Responded Threads

Daktareee
DOKEZO Responded 
Takriban mwaka miaka 3 tangu Serikali JMT kutangaza kuchukua umiliki wa hospitali ya Dar Group kupitia Waziri wa afya wa wakati huo Ummy Mwalimu siku ya makabidhiano na kuiweka chini ya umiliki wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
aise
KERO Responded 
Wakati basi za mwendokasi zinaingia Dar es salaam tulijua italeta ahueni kwenye swala la usafiri wa Umma, lakini yameleta mateso afadhali ya Daladala mara mia! Hivi hii inatokana na nini? Uhaba wa...
10 Reactions
122 Replies
3K Views
BigTall
KERO Responded 
Kwa Mwaka wa tatu sasa mtawalia sisi wakazi wa Makongo na Makongo Juu hadi Goba, barabara inayoenda hadi mzunguko wa GOBA CENTRE tumelalamika sana kwenu kwa barabara yetu kukosa daladala. Ahadi...
2 Reactions
4 Replies
739 Views
Anonymous
KERO Responded 
Mwendokasi upande wa DART, kuna changamoto ya uuzaji wa kadi, kwa sasa mfumo ambao unatumika ni wa kutumia kadi kununua tiketi lakini wao wametoa maelekezo kuwa hawatakuwa wanauza kadi siku za...
0 Reactions
0 Replies
319 Views
Anonymous
Responded 
Habari JF Naomba mtafute ile post tulituma kupitia jukwaa la malalamiko / fichua uovu Hatimaye tunawashukuru DAWASA wameanza mchakato wa huduma ya maji Kibaha-Pangani Pia soma ~ Mradi wa Maji...
0 Reactions
0 Replies
320 Views
BigTall
KERO Responded 
Huu ni Ujumbe wa Msanii wa Bongo Fleva, Afande Sele kuhusu huduma ya Kituo cha Treni ya Mwendokasi (SGR) Mkoani Morogoro. Afande ameandika "Time is Money. 🔨Muda ni Pesa.. Muda ni Mali.. Muda ni...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Anonymous (62c3)
KERO Responded 
Habari. Baraza la wauguzi Tanzania (TNMC) ni Baraza lenye watumishi wengi sana nchini kaaribia asilimia 60 Kwa watumishi wote wa AFYA katika private sector na serikalini. Ila hili Baraza...
0 Reactions
3 Replies
761 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Ni jambo la kusikitisha na la kushangaza kuona jinsi ambavyo Wizara ya Elimu na baadhi ya taasisi zake zimeanza kuingilia kwa nguvu na pupa maandalizi ya mitaala ya vyuo vikuu, ikiwemo hatua ya...
0 Reactions
1 Replies
515 Views
Mindyou
Responded 
Wakuu, Kuna uzi nilianzisha humu kuhusu wasanii wa Tanzania kutosainiwa na lebo za kimataifa Hoja ya Mdau iko hapa ~ Ayra Starr amesainiwa Roc Nation. Tanzania tunafeli wapi wasanii wetu...
10 Reactions
52 Replies
4K Views
Mindyou
DOKEZO Responded 
Wakuu, Huko Nigeria sasa hivi ni shangwe na vigelegele tu maana kuna msanii wao wa kuitwa Ayra Starr amemwaga wino kwenye kampuni iliyoanzishwa na JAY Z ya kuitwa Roc Nation. Nilichopenda ni...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu! Juzikati Aprili 14, 2025 niliona kuna member hapa JF ametoa povu kuwa Mitaa ya Nyamwezi na Mhonda mlango wa kuingilia Soko Kuu (Shimoni) kuna chemba zilianza kutiririsha maji taka tangu...
0 Reactions
1 Replies
420 Views
BigTall
KERO Responded 
Soko Kuu la Kariakoo lililoungua Mwaka 2021 kisha kujengwa lote limekamilika, pamoja na kwamba kumekuwa na ahadi nyingi za viongozi wetu lakini kwa ufupi hakuna kinachoendelea cha maana mpaka...
1 Reactions
3 Replies
497 Views
Brela BRELA Niwaite Hapa Tuongee: Kuna katabia kenu ambapo mteja akipiga simu ambayo inahusisha Tatizo la kimfumo Agents wenu wanamwambia kwamba wanamuunga na watu wa Tekniko au sijui ndo IT...
2 Reactions
7 Replies
940 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kwenye uombaji wa mkopo kuna kipengele kipya cha kuweka National physical address (NaPA) hiki ni kipengele kipya kwa waombaji Mwaka 2025. Tatizo kimetolewa bila maelekezo yoyote na Wadau...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Anonymous
KERO Responded 
Ni takribanii wiki kadhaa tangu matokeo ya Mtihani wa Leseni yatoke mpaka sasa bado tunasubiri kutangaziwa siku ya kwenda kuchukua Leseni. Hili sio shida kwa sababu huenda ni Maandalizi...
1 Reactions
4 Replies
921 Views
Kayugumis
KERO Responded 
Leo Julai 16, 2025 nilikuwa nasafiri kutoka Mpanda kuelekea Sumbawanga, nikiwa Stendi Kuu ya Mabasi ya Mizengo Pinda nilienda msalani, jambo la kushangaza na kutisha nimekuta vyoo upande wa...
0 Reactions
7 Replies
749 Views
GENTAMYCINE
DOKEZO Responded 
1. Tangaza haraka Kuzuia vile Vijiwe vyote vya Kukodisha Mapira / Matairi ya Kuogelea 2. Kisha amrisha wanaotaka Kufanya hiyo Biashara Kwanza wajisajili Kwenu (Serikalini) na wekeni Ada / Tozo...
78 Reactions
341 Replies
19K Views
Jaji Mfawidhi
DOKEZO Responded 
Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu. Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda...
19 Reactions
394 Replies
61K Views
BigTall
Responded 
Nimepita kwenye barabara ya Mazimbo–Manyuki, ambayo niliilalamikiwa hapa JamiiForums, na nikaona ni vyema nilete mrejesho kuwa kwa sasa imekwanguliwa kwa kutumia greda ili kupunguza mashimo...
1 Reactions
6 Replies
601 Views
MeVSMe
KERO Responded 
Jamani mi natoa ya moyoni leo kwasababu naamini hapa JF ndo sehemu pekee nitaongea na kero yangu ikatatulika. Huwa tunaambiwa mteja ni Mfalme, lakini huu ufalme mbona kama umegeukia Kwa watoa...
16 Reactions
62 Replies
4K Views
Back
Top Bottom