Responded Threads

Glenn
KERO Responded 
Vodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo; 1. Huduma za kipesa ( mpesa)...
26 Reactions
129 Replies
12K Views
Viongozi ni reflection ya sura ya wananchi. Yaani kwa lugha nyepesi ni kwamba ukitaka kufanya tafiti yoyote kuhusu wananchi usitumie gharama kubwa. Wewe angalia viongozi wao, vivyo ndivyo walivyo...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kutoa wito kwa Serikali kuingilia kati suala la Kampuni inayohusika na kukamata wanaoegesha vibaya vyombo vya usafiri vya moto (wrong parking), akidai huduma...
0 Reactions
2 Replies
805 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Kwa madereva kwani wamekuwa wakikamata kwa uonevu unakuta dereva kaegesha sehemu ambayo muhusika wa ku-scan anaku-scan ila wao wakipita wanakukamata wakati ushascaniwa. Na pia wanakuta dereva...
2 Reactions
7 Replies
747 Views
  • Closed
britanicca
DOKEZO Responded 
Mombo Seleman aliyekuwa kwenye nafasi ya ubalozi ukanda wa Amerika Kusini wakati wa Nchimbi atachukua nafasi ya Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliyepo sasa! Swali kwanini kwa kipindi hiki...
60 Reactions
395 Replies
143K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Jumapili Julai 20, 2025, bibi Mkazi wa Nyakato, Mwanza akiwa ametoka Kanisani akaenda kwenye shughuli zake nyingine, aliporejea nyumbani majira ya usiku akamuona mjukuu wake wa kiume mwenye umri...
10 Reactions
55 Replies
3K Views
Abdul Nondo
DOKEZO Responded 
Mh. Rais Samia ,Waziri wa Elimu Prof.Mkenda na Wizara ya Elimu kwa ujumla kwanza napenda kupongeza mfumo huu Mpya wa Samia Scholarship ulioanzishwa kutoa ufadhili wa Masomo vyuo vikuu 100% kwa...
10 Reactions
10 Replies
3K Views
Mshangazi mdogomdogo
DOKEZO Responded 
Kuna tukio limetokea huku kwetu Kijiji cha Msonga Kata ya Runzewe, Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita, kama tutaendelea kubaki kimya hakuna kitakachofanyika na hatua hazitachukuliwa. Kuna kijana...
2 Reactions
6 Replies
994 Views
babajeska
DOKEZO Responded 
Mimi ni mwanachama wa mfuko wa PSSSF niliyechangia miaka kadhaa kabla ya kupoteza ajira kutokana na sababu mbalimbali, mwaka jana (2024) nilifUatilia fao la kukosa ajira nilizungushwa hadi nikaja...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Roving Journalist
KERO Responded 
Wakulima wa zao la tumbaku kutoka Chama Cha Msingi Cha Ushirika Cha Wakulima wa Tumbaku Mpanda Kati, Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamelalamika kutolipwa fedha zao hadi hivi sasa licha ya...
0 Reactions
1 Replies
586 Views
Parabolic
KERO Responded 
Nikiwa katika eneo la Mtemi Beda Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi, nilipokwenda kumjulia hali bibi yangu mzaa baba ambaye ni mgonjwa sana, Nimeona kero ya muda mrefu ya ubovu wa barabara ya Mtaa wa...
0 Reactions
1 Replies
600 Views
Torra Siabba
KERO Responded 
Kipindi hiki cha mvua hali sio shwari kwenye baadhi ya Mitaa ya Kariakoo, Watu tupo hatarini kupata magonjwa kutokana na chemba kadhaa kutiririsha maji kwenye maeneo ya karibu na biashara zetu...
0 Reactions
2 Replies
875 Views
KwetuKwanza
KERO Responded 
Walimu Mbeya DC kutoka CWT kuhamia vyama vingine vya Wafanyakazi ni changamoto. Tumejaza fomu za kujitoa wamegoma kabisa, ukienda kufuatilia wanasema huu Mwaka wa uchaguzi hawawezi kututoa, muda...
1 Reactions
1 Replies
934 Views
Mwanachama wa JamiiForums.com aliandika "Ningependa kutoa kero yangu kuhusu hali ya Vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufutika kwa haraka mno, na hii...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Jeep wrangler
KERO Responded 
Ujumbe kwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum @Dkt. Gwajima D *KUHUSU: Ucheleweshwaji wa Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) Kupitia Mfumo wa NIS...
0 Reactions
15 Replies
679 Views
Anonymous
KERO Responded 
NACTEVET ninaomba wajitathmini wanachotufanyia sio sawa. Habari Naomba niwasilishe changamoto mbili zinazonikabiri mpaka muda huu na nimeshindwa kupata msaada wowote kutoka Kwa watu wa nactevet...
0 Reactions
1 Replies
388 Views
Watu wa kimara wanateseka sana na ni mda mrefu sasa sahivi hata mtu akitaka kuhamia kimara na anafanya kazi posta au kariakoo na hana usafiri bnafsi basi anajifikiria mara kumi kumi sababu ya adha...
5 Reactions
37 Replies
1K Views
Secret person
KERO Responded 
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) ninaomba wajitathmini wanachotufanyia sio sawa. Habari naomba niwasilishe changamoto mbili zinazonikabili mpaka muda huu na...
2 Reactions
3 Replies
851 Views
Kayugumis
KERO Responded 
Mimi ni Mkazi wa Masasi, nilihamia huku miezi kadha iliyopita, moja ya changamoto ambayo niliikuta huku na wenyeji wanadai imekuwepo kwa muda sasa, ni suala la umeme kukatika mara kwa mara. Huku...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Daktareee
DOKEZO Responded 
Takriban mwaka miaka 3 tangu Serikali JMT kutangaza kuchukua umiliki wa hospitali ya Dar Group kupitia Waziri wa afya wa wakati huo Ummy Mwalimu siku ya makabidhiano na kuiweka chini ya umiliki wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom