Responded Threads

Anonymous (c61a)
KERO Responded 
Kuna foleni sana kila siku ya malori hasa muda wa asubuhi Kigamboni na njia ya Posta. Serikali iweke utaratibu maana wakazi wa Kigamboni kusipokuwa na malori hamna foleni kukiwa na malori ni...
2 Reactions
3 Replies
168 Views
Anonymous (b5ce)
KERO Responded 
Mimi ni mwajiriwa Mpya Manispaa ya TEMEKE, Dar es Salaam, March 6, 2026 tuliwekewa fedha kwenye account zetu waajiriwa wapya Idara ya Msingi, jumla ya Walimu 77 tuliwekewa fedha kwa wastani kila...
9 Reactions
80 Replies
2K Views
BigTall
Responded 
Wananchi hawa wa Mbagala Rangitatu, Dar es Salaam, wamedai kubomolewa makazi, vibanda vya biashara zao na Manispaa ya Temeke wakati kesi iko mahakamani, tukio hilo limetokea Mei 2, 2026. Wananchi...
1 Reactions
2 Replies
226 Views
Anonymous
KERO Responded 
Ziwa lipo jirani ila Wananchi wa Nyashishi na Usagara (Mwanza) hatujawahi kuwa na maji ya bomba Wananchi wa Nyashishi na Usagara Mwanza tangu Dunia iumbwe maeneo hayo hayajawahi kuwa na bomba la...
6 Reactions
13 Replies
247 Views
Nyakijooga
DOKEZO Responded 
Nina mgonjwa wangu ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure (Mwanza), moja ya changamoto ambayo nimeishuhudia hapa ni kwamba kuna tatizo kubwa sana la umeme kukatika mara kwa...
3 Reactions
3 Replies
491 Views
Nyakijooga
DOKEZO Responded 
Sisi ni Watumishi wa Umma katika Kituo cha Afya Mbande tunafikisha ujumbe huu kwa jamii tukitoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa matumizi mabaya ya madaraka, uhujumu uchumi, maonevu ya kimfumo...
2 Reactions
22 Replies
458 Views
UTPC
DOKEZO Responded 
KATAVI; Licha ya vijiji vinane vya Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kujiingizia zaidi ya Sh bilioni 29 kupitia uuzaji wa kaboni, biashara hiyo ipo hatarini kutokana na uwajibikaji usioridhisha...
1 Reactions
0 Replies
247 Views
Mkumbwa Jr
KERO Responded 
Wanajukwaa habari za muda huu. Ninalazimika kupanda jukwaani kutokana na usumbufu mkubwa sana uliopo Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSSSF . Hawa watu wanakuwa na vipengele vingi vya kufuatilia na...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
DogoWaNjombe
DOKEZO Responded 
Natoa wito kwa Mamlaka ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuuangalia kwa karibu mpango wa uendelezaji upya wa eneo la Sinza, Dar es Salaam, unaoratibiwa na Manispaa ya Ubungo, kutokana na...
1 Reactions
5 Replies
398 Views
Anonymous (c258)
KERO Responded 
Nimefanya kazi ya kuwauzia milango Wilaya ya Nanyumbu, Mkoa wa Mtwara tangu Mwaka 2023 mpaka sasa sijalipwa, nimejitahidi kwa kadri nilivyoweza kuonana na wahusika lakini bado hali ni mbaya...
3 Reactions
7 Replies
268 Views
Anonymous (01f4)
KERO Responded 
Nauliza hivi hizi bei za mbolea zilizopanda wakati huu Serikali inafahamu hii changamoto maana hatuoni tena umuhimu wa ruzuku Maana sasa mbolea ni shilingi 85,000 kwa mbolea ya kukuzia hadi...
2 Reactions
10 Replies
382 Views
Anonymous
KERO Responded 
Ni zaidi ya wiki mbili Sasa wakazi wa Utemini, Maendeleo, Relini na Maduka Matatu hatuna maji na hakuna taarifa yeyote kutoka MWAUWASA wanatutesa na bili zinakuja kawaida. Katibu wa wizara ya...
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kwa kipindi cha Wiki 3 sasa Kumekuwa hatupati Huduma ya maji tulipiga simu kwa Dawasa namba ya huduma kwa wateja wanapokea na kusema watatuma mafundi imeishia hapo tukimpigia Meneja amekuwa...
1 Reactions
3 Replies
136 Views
Anonymous (cfc9)
KERO Responded 
Mzee wangu ni mkulima wa miwa Wilayani Missenyi hapa Mkoani Kagera, moja ya jambo ambalo linanifanya niandike hapa ni kwa kuwa tunapoelekea nitamuona baba yangu anaanza kuwa chizi au kuongea peke...
0 Reactions
1 Replies
200 Views
The Watchman
KERO Responded 
Hapa ni Arusha mataa ya Sakina Triple A / Arusha technical, Ni zaidi ya miezi minne taa hazifanyi kazi. Tunaomba jiji lishughulikie hili tatizo. Majibu ya Mamlaka ~ TANROADS: Taa za eneo la...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Anonymous
KERO Responded 
Uongozi wa Chuo Kikuu cha UDOM uongeze umakini mkubwa katika usimamizi wa masomo ya postgraduate. Wanafunzi wengi wa postgraduate wanacheleweshwa kimaksudi na kulazimishwa kulipa pesa nyingi za...
1 Reactions
5 Replies
423 Views
Anonymous (01f4)
DOKEZO Responded 
Mfumo wa Ajira Portal wa TAKUKURU kwa watu wanaoomba kwa Level ya Degree na hawajapita form six mfumo unataka cheti cha form six, naomba utufikishie hili maana sio wote walisoma form six wengine...
2 Reactions
26 Replies
708 Views
Anonymous
KERO Responded 
Serikali hasa TAMISEMI watoe tu uhamisho hata kama hajamaliza miaka mitatu, haswa kwa hawa watumishi wapya! Kuna baadhi ya wilaya za pembezoni kama mkoa halmashauri zao, watumishi wapya...
2 Reactions
4 Replies
251 Views
Anonymous (01f4)
KERO Responded 
Mimi na familia yangu tumefika mara mbili katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure baada ya kupoteza wapendwa wetu katika miezi tofauti, tumekutana na changamoto ambayo baada ya kuuliza...
3 Reactions
10 Replies
338 Views
Anonymous (01f4)
KERO Responded 
Halmashauri ya Mkalama DC, Singida watumishi wa Ajira Mpya tangu Novemba 2024, Kada ya Afya, hawajathibitishwa kazini hadi sasa ni Mwaka na miezi 5, japo wapo baadhi wamethibitishi kwenye mfumo...
0 Reactions
2 Replies
252 Views
Back
Top Bottom