SoC03 Threads

  • Suggestion Suggestion
Utawala bora na haki za binadamu vinahusiana sana. Kanuni za haki za binadamu hutoa seti ya maadili ya kuongoza kazi ya serikali na watendaji wengine wa kisiasa na kijamii. Pia hutoa seti ya...
1 Reactions
4 Replies
486 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Mada: Uchunguzi wa matumizi ya fedha za umma: Je, serikali zinafanya kazi kwa manufaa ya wananchi? Mwandishi: MwlRCT 1. Utangulizi: Makala hii inaangazia suala la uwazi na uwajibikaji wa...
3 Reactions
4 Replies
509 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Kwa muda mrefu nimekuwa nasikia kampeni ya kuchangia damu kwa hiari kwa ajili ya kuwekeza katika Benki ya Damu Salama, kwa ajili ya kuwaongezea wagonjwa (wenye uhitaji huo)...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Miaka ya nyuma, magonjwa mengi yasioambukiza yalitawala sana nchi zilizoendelea, magonjwa haya ni shinikinizo la juu la damu, kisukari, saratani, magonjwa ya figo, na kadhalika; ambayo...
6 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
Kuna maneno matatu ambayo ni vigumu sana kuyatenganisha, hata kuyaelezea maana yake ni vigumu kumaliza bila kuhusianisha na neno au maneno mengine kati yake. Maneno haya ni RUSHWA, UBADHIRIFU na...
4 Reactions
8 Replies
945 Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
VVU ni nini? Hiki ni kifupisho cha neno Virusi vya Ukimwi, na Ukimwi ni kifupisho cha Upungufu wa Kinga Mwilini. Ugonjwa wa VVU/UKIMWI (Virusi vya Ukimwi/ Upungufu wa Kinga Mwilini) umeingia...
8 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 8
  • Suggestion Suggestion
Nimevutiwa kuandika Makala hii kutokana na mjadala unaoendelea hivi sasa, kuhusu mchakato wa bandari ya Dar-es-Salaam kuingia mkataba wa uendeshaji na kampuni ya DP World ya Dubai. Ni habari...
6 Reactions
9 Replies
1K Views
Upvote 8
  • Suggestion Suggestion
“Electronic Balloting System (EBS)”, ni mfumo wa kupiga kura kidigitali, yaani kwa kutumia vifaa maalum vya tarakilishi. Mfumo wa kutumia tarakilishi katika uchaguzi sii mgeni hapa Tanzania, kwani...
6 Reactions
9 Replies
757 Views
Upvote 6
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Wakati ninasoma, nilidhani kuwa watalii ni lazima wawe wazungu kutoka Ulaya, na pia nilidhani utalii unafanyika katika mbuga za Wanyama pekee. Nikiwa bado shuleni, nilibahatika kwenda...
5 Reactions
3 Replies
2K Views
Upvote 5
  • Suggestion Suggestion
Kawaida, kwa Tanzania ukizungumza juu ya majimbo, watu wengi hudhani ni yale yanayowakilishwa na wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Majimbo ninayozungumzia hapa, ni mikoa...
9 Reactions
16 Replies
1K Views
Upvote 15
  • Suggestion Suggestion
JINSI MAFUNZO YA ELIMU KWA VITENDO (FIELD/INTERNS) YANAVYOCHOCHEA UWAJIBIKAJI KWA WAHITIMU NA WASOMI WA ELIMU YA JUU KAZINI HAPA NCHINI. Nchini Tanzania kutokana na ongezeko la vyuo vikuu...
2 Reactions
3 Replies
750 Views
Upvote 7
  • Suggestion Suggestion
Utawala bora na uwajibikaji ni mada muhimu ambayo ina athari kubwa katika nyanja mbalimbali za jamii. Mabadiliko katika namna tunavyoendesha mambo yetu ni suala ambalo linapaswa kuhamasishwa ili...
2 Reactions
2 Replies
636 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Uwajibikaji na utawala bora ni mambo muhimu sana katika kukuza maendeleo endelevu na ustawi wa jamii katika nchi yoyote, ikiwemo Tanzania. Sekta zote nchini zinahitaji kuwa na mifumo madhubuti ya...
2 Reactions
2 Replies
478 Views
Upvote 2
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Kimsingi, maeneo yote ya wazi ni ya umma. Ni maeneo yaliyotengwa na serikali kwa ajili ya shughuli za kijamii na hata kiserikali. Maeneo haya sii lazima yawe tupu; ni maeneo yasiyokuwa...
4 Reactions
2 Replies
632 Views
Upvote 4
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Kama nchi nyingine za Afrika, Tanzania ina rasilimali nyingi sana ambazo kama zingetumika vizuri, nchi ingeendelea na Maisha Bora kwa kila Mtanzania yangewezekana. Wakati Mhe. Jakaya...
8 Reactions
8 Replies
648 Views
Upvote 8
  • Suggestion Suggestion
Utangulizi Kumekuwa na jitihada kubwa za kuleta mabadiliko chanya katika nyanja mbalimbali za jamii. Lakini ili mabadiliko haya yaweze kuwa endelevu na yenye manufaa kwa wote, ni lazima kuweka...
0 Reactions
0 Replies
360 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
Katika historia, mawasiliano ya umma yamecheza jukumu muhimu katika kuunda jamii, na redio, kwa hakika, imejitokeza kama muhimili wenye nguvu katika kusambaza habari na kuathiri umma, ikileta...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
MATUMIZI YA MIFUMO YA KIDIGITALI KATIKA UCHAGUZI & SENSA YA WATU NA MAKAZI. Miongoni mwa mambo mazito katika utekelezaji ususani kwa nchi zinazoendelea ni maswala mazima ya kuendesha na kusimamia...
3 Reactions
2 Replies
726 Views
Upvote 3
  • Suggestion Suggestion
Kiongozi ni mtu yeyote anayechaguliwa au kuteuliwa na mtu au watu kwaajili ya kuwaongoza wengine katika misingi ya utawala bora na kuwasimamia wengine katika njia sahihi yenye kuleta mabadiliko...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Upvote 0
  • Suggestion Suggestion
UTANGULIZI. Bunge ni miongoni mwa vyombo vinavyounda dola,Bunge ndicho chombo kinacho wakilisha wananchi moja kwa moja kwa kuwa kina wabunge ambao wanapatikana kutokana na kura za wananchi. Bunge...
2 Reactions
2 Replies
626 Views
Upvote 3
Back
Top Bottom