Responded Threads

Mindyou
DOKEZO Responded 
Wakuu, Huko Nigeria sasa hivi ni shangwe na vigelegele tu maana kuna msanii wao wa kuitwa Ayra Starr amemwaga wino kwenye kampuni iliyoanzishwa na JAY Z ya kuitwa Roc Nation. Nilichopenda ni...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu! Juzikati Aprili 14, 2025 niliona kuna member hapa JF ametoa povu kuwa Mitaa ya Nyamwezi na Mhonda mlango wa kuingilia Soko Kuu (Shimoni) kuna chemba zilianza kutiririsha maji taka tangu...
0 Reactions
1 Replies
405 Views
BigTall
KERO Responded 
Soko Kuu la Kariakoo lililoungua Mwaka 2021 kisha kujengwa lote limekamilika, pamoja na kwamba kumekuwa na ahadi nyingi za viongozi wetu lakini kwa ufupi hakuna kinachoendelea cha maana mpaka...
1 Reactions
3 Replies
481 Views
Brela BRELA Niwaite Hapa Tuongee: Kuna katabia kenu ambapo mteja akipiga simu ambayo inahusisha Tatizo la kimfumo Agents wenu wanamwambia kwamba wanamuunga na watu wa Tekniko au sijui ndo IT...
2 Reactions
7 Replies
924 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kwenye uombaji wa mkopo kuna kipengele kipya cha kuweka National physical address (NaPA) hiki ni kipengele kipya kwa waombaji Mwaka 2025. Tatizo kimetolewa bila maelekezo yoyote na Wadau...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Anonymous
KERO Responded 
Ni takribanii wiki kadhaa tangu matokeo ya Mtihani wa Leseni yatoke mpaka sasa bado tunasubiri kutangaziwa siku ya kwenda kuchukua Leseni. Hili sio shida kwa sababu huenda ni Maandalizi...
1 Reactions
4 Replies
897 Views
Kayugumis
KERO Responded 
Leo Julai 16, 2025 nilikuwa nasafiri kutoka Mpanda kuelekea Sumbawanga, nikiwa Stendi Kuu ya Mabasi ya Mizengo Pinda nilienda msalani, jambo la kushangaza na kutisha nimekuta vyoo upande wa...
0 Reactions
7 Replies
730 Views
GENTAMYCINE
DOKEZO Responded 
1. Tangaza haraka Kuzuia vile Vijiwe vyote vya Kukodisha Mapira / Matairi ya Kuogelea 2. Kisha amrisha wanaotaka Kufanya hiyo Biashara Kwanza wajisajili Kwenu (Serikalini) na wekeni Ada / Tozo...
78 Reactions
341 Replies
19K Views
Jaji Mfawidhi
DOKEZO Responded 
Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu. Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda...
19 Reactions
394 Replies
61K Views
BigTall
Responded 
Nimepita kwenye barabara ya Mazimbo–Manyuki, ambayo niliilalamikiwa hapa JamiiForums, na nikaona ni vyema nilete mrejesho kuwa kwa sasa imekwanguliwa kwa kutumia greda ili kupunguza mashimo...
1 Reactions
6 Replies
577 Views
MeVSMe
KERO Responded 
Jamani mi natoa ya moyoni leo kwasababu naamini hapa JF ndo sehemu pekee nitaongea na kero yangu ikatatulika. Huwa tunaambiwa mteja ni Mfalme, lakini huu ufalme mbona kama umegeukia Kwa watoa...
16 Reactions
62 Replies
4K Views
Anonymous
KERO Responded 
Pamoja na majukumu mengine TET kama chombo cha Serikali kimepewa jukumu la kusimamia na kuendeleza Elimu yetu nchini, pamoja na unyeti wa chombo hiki kimekuwa na utendaji kazi mbovu ambao kwa...
4 Reactions
4 Replies
687 Views
zanz
DOKEZO Responded 
Napenda kutoa pongezi na shukhurani za dhati kwa idara ya kupambana na kuzuia rushwa Tanzania na mkoa wa Tabora (TAKUKURU). Naomba maafisa TAKUKURU Wilaya ya Uyui, Mkoa wa Tabora, muweze...
2 Reactions
1 Replies
516 Views
nzalendo
DOKEZO Responded 
Msumi ni Kilometer chache sana kutoka stendi ya mabasi ya Magufuli. Sasa cha ajabu ni kwamba Msumi ipo kama vile hata wakuu wa Mikoa waliopita hapo Dar na wasasa si ajabu hawajui iko upande gani...
27 Reactions
197 Replies
13K Views
JanguKamaJangu
KERO Responded 
Baadhi ya wakazi wanaoishi karibu na eneo linalodaiwa kujengwa Kanisa la Arise and Shine (Kawe), linaloongozwa na Apostle Boniface Mwamposa, wameeleza malalamiko yao kuhusu athari zinazodaiwa...
0 Reactions
1 Replies
813 Views
BigTall
KERO Responded 
Nina malalamiko yangu kuhusu Hospitali ya Amana iliyopo Ilala Jijini Dar es Salaam huduma za pale zina huzunisha sana, tulimpeleka ndugu yetu alipata ajali ya Pikipiki, Jumatatu Juni 23, 2025...
1 Reactions
1 Replies
771 Views
STUKA M1
DOKEZO Responded 
Huu ni uhuni mkubwa unaofanywa either na PSSSF or Hazina kwa maana kwamba michango ya pesa zinazotakiwa kuingia PSSSF haionekani kabisa na hii inapelekea kupunguza kiasi cha pesa ambacho mtumishi...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
BigTall
KERO Responded 
Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ni miongoni mwa Halmashauri kongwe nchini, lakini kwa miaka mingi kumekuwepo na changamoto kubwa ya miundombinu ya barabara, hasa zile zilizo chini ya usimamizi...
0 Reactions
2 Replies
414 Views
Just Pray
DOKEZO Responded 
Wakuu Wasifu wa mbunge wa Kinondoni Tarimba Gulam Abbas katika tovuti ya bunge unaonesha alitumia miaka miwili tu, 2010 na 2011 kupata degree pamoja na master's ya sheria kutoka chuo kikuu cha...
29 Reactions
157 Replies
12K Views
Roving Journalist
KERO Responded 
Wanawake katika Kijiji cha Dominiki, Kata ya Mwangeza, Wilaya ya Mkalama Mkoani Singida wamedai wanalazimika kuchota maji dumu 6 hadi 12 ambayo watauatumia wakati wa kupata huduma ikiwemo Huduma...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Back
Top Bottom