Responded Threads

Anonymous (9713)
KERO Responded 
Wakati Serikali ikiendelea kutekeleza mipango mbalimbali ya kuwakopesha vijana ili kuwawezesha kujiajiri, bado kuna kundi kubwa la vijana waliowahi kufanya kazi katika sekta binafsi ambao...
1 Reactions
5 Replies
516 Views
DodomaTZ
DOKEZO Responded 
Nikiwa pamoja na wenzangu zaidi ya 70, tulikuwa tukifanya kazi katika Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa takribani miaka mitano. Tulielezwa ajira zetu zingekuwa za mikataba ya muda mfupi ya...
3 Reactions
5 Replies
431 Views
Anonymous (3e29)
DOKEZO Responded 
Kuna watu watatu wamepigwa risasi za moto na askari waliokuwepo kwenye msafara wa Mkuu wa Wilaya ya Uvinza walipokuwa wakielekea Kijiji cha Kalilani kilichopo mkoani Kigoma Wilaya ya Uvinza...
1 Reactions
4 Replies
279 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Eneo la wazi la Biafra Kinondoni limebeba kumbukumbu na historia ya makuzi ya watu wengi kwa miongo kadhaa. Wengi wetu tumelikuta kama sehemu ya michezo, mikutano ya kijamii na hata sehemu...
2 Reactions
17 Replies
385 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Mimi ni miongoni mwa Watu 178 walioitwa kuripoti kazini na VETA tangu tarehe 14 Feb, 2026, tulifika ofisi za VETA Dodoma tukajaza taarifa binafsi, kisha tukaambiwa tusubiri maelekezo mengine…...
0 Reactions
0 Replies
167 Views
Anonymous
KERO Responded 
Naomba kuwasilisha kilio cha wananchi wa Mtaa wa PPF, Kata ya Kiseke ndani ya Manispaa ya Ilemela kuhusu tatizo kubwa la ukosefu wa maji ambalo limekuwa likiendelea kwa muda mrefu sasa. Kwa sasa...
0 Reactions
1 Replies
109 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kero yangu ni kuhusu vituo vya mafuta vya mitaani kuhusika katika uuzaji wa mafuta ya diesel kinyemela katika Kijiji cha Sukamahera, Wilaya ya Manyoni. Lori za mafuta zimekuwa na kawaida ya kuuza...
2 Reactions
11 Replies
232 Views
Anonymous
Responded HOJA 
Licha ya mahitaji makubwa ya walimu kwa Shule za Msingi na Sekondari, bado walimu wanaojitolea wanaishi maisha magumu, kwa kukosa posho na wengine wakiambulia kulipwa Sh 100,000 kwa mwezi...
1 Reactions
3 Replies
381 Views
Anonymous (9fef)
DOKEZO Responded 
Mimi ni muhitimu wa kozi fupi ya Forklift Operator katika Chuo cha Veta Chango’mbe Dar es Salam Mwaka 2025, pale kuna changamoto nyingi zinazosababisha watu wanahitimu wakiwa hawapo fiti, ni kama...
1 Reactions
2 Replies
237 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kuna tatizo kubwa la upungufu na ukosefu wa maji kwa vitongoji kadhaa kwenye vijiji hivi viwili ambapo baadhi ya wananchi wanapata maji kwa mgao na wengine hawapati kabisa. Mamlaka ya maji...
0 Reactions
1 Replies
158 Views
Anonymous
KERO Responded 
Mimi ni mkazi wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, kero yangu ni kuhusu watu wanaojiita Maafisa kutoka Halmashauri ya Wilaya, wanakuja Vijijini kudai leseni na wakikuta hauna bila kujali unauza...
0 Reactions
9 Replies
221 Views
Mawele
KERO Responded 
Wakazi wa Kimanga, Dar es Salaam, wataanza kukumbana na adha ya usafiri kuanzia kesho baada ya wamiliki wa daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo kutishia kuanza kugoma. Hatua hiyo...
0 Reactions
5 Replies
171 Views
Anonymous
KERO Responded 
Habari za muda naomba utusaidie kupasa sauti kwa kweli Halmashauri yetu ya Chato hawajatutendea haki sisi walimu wa sekondari tulioajiriwa Mwaka 2025. Walitupa fedha za kujikimu shilingi laki...
1 Reactions
9 Replies
355 Views
Anonymous
KERO Responded 
Sisi tuliokuwa wafanyakazi wa muda mrefu katika Hospitali ya JKCI-Dar Group (zamani ikijulikana kama Dar Group) tumejikuta katika hali ya sintofahamu kufuatia uamuzi wa mwajiri wetu kusitisha...
2 Reactions
0 Replies
283 Views
Anonymous (c61a)
KERO Responded 
Kuna foleni sana kila siku ya malori hasa muda wa asubuhi Kigamboni na njia ya Posta. Serikali iweke utaratibu maana wakazi wa Kigamboni kusipokuwa na malori hamna foleni kukiwa na malori ni...
2 Reactions
3 Replies
166 Views
Anonymous (b5ce)
KERO Responded 
Mimi ni mwajiriwa Mpya Manispaa ya TEMEKE, Dar es Salaam, March 6, 2026 tuliwekewa fedha kwenye account zetu waajiriwa wapya Idara ya Msingi, jumla ya Walimu 77 tuliwekewa fedha kwa wastani kila...
9 Reactions
80 Replies
2K Views
BigTall
Responded 
Wananchi hawa wa Mbagala Rangitatu, Dar es Salaam, wamedai kubomolewa makazi, vibanda vya biashara zao na Manispaa ya Temeke wakati kesi iko mahakamani, tukio hilo limetokea Mei 2, 2026. Wananchi...
1 Reactions
2 Replies
226 Views
Anonymous
KERO Responded 
Ziwa lipo jirani ila Wananchi wa Nyashishi na Usagara (Mwanza) hatujawahi kuwa na maji ya bomba Wananchi wa Nyashishi na Usagara Mwanza tangu Dunia iumbwe maeneo hayo hayajawahi kuwa na bomba la...
6 Reactions
13 Replies
246 Views
Nyakijooga
DOKEZO Responded 
Nina mgonjwa wangu ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure (Mwanza), moja ya changamoto ambayo nimeishuhudia hapa ni kwamba kuna tatizo kubwa sana la umeme kukatika mara kwa...
3 Reactions
3 Replies
491 Views
Nyakijooga
DOKEZO Responded 
Sisi ni Watumishi wa Umma katika Kituo cha Afya Mbande tunafikisha ujumbe huu kwa jamii tukitoa wito wa kufanyika kwa uchunguzi wa matumizi mabaya ya madaraka, uhujumu uchumi, maonevu ya kimfumo...
2 Reactions
22 Replies
455 Views
Back
Top Bottom