni na mila nyingi duniani kote, na inaweza kutofautiana kulingana na eneo, dini, au imani ya watu. Imani za kichawi zinaweza kujumuisha mambo kama vile uchawi wa...
  12. o_2

    MPYA??

    Kuna jipya gani huku wana jforum??
  13. o_2

    Haki au Amani?

    Leo ni siku ya wafanyakazi Duniani. Majobless inatuhusu pia kujua nini kinaendelea duniani. Kujua tu inatosha. Sasa kwenye mada moja kwa moja kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Haki au amani, wewe unachagua nini? Nasoma maoni yako.
  14. o_2

    Tufanyeje ndoa za utotoni?

    Habari za muda huu ewe mdau wa JF popote ulipo. Heri ya sikukuu ya muungano. Ndoa za utotoni moja kati ya hoja imetawala Sana siku za usoni ukitoa ile ajenda ya wale masodoma na gomorrah... imetokea sintofahamu kuhusu umri sahihi wa binti kuolewa. Ukija kwenye dini wanayo, Ukija kwenye sheria...
  15. o_2

    Ishi na watu vizuri

    Pasaka imepita, leo si EID? Maisha raha sana kama unaishi kwa upendo na amani kwa watu wanao kuzunguka. Life la kigheto kama unavyojua Uswahili hapa na pale na ukizingatia leo ni sikukuu tukisherehekea kumalizika kwa mwezi mtukufu. Asubuhi ya leo kumekucha na mvua iliyoanza kunyesha alfajiri...
  16. o_2

    Natafuta mtu anayejihusisha na miti ya matunda

    Habari mwana jamvi, Kama upo humu na unajihusisha na kilimo cha miti ya matunda na maua. Kama upo Tukuyu hebu fanya kunitumia private message hapa Upate hela ya pasaka.
  17. o_2

    Yale mambo manne

    Habari mwana jamvi... Jambo lolote ili lifanikiwe lazima liwe na misingi. Misingi lazima iwe na utaratibu. Utaratibu lazima uwe na mpangilio. Mpangilio lazima uwe na....malizia! Unakumbuka niliwahi kubandika bandiko humu kuhusiana na yale mambo manne. Jambo la kwanza lilikuwa ni 1. Watu 2...
  18. o_2

    Mambo manne muhimu ili tuendelee, tumekwama

    Shaloom Mwishoni mwaka jana niliwahi kuandika uzi kuhusu Salam yetu enzi hizo shule ya msingi ambayo ilibeba maana kubwa sana. Ili tuendelee tunahitaji mambo manane; 1. Watu 2. Ardhi 3. Siasa safi 4. Uongozi bora Ukiangalia kwa hali tuko nayo sasa ile salam maridhawa haina maana tena kwa...
  19. o_2

    Huko kwenu wapo watu wa namna hii?

    Habari za mausiku, Mmelala sio, mkiamka mtaikuta. Jana nilianza safari kutokea Tukuyu kwenda Tanga. Tukuyu, Busokelo ndani ndani huko. Ipo changamoto ya usafiri ya hatari. Na kama unavyojua shule zinafunguliwa kwa hiyo usafiri ni 'mtihani' kwelikweli. Bahati mbaya zaidi hakuna basi la moja kwa...
  20. o_2

    Yote sawa

    Si ni life.. Nyakati kama hizi wapo wanaelekea kulala au wamelala tayari.. Wengine wamelala kama panga, Wengine wapo na wapenzi wao wanapasha vitanda joto. Wengine baridi inagonga kama walinzi. Wengine wapo kwenye hotline bring talking with their babies. Wengine wanamsikiliza diva the...
Back
Top Bottom