Responded Threads

Anonymous (6235)
KERO Responded 
Barabara ya Tabata Kimanga for years hazipitiki na ndo mvua zikinyesha tunadumbukia dumbwi kwenye madimbwi iwe barabara kuu au ya bonde la mchicha. Magari yanaharibika aiseee. Wamemuondoa Mbunge...
0 Reactions
0 Replies
52 Views
Anonymous (739b)
KERO Responded 
Subject: A Message from an Egyptian Brother: 25 Days of Silence and Concern at Dar Port Habari Tanzania, I am writing this not as an official, but as an Egyptian citizen who has lived and worked...
5 Reactions
13 Replies
330 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Unapeleka transfer pale Halmashauri ya Ilemela Kitengo cha Ardhi umenunua ardhi tuseme ili wakupe form Namba 33 ya transfer apart kuwa umelipia malipo ya Serikali under control number...
1 Reactions
0 Replies
144 Views
Anonymous (0829)
KERO Responded 
Wananchi wa vitongoji vya Kikungili, Omukajiji, Rushanje na Rwandalo Kata ya Nyaishozi, wilayani Karagwe mkoani Kagera, tunakabiliwa wanalazimika kutumia maji yasiyo safi na salama kutoka kwenye...
0 Reactions
1 Replies
155 Views
Anonymous (c04c)
DOKEZO KERO Responded 
Eneo la Machinjio ya Halmashauri ya Mji wa Tunduma Mkoani Songwe kuna Daktari wa Mifugo ambaye jukumu lake ni kukagua nyama baada ya ng’ombe kuchinjwa, katika ukaguzi wake amekuwa akiondoa sehemu...
0 Reactions
0 Replies
226 Views
mirindimo
KERO Responded 
Serikali, Wizara ya Maji shida nini? Kuna mgao bado tena mgao mkali Kimara na viunga vyake, wamewakosa nini wale walipa kodi? Tulimwona Waziri wa maji kaenda China kujifunza vipi haijamsaidia...
4 Reactions
12 Replies
474 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kila Kitengo pale TRA kinatakiwa kuwa na customer care yake kama haiwezekani hivyo basi wagawe majukumu hata kidogo, wasiwe general tu or else wapewe authority ya kila kitu kwenye this new system...
1 Reactions
1 Replies
154 Views
vangisindo
KERO Responded 
Malalamiko ya ucheleweshaji wa kutoa vibali vya uhamisho kwa watumishi wa Taasisi za Umma ( Mfano: Elimu) walioomba kuhamia vituo vingine vya kazi kwasababu mbalimbali yameendelea kuwa mengi siku...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Anonymous
KERO Responded 
Watumiaji wa Stendi ya NaneNane Mkoani Mbeya tuna changamoto inayohusiana na usalama wetu, kwani nyakati za Usiku abiria wanaoshuka hapo wanakutana na giza kwa asilimia kubwa. Taa zipo ila...
2 Reactions
1 Replies
127 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Ukifuatilia ziara ya Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba ya hivi karibuni; utabaini kuwa kuna mamia kwa maelfu ya wananchi hujitokeza kwenye mikutano yake wakiwa na mabango, mafaili, nyaraka za...
0 Reactions
1 Replies
144 Views
Anonymous (bbf7)
KERO Responded 
Hii ni barabara ya Tarime Mjini – Nyamongo, iko katika hali mbaya na wahusika wala hawajali. Viongozi wanaohusika na Barabara na wale wengine wote hawalioni hili? Ubovu huu ni chanzo cha...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Mawele
KERO Responded 
Kuna chemba ya maji taka inayotiririsha uchafu kando ya Soko jipya la Kariakoo, ambalo limezinduliwa hivi karibuni na Rais Samia Suluhu Hassan. Chemba hiyo ipo kwenye kona ambapo daladala za...
1 Reactions
4 Replies
216 Views
Miss_Mariaah
KERO Responded 
Habarini za mchana, Wakuu mimi huwa situmii pombe, ni juice na soda tu na soda yangu pendwa ni Pepsi. Kila siku huwa nakunywa Pepsi tena napenda ikiwa baridi sana. Nilianza kunywa moja kwa siku...
24 Reactions
176 Replies
7K Views
Kijukuu cha Tanzania
DOKEZO Responded 
Stendi ya Mwenge ambayo inasimamiwa na Halmashauri ya Mansapaa ya Kinondoni ina mwaka mzima tangu ilipoanza kutumika, ambapo miundombinu mingi inayozunguka kituo hicho cha daladala imekamilika...
1 Reactions
0 Replies
209 Views
Anonymous
KERO Responded 
Barabara ya Mwanza Mjini kwenda Kangaye ni mbovu sana magari hayapiti kiasi cha kuleta adha kwa wanaoitumia kwenda mjini, wanalazimika kutumia gharama kubwa ikiwemo kupanda Bodaboda. Tunaomba...
3 Reactions
9 Replies
217 Views
Baada ya Wananchi mbalimbali kupitia Jukwaa la JamiiForums.com kuweka wazi malalamiko yao ya kutopata taarifa ya kujua lini hasa kitambulisho cha NIDA kinakuwa tayari kwa wale wapya waliojisajili...
5 Reactions
23 Replies
921 Views
Ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Dar es salaam inakanusha taarifa zinazosambaa katika baadhi ya majukwaa ya kijamii na vyanzo visivyo rasmi, zinazodai kuwa watumishi wa mikataba katika kitengo cha...
0 Reactions
1 Replies
256 Views
Anonymous
KERO Responded 
Mimi ni Mkazi wa Kijiji cha Kishangazi, Kata ya Shaghayu, Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga. Shule yetu ya Msingi Kishangazi, hapa kijijini ina Mwalimu mmoja tu kuanzia chekechea hadi darasa la saba...
2 Reactions
7 Replies
421 Views
Anonymous
KERO Responded 
Ni zaidi ya Mwezi sasa Baraza la Madaktari Tanzania (MCT) limebadilisha mfumo wake, sasa website yake imekuwa ina changamoto katika uombaji wa leseni mpya au ku renew ili ku-practice kwenye mwaka...
0 Reactions
0 Replies
219 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kuna kero inatukabili Wakazi wa Mbande Kisewe, hii barabara ya kutoka Mbande hadi Kisewe Stendi hapa Kituo cha Polisi kuna dimbwi kubwa la maji linalosababisha usumbufu kwa Watumiaji wa barabara...
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Back
Top Bottom