KWELI Threads

  • Article Article
Baada ya Afrika, bara la Amerika Kusini ndilo lenye watu weusi wengi zaidi wakikadiriwa kuwa zaidi ya milioni 170 huku Brazil ikiongoza ikiwa na watu weusi takriban milioni 120. Nchi ya Argentina...
6 Reactions
33 Replies
7K Views
  • Article Article
Nimekuwa katika jamii ambayo unaambiwa ni kawaida mwanamke kupata maumivu anapokuwa katika hedhi, kuna baadhi ya wanawake wamekuwa wakipata maumivu makali wakati wakuingia hedhi na kutokwa na damu...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Article Article
Kuna taarifa mitandaoni zimekuwa zikisambaa na kutanabaisha kuwa mazoezi ya "kegels" yanaweza kuongeza au kutibu shida ya nguvu za kiume kwa ufanisi, Je ni kweli?
1 Reactions
4 Replies
3K Views
  • Article Article
PICHA A PICHA B
3 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Article Article
Wakuu, Nimeona hii taarifa huko X kuwa polisi wazuia mikutano ya hadhara ya CHADEMA imezuiliwa, je ni kweli?
2 Reactions
6 Replies
1K Views
  • Article Article
Katika pita pita yangu ndani ya maktaba moja kubwa hapa nchini nimekutana na jina la huyu mtoto, Momčilo Gavrić na taarifa kuwa ndiye mtoto au mtu mwenye umri mdogo zaidi kuwahi kuingia vitani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Article Article
Kisayansi na kibaiolojia virusi wanasifa ya kutokuwa hai pale wanapokuwa nje ya seli ya kiumbe mwingine(host) na wanaweza kukaa muda mrefu bila kuwa na dalili zote za viumbe hai mpaka pale...
10 Reactions
34 Replies
11K Views
  • Article Article
Hivi kuna mpapai dume ambao watu wanasema ni ule ambao hauzai ila unatoa maua tu!?! (b) Kufunga gunzi la mhindi lina maana gani kwa mmea kama mpapai usio zaa ili uzae??
7 Reactions
17 Replies
5K Views
  • Article Article
Mwaka 2010 FIFA walimpatia nafasi Shakira ya kuandaa na kuimba wimbo maalumu kwa ajili ya michuano ya kombe la Dunia ya mwaka 2010 iliyofanyika Afrika ya Kusini. Kwa taarifa za juu ni kwamba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Article Article
Changamoto ya wanaume kuhangaikia nguvu za kiume imekuwa kubwa. Baadhi huamini kuwa supu ya pweza ni jawabu tosha, jambo lililomfanya samaki huyu ajipatie umaarufu mkubwa katika kunusuru ndoa na...
1 Reactions
5 Replies
12K Views
  • Article Article
Nimepata kukutana na marafiki zangu kadhaa na wamekuwa wakidai kuwa, wao hawapendi kabsa kutumia kondomu wakiwa kwenye faragha zao, huku wakidai kuwa mafuta au vilainishi vilivyomo ndani ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Article Article
Nimepata kusikia kuwa endapo nyoka akiingia ndani ya makazi ya mtu au nyumba basi njia bora zaidi ya kumtoa bila kumdhuru ni kuchoma kitu cha plastic kama mifuko au ndala na ile harufu inamfanya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Article Article
Eti ukikanyaga mifupa ya mnyama au mdudu mwenye sumu na ikakuchoma inaweza kukupelekea madhara kupitia kwa ile sumu ya mdudu au mnyama uliekanyaga mifupa yake iliyokuchoma? Mfano mzuri kwa mifupa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Nimekutana na picha hii mtandaoni inayodaiwa kupigwa Julai 30, 2024 kwenye michuano ya Olympics inayoendelea. Binafsi siamini, naona kama imetengenezwa. JamiiCheck tusaidieni kuihakiki.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Article Article
Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya? CPA Milton Mailos Lupa
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Article Article
Hello JamiiCheck, Nimeona mtandaoni ukurasa wa Mtandao wa X wa Watetezi TV ukikanusha madai ya kuwahi huchapisha taarifa ya Rais Samia akisema kuna madini kwenye baadhi ya hifadhi zetu na...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Article Article
Hivi ni kweli kuwa ukomo wa kurefuka na kunenepa kwa uume ni miaka 20? Yaani mtu mwanaume mwenye umri wa miaka 25 au 30, kamwe hawezi ku experience ongezeko la ukubwa wa uume wake? Kwa maana...
9 Reactions
101 Replies
57K Views
  • Article Article
Kuna picha inasambaa ikimuonesha Messi akiwa anamuogesha Yamal wakati Yamal akiwa mtoto. Naomba kufahamu ukweli wa ile picha na ilikuwaje Messi akakatuna na Wazazi wa Yamal enzi hizo.
1 Reactions
21 Replies
5K Views
  • Article Article
Nimeona video inasambaa mtandaoni ikimnukuu mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe akisema kama unataka kujiunga na chama cha wadhulumaji, wizi wa kura, ulaji wa rasilimali za Taifa, giza na...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
  • Article Article
Msemaji wa jeshi la polisi kasema ni padri, watu wanatwambia ni mlevi mmoja hivi. Which is which??
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom