Responded Threads

Anonymous
KERO Responded 
Ujumbe huu uwafikie wenye mamlaka wa kutoa maamuzi juu ya usafiri wa Mwendokasi. Hali ilivyo sasa inatisha na kuzidi kuwa mbaya siku hadi siku kutokana na kuwa na mabasi machache yanayofanya...
3 Reactions
11 Replies
835 Views
JOHNGERVAS
KERO Responded 
Wakuu Kwema? Bila shaka muko salama. Mwezi uliopita Nilikuwa Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Baada ya mke wangu Kuhamishiwa hapo baaada ya Kupewa Rufaa kutoka Kituo cha Afya ambapo alienda...
45 Reactions
259 Replies
17K Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Kwa kweli huduma ya TTCL Fiber imekuwa changamoto kubwa katika maeneo mbalimbali Dar es Salaam. Wananchi tunafuata taratibu zote za kuomba huduma, tunajaza fomu na kusubiri, lakini kuna Watu zaidi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Msanii
DOKEZO Responded 
Mnamo tarehe 18 Novemba 2024 nilienda hospitali ya rufaa ya Mloganzila kumtazama shemeji yangu aliyelazwa pale na kichanga wake aliyejifungua kwa oparesheni. Nilipofika getini nilielekezwa na...
13 Reactions
61 Replies
4K Views
dndagula
DOKEZO Responded 
Ni kipindi cha miaka karibu 23 hivi tathmini ya kwa ajili ya uhamisho wa Kipunguni imekuwa ikifanyika bila mafanikio, hivi karibuni imefanyika tena na Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akathibitisha...
4 Reactions
88 Replies
9K Views
JanguKamaJangu
DOKEZO Responded 
Baadhi ya wanawake wajasiliamali wa Tarafa ya Karema Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoani Katavi wametoa kero ya kutokupata mikopo ambayo itawasaidia kuendeleza biashara zao. Wanawake hao...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Zanzibar-ASP
GE2025 DOKEZO Responded 
Kuna kitu cha ajabu kidogo kinaendelea hapa Tanzania kuhusu magari yenye plate number zenye maandishi ya SSH zikifuatiwa na namba za 25 30, 2025 30, nk Nimewahi kudadisi na kuchunguza kupitia...
13 Reactions
56 Replies
6K Views
JanguKamaJangu
PreGE2025 Responded 
Nimeona hii clip, wenyeji wa huko tuambieni kama ishu ina ukweli hii? ====================================== Wakizungumza na Wawakilishi wa Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Vita Rashid Kawawa...
4 Reactions
72 Replies
6K Views
Anonymous
KERO Responded 
Shule nyingi za Msingi na hata Sekondari zimejitengenezea utaratibu wa kuwafanyisha mitihani wanafunzi hasa walio katika mwaka wa mitihani ya Taifa kama Darasa la Nne, Saba, kidato cha pili na...
10 Reactions
101 Replies
4K Views
DuaZaMama
DOKEZO Responded 
Kwa kawaida, Bodi ya Ligi na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) wamekuwa wakitoa tuzo za msimu mara baada ya ligi kumalizika, lakini safari hii mambo yamekuwa kimya. Mashabiki na wadau...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Cute Wife
KERO Responded 
Wakuu, Nataka nikaionje SGR lakini naona TRC Railway wanataka kunihujumu. Website yao inafunguka vizuri tu lakini ukifika sehemu ya kukata tiketi za SGR inakwama. Kuna nini? Au wametoa taarifa...
0 Reactions
5 Replies
761 Views
Anonymous
KERO Responded 
Ningependa kutoa kero yangu kuhusu hali ya vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kufutika kwa haraka mno, na hii ni kwa vitambulisho vinavyotolewa...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Glenn
KERO Responded 
Vodacom kwa kipindi kirefu umekuwa ni mtandao tegemezi kwasababu ya ubora wa huduma zao zinazopatikana sehemu nyingi nchini kuliko mtandao mwingine kama ifuatavyo; 1. Huduma za kipesa ( mpesa)...
26 Reactions
129 Replies
12K Views
Viongozi ni reflection ya sura ya wananchi. Yaani kwa lugha nyepesi ni kwamba ukitaka kufanya tafiti yoyote kuhusu wananchi usitumie gharama kubwa. Wewe angalia viongozi wao, vivyo ndivyo walivyo...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kutoa wito kwa Serikali kuingilia kati suala la Kampuni inayohusika na kukamata wanaoegesha vibaya vyombo vya usafiri vya moto (wrong parking), akidai huduma...
0 Reactions
2 Replies
774 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Kwa madereva kwani wamekuwa wakikamata kwa uonevu unakuta dereva kaegesha sehemu ambayo muhusika wa ku-scan anaku-scan ila wao wakipita wanakukamata wakati ushascaniwa. Na pia wanakuta dereva...
2 Reactions
7 Replies
723 Views
  • Closed
britanicca
DOKEZO Responded 
Mombo Seleman aliyekuwa kwenye nafasi ya ubalozi ukanda wa Amerika Kusini wakati wa Nchimbi atachukua nafasi ya Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliyepo sasa! Swali kwanini kwa kipindi hiki...
60 Reactions
395 Replies
143K Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Jumapili Julai 20, 2025, bibi Mkazi wa Nyakato, Mwanza akiwa ametoka Kanisani akaenda kwenye shughuli zake nyingine, aliporejea nyumbani majira ya usiku akamuona mjukuu wake wa kiume mwenye umri...
10 Reactions
55 Replies
3K Views
Abdul Nondo
DOKEZO Responded 
Mh. Rais Samia ,Waziri wa Elimu Prof.Mkenda na Wizara ya Elimu kwa ujumla kwanza napenda kupongeza mfumo huu Mpya wa Samia Scholarship ulioanzishwa kutoa ufadhili wa Masomo vyuo vikuu 100% kwa...
10 Reactions
10 Replies
3K Views
Mshangazi mdogomdogo
DOKEZO Responded 
Kuna tukio limetokea huku kwetu Kijiji cha Msonga Kata ya Runzewe, Wilaya ya Bukombe Mkoani Geita, kama tutaendelea kubaki kimya hakuna kitakachofanyika na hatua hazitachukuliwa. Kuna kijana...
2 Reactions
6 Replies
953 Views
Back
Top Bottom