AttachmentKwa kuanzia ni vyama vya Soka katika wilaya husika, utaanza na grassroot then diploma ngazi D,
Kama upo Dar, Kigamboni watakua na kozi ya kocha ngazi ya awali kuanzia tar 15 Dec,
Kikubwa unapaswa kujua Kuna ngazi ya ukocha ukifika lazima uwe na timu ya kufundisha,
Hupaswi kukaa tuu na elimu yako
Well narated hakuna cha kuongeza hapo labda afuatilie page za tff huwa wanatangaza mafunzo namna ya kuomba na adaKwa kuanzia ni vyama vya Soka katika wilaya husika, utaanza na grassroot then diploma ngazi D,
Kama upo Dar, Kigamboni watakua na kozi ya kocha ngazi ya awali kuanzia tar 15 Dec,
Kikubwa unapaswa kujua Kuna ngazi ya ukocha ukifika lazima uwe na timu ya kufundisha,
Hupaswi kukaa tuu na elimu yako