Responded Threads

Baada ya Wananchi mbalimbali kupitia Jukwaa la JamiiForums.com kuweka wazi malalamiko yao ya kutopata taarifa ya kujua lini hasa kitambulisho cha NIDA kinakuwa tayari kwa wale wapya waliojisajili...
5 Reactions
23 Replies
928 Views
Ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam inakanusha taarifa zinazosambaa katika baadhi ya majukwaa ya kijamii na vyanzo visivyo rasmi, zinazodai kuwa watumishi wa mikataba katika kitengo cha...
0 Reactions
1 Replies
257 Views
Anonymous
KERO Responded 
Mimi ni Mkazi wa Kijiji cha Kishangazi, Kata ya Shaghayu, Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga. Shule yetu ya Msingi Kishangazi, hapa kijijini ina Mwalimu mmoja tu kuanzia chekechea hadi darasa la saba...
2 Reactions
7 Replies
422 Views
Anonymous
KERO Responded 
Ni zaidi ya Mwezi sasa Baraza la Madaktari Tanzania (MCT) limebadilisha mfumo wake, sasa website yake imekuwa ina changamoto katika uombaji wa leseni mpya au ku renew ili ku-practice kwenye mwaka...
0 Reactions
0 Replies
221 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kuna kero inatukabili Wakazi wa Mbande Kisewe, hii barabara ya kutoka Mbande hadi Kisewe Stendi hapa Kituo cha Polisi kuna dimbwi kubwa la maji linalosababisha usumbufu kwa Watumiaji wa barabara...
0 Reactions
0 Replies
133 Views
Anonymous (646f)
KERO Responded 
Ndugu zangu tunaomba hili suala la meter za maji kuibiwa Moshi likomeshwe, hili jambo nilikuwa naliona kwa wenzangu kila mara mitaa yao wanaibiwa meter lakin asubuhi ya leo nimekuta mita kama tano...
1 Reactions
1 Replies
213 Views
Mawele
KERO Responded 
Mimi ni Mkazi wa Maili Moja, Kibaha Mkoani Pwani, huku kwetu Mtaa wa Muheza na mitaa mingine ya jirani kwa takribani zaidi ya miezi mitatu sasa tunapata bili ya maji Unit 0 ikiwa na maana hakuna...
1 Reactions
7 Replies
307 Views
Topintz
KERO Responded 
Kwa zaidi ya wiki sasa mtandao wa vibali vya kazi Kazi | ePermit unaosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano haufanyi kazi. Kabla ya kwenda chini kabisa, website ilikua slow...
2 Reactions
2 Replies
218 Views
Anonymous (c723)
KERO Responded 
Mimi ni mtumishi wa mkataba na hudumu katika Kituo cha Afya cha Sinza Hospital (maarufu kwa jina la Hospitali ya Sinza Palestina) kilichopo Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam. Kero yangu ni kwamba...
1 Reactions
3 Replies
230 Views
Anonymous (c723)
KERO Responded 
Mimi ni Mkazi wa Kimara Kilungule kwa Mkua. Kero yangu inahusu DAWASA mara ya mwisho maji kutoka ilikuwa tarehe 30/10/2025. Je, ni kwamba hii mamlaka imetusahau kabisa? Maana tuliambiwa mgao wa...
0 Reactions
0 Replies
93 Views
Anonymous
KERO Responded 
Wiki iliyopita nilienda Zahanati ya Kimara Mwisho kwa ajili ya matibabu ya kijana wangu ambaye hakuwa sawa kiafya, baada ya kufika tulipokelewa na kufanyiwa vipimo vinavyohitajika. Hata hivyo...
1 Reactions
3 Replies
182 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Kumezuka tabia mpya geti la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambapo kuna baadhi la Jeshi la Polisi wakishirikiana na SUMA wanasimamisha pikipiki kwa kigezo cha kuwakagua na kisha wanachukua pesa kwao...
1 Reactions
0 Replies
185 Views
Anonymous
KERO Responded 
Watu waliofanya kazi Zanzibar na wakamaliza mkataba wanaweza kunielewa na kutoa ushuhuda. Wakati wa kufuatilia mafao unaambiwa uwe umechangia miezi 18 bila hivyo hela hupati hadi ufikishe umri wa...
2 Reactions
2 Replies
142 Views
raiamwematz24
KERO Responded 
Wakazi wa Shekilango jiji Dar es Salaam tunashida kubwa sana ya uhaba wa maji, hatuna huduma tangu mwezi wa Desemba 2025. Watayafungua wao, wakipenda kufungua na bili za maji kama kawaida yaaani...
4 Reactions
6 Replies
340 Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Wananchi wa Segerea, Mtaa wa Twiga tunateseka sana kutokana na ubovu wa barabara, hasa wakati wa vipindi vya mvua. Maeneo mengi yamejaa mashimo na mvua inaponyesha hali huwa mbaya zaidi, kiasi cha...
1 Reactions
1 Replies
165 Views
Nyakijooga
KERO Responded 
Eneo la Msimbazi jijini Dar es Salaam, hususan kuanzia kituo cha mwendokasi Msimbazi hadi kituo kikuu cha mwendokasi Gerezani kupitia mataa ya Uhuru, usalama wa watembea kwa miguu upo hatarini kwa...
3 Reactions
6 Replies
275 Views
Roving Journalist
KERO Responded 
https://www.youtube.com/watch?v=6bYlhfMqEWs Wananchi wa Kata ya Buza Wilaya ya Temeke wameandamana kutoka Buza Kanisani hadi Ofisi za Chama cha Mapinduzi Kata ya Buza wakiitaka Serikali kurejesha...
2 Reactions
1 Replies
232 Views
ubongokid
KERO Responded 
TRA Tanzania Kwa muda sasa tangu mfumo wenu mpya umeanza watu wamekuwa wakipata changamoto ya IP kuwa blocked, yaani mteja anapojaribu kuingia kwenye mfumo anakuwa disconnected. Sijajua kama hii...
0 Reactions
1 Replies
250 Views
Anonymous
KERO Responded 
Mimi ni Mfanyakazi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kitengo cha ‘revenue collector’ katika masoko. Changamoto tunayopata Wafanyakazi wa Mkataba wa Halmashauri ya yetu: MOJA: Mshahara...
3 Reactions
3 Replies
300 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Ujenzi wa kipande cha Barabara ya Kilomita 1.6 kinachopita maeneo kadhaa ndani ya Manispaa ya Bukoba ambacho ujenzi wake ulianza Oktoba 9, 2023 ilipaswa kukamilika tangu October 8, 2024 mpaka leo...
0 Reactions
2 Replies
215 Views
Back
Top Bottom