A
Anonymous
Guest
Ni zaidi ya wiki mbili Sasa wakazi wa Utemini, Maendeleo, Relini na Maduka Matatu hatuna maji na hakuna taarifa yeyote kutoka MWAUWASA wanatutesa na bili zinakuja kawaida.
Katibu wa wizara ya maji yuko Mwanza sijui kama anafahamu juu ya hili tatizo..Wanawake na Watoto wanateseka na uhaba huu wa maji.
Tunaomba suluhisho.
Pia soma: MWAUWASA: Kukosekana kwa huduma Uzalishaji na Usambazaji wa Maji Mwanza imetokana na hitilafu ya umeme
Katibu wa wizara ya maji yuko Mwanza sijui kama anafahamu juu ya hili tatizo..Wanawake na Watoto wanateseka na uhaba huu wa maji.
Tunaomba suluhisho.
Pia soma: MWAUWASA: Kukosekana kwa huduma Uzalishaji na Usambazaji wa Maji Mwanza imetokana na hitilafu ya umeme