Responded Threads

babajeska
DOKEZO Responded 
Mimi ni mwanachama wa mfuko wa PSSSF niliyechangia miaka kadhaa kabla ya kupoteza ajira kutokana na sababu mbalimbali, mwaka jana (2024) nilifUatilia fao la kukosa ajira nilizungushwa hadi nikaja...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Roving Journalist
KERO Responded 
Wakulima wa zao la tumbaku kutoka Chama Cha Msingi Cha Ushirika Cha Wakulima wa Tumbaku Mpanda Kati, Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamelalamika kutolipwa fedha zao hadi hivi sasa licha ya...
0 Reactions
1 Replies
561 Views
Parabolic
KERO Responded 
Nikiwa katika eneo la Mtemi Beda Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi, nilipokwenda kumjulia hali bibi yangu mzaa baba ambaye ni mgonjwa sana, Nimeona kero ya muda mrefu ya ubovu wa barabara ya Mtaa wa...
0 Reactions
1 Replies
586 Views
Torra Siabba
KERO Responded 
Kipindi hiki cha mvua hali sio shwari kwenye baadhi ya Mitaa ya Kariakoo, Watu tupo hatarini kupata magonjwa kutokana na chemba kadhaa kutiririsha maji kwenye maeneo ya karibu na biashara zetu...
0 Reactions
2 Replies
858 Views
KwetuKwanza
KERO Responded 
Walimu Mbeya DC kutoka CWT kuhamia vyama vingine vya Wafanyakazi ni changamoto. Tumejaza fomu za kujitoa wamegoma kabisa, ukienda kufuatilia wanasema huu Mwaka wa uchaguzi hawawezi kututoa, muda...
1 Reactions
1 Replies
920 Views
Mwanachama wa JamiiForums.com aliandika "Ningependa kutoa kero yangu kuhusu hali ya Vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufutika kwa haraka mno, na hii...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Jeep wrangler
KERO Responded 
Ujumbe kwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum @Dkt. Gwajima D *KUHUSU: Ucheleweshwaji wa Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) Kupitia Mfumo wa NIS...
0 Reactions
15 Replies
648 Views
Anonymous
KERO Responded 
NACTEVET ninaomba wajitathmini wanachotufanyia sio sawa. Habari Naomba niwasilishe changamoto mbili zinazonikabiri mpaka muda huu na nimeshindwa kupata msaada wowote kutoka Kwa watu wa nactevet...
0 Reactions
1 Replies
373 Views
Watu wa kimara wanateseka sana na ni mda mrefu sasa sahivi hata mtu akitaka kuhamia kimara na anafanya kazi posta au kariakoo na hana usafiri bnafsi basi anajifikiria mara kumi kumi sababu ya adha...
5 Reactions
37 Replies
1K Views
Secret person
KERO Responded 
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) ninaomba wajitathmini wanachotufanyia sio sawa. Habari naomba niwasilishe changamoto mbili zinazonikabili mpaka muda huu na...
2 Reactions
3 Replies
818 Views
Kayugumis
KERO Responded 
Mimi ni Mkazi wa Masasi, nilihamia huku miezi kadha iliyopita, moja ya changamoto ambayo niliikuta huku na wenyeji wanadai imekuwepo kwa muda sasa, ni suala la umeme kukatika mara kwa mara. Huku...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Daktareee
DOKEZO Responded 
Takriban mwaka miaka 3 tangu Serikali JMT kutangaza kuchukua umiliki wa hospitali ya Dar Group kupitia Waziri wa afya wa wakati huo Ummy Mwalimu siku ya makabidhiano na kuiweka chini ya umiliki wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
aise
KERO Responded 
Wakati basi za mwendokasi zinaingia Dar es salaam tulijua italeta ahueni kwenye swala la usafiri wa Umma, lakini yameleta mateso afadhali ya Daladala mara mia! Hivi hii inatokana na nini? Uhaba wa...
10 Reactions
122 Replies
3K Views
BigTall
KERO Responded 
Kwa Mwaka wa tatu sasa mtawalia sisi wakazi wa Makongo na Makongo Juu hadi Goba, barabara inayoenda hadi mzunguko wa GOBA CENTRE tumelalamika sana kwenu kwa barabara yetu kukosa daladala. Ahadi...
2 Reactions
4 Replies
719 Views
Anonymous
KERO Responded 
Mwendokasi upande wa DART, kuna changamoto ya uuzaji wa kadi, kwa sasa mfumo ambao unatumika ni wa kutumia kadi kununua tiketi lakini wao wametoa maelekezo kuwa hawatakuwa wanauza kadi siku za...
0 Reactions
0 Replies
304 Views
Anonymous
Responded 
Habari JF Naomba mtafute ile post tulituma kupitia jukwaa la malalamiko / fichua uovu Hatimaye tunawashukuru DAWASA wameanza mchakato wa huduma ya maji Kibaha-Pangani Pia soma ~ Mradi wa Maji...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
BigTall
KERO Responded 
Huu ni Ujumbe wa Msanii wa Bongo Fleva, Afande Sele kuhusu huduma ya Kituo cha Treni ya Mwendokasi (SGR) Mkoani Morogoro. Afande ameandika "Time is Money. 🔨Muda ni Pesa.. Muda ni Mali.. Muda ni...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Anonymous (62c3)
KERO Responded 
Habari. Baraza la wauguzi Tanzania (TNMC) ni Baraza lenye watumishi wengi sana nchini kaaribia asilimia 60 Kwa watumishi wote wa AFYA katika private sector na serikalini. Ila hili Baraza...
0 Reactions
3 Replies
743 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Ni jambo la kusikitisha na la kushangaza kuona jinsi ambavyo Wizara ya Elimu na baadhi ya taasisi zake zimeanza kuingilia kwa nguvu na pupa maandalizi ya mitaala ya vyuo vikuu, ikiwemo hatua ya...
0 Reactions
1 Replies
500 Views
Mindyou
Responded 
Wakuu, Kuna uzi nilianzisha humu kuhusu wasanii wa Tanzania kutosainiwa na lebo za kimataifa Hoja ya Mdau iko hapa ~ Ayra Starr amesainiwa Roc Nation. Tanzania tunafeli wapi wasanii wetu...
10 Reactions
52 Replies
4K Views
Back
Top Bottom