KERO Threads

Anonymous (a103)
KERO 
Nina jambo ambalo linaumiza sana aisee, ni kuhusu Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwenye Kifurushi cha Toto Afya ambayo kinalipiwa Shilingi 150,000/=. Mtoto wangu amezaliwa na tatizo la...
4 Reactions
6 Replies
529 Views
Anonymous
KERO 
Kuna baadhi ya baa zinapiga mziki hadi usiku wa manane, sanasana maeneo ya Kinondoni ambapo zipo katikati ya makazi ya watu. Je, mamlaka zimefuta ile Sheria ya mwisho saa sita usiku au kwa sasa...
0 Reactions
8 Replies
149 Views
Anonymous
KERO 
Naomba kuwasilisha kilio cha wafanyakazi wa afya kutoka mikoa ya pembezoni kama Kigoma, Mara, Kagera, na Katavi, ambao wamepata nafasi ya kujiendeleza kimasomo lakini wanakutana na changamoto...
1 Reactions
1 Replies
158 Views
Anonymous
KERO 
Wakazi wa Wilaya ya Ubungo, Kata ya Baruti Mtaa wa Docha, Shina Namba 7 tuna kero kubwa kuhusu uwepo wa Kanisa (El Bethel Church) lililojengwa kiholela katikati ya makazi ya watu bila kuwa na...
0 Reactions
1 Replies
118 Views
Anonymous
KERO 
Kero yangu ni suala la uhamisho Halmashauri ya Mji Handeni limekuwa kama vita, maboss wanakalia barua za Watumishi za uhamisho kuhama imekuwa kipengele kikubwa hapo.
1 Reactions
11 Replies
263 Views
Anonymous
KERO 
Kero yangu ni kuhusu ajira katika kampuni binafsi. Nimefanya kazi kwenye kampuni inayoitwa Temboking Limited, lakini sikuwa na mkataba wa ajira licha ya kukatwa makato ya NSSF kama kawaida. Hii...
0 Reactions
1 Replies
106 Views
Anonymous
KERO 
Sisi Wananchi wa Wilaya ya Micheweni, Mkoa wa Kaskazini Pemba tuna malalamimo juu ya upatikanaji wa Vyeti vya Kuzaliwa katika Ofisi ya Uwakala wa Usajili wa Matukio ya Kijamii, ukihitaji...
0 Reactions
2 Replies
142 Views
Vyuma hivi hata uvipake oil chafu haviwezi legea Chuma cha kwanza Kwa sisi tunaoishi uswahilini ni shule za msingi za serekali, hizi shule sasa wazazi tunawatumikia walimu bila kujua kibri hichi...
6 Reactions
43 Replies
488 Views
Anonymous
KERO 
1. Kuhamia watu wanadaiwa kati ya laki 5 hadi milioni unaambiwa mchango wa kitanda lakini kweli kitanda hakuna mtoto atalala chini au watalala wawili. 2. Watoto wanalala wawiwili (kinyume na...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Anonymous
KERO 
Tunaomba utupazie sauti walimu Ajira mpya Halmashauri ya Bariadi DC mkoa wa Simiyu tupewe hela zetu za kujikimu. Tumekuwa tukipeleka taharifa kwa uongozi wetu na majibu tunayopewa ni aidha hela...
0 Reactions
2 Replies
125 Views
Anonymous
KERO 
Nachingwea tuna shida ya maji sana, yaani wapo kimya maji hayatoki, Almost two weeks sasa, Yaan yakitoka ni ndoo 6 yamekata. Nachingwea Kata ya Ugawaji maeneo ya Shule ya Msingi Majengo polisi...
0 Reactions
0 Replies
57 Views
Anonymous
KERO 
Kabla ya kupanda kwa mafuta nauli za daladala ilikuwa shilingi mia saba 700/= kwa abiria lakini kila ikifika jioni kuanzia saa 1 na kuendelea hupanda mpaka shilingi elfu moja 1000/=, kila abiria...
3 Reactions
16 Replies
388 Views
Malalamiko yamezidi nimeona nilifikishe hili hapa jukwaani ili Watanzania wengine walifahamu. Wazazi wamekuwa wakichangishwa michango ya kila siku, michango isiyokwisha, yaani kwa kifupi shule...
2 Reactions
12 Replies
171 Views
Anonymous (a103)
KERO 
Kuna tatizo katika kampuni hizi za kubet wateja wanalalamika wanatoa hela ila hela kwenye account zinatoka betPawa ila kwenye mitandao ya simu hazifiki, tukiwauliza wanasema tuwasiliane na mtandao...
3 Reactions
16 Replies
491 Views
Anonymous
KERO 
Tunaiomba mamlaka husika kuboresha mfumo wa Ajira Portal. Vijana wengi tunapata changamoto kubwa kupata usaidizi kuhusu mfumo huo kwani namba za mawasiliano hazifanyi kazi na email hazijibiwi...
1 Reactions
2 Replies
193 Views
Anonymous
KERO 
Wafanyakazi wa Kiwanda cha kuzalisha dawa za binadamu cha Keko (Keko Pharmaceutical Industries - 1997) wameipigia yowe Serikali wakilalamikia bodi na menejimenti, hususan mbia binafsi (kampuni ya...
1 Reactions
1 Replies
161 Views
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji Wanging'ombe(WANGIWASA) Waliopo kijiji cha Luduga kata ya Luduga Wamekuwa ni miungu watu kijijini hapa. Hawawajibiki kabisa kwenye majukumu tao yaani wao muda wote...
0 Reactions
2 Replies
94 Views
Anonymous
KERO 
Karavati hili lilijengwa kwa nguvu na mchango wa wananchi miaka mingi iliyopita, lakini hadi leo bado lipo katika hali inayotia wasiwasi mkubwa. 📍 Mahali: Mkoa wa Pwani, Mkuranga, Kata ya...
0 Reactions
0 Replies
77 Views
Anonymous
KERO 
Nimekutana na kadhia kubwa ambayo nilinunua viwanja kadhaa kwenye mfumo wa tausi eneo la bagamoyo. Na mwaka huu mwanzoni nilitaka kufatilia kupata hati ya viwanja vyangu. Ila nilishangaa kila...
1 Reactions
11 Replies
261 Views
Anonymous
KERO 
Shida ni kwamba hizi kampuni ambazo zinajihusisha na services za home internet zinakuwa kwanza hazisemiukweli interms of amount ya data unayopata, mfano unaweza kulipa unlimited kwa speed kiasi...
12 Reactions
19 Replies
700 Views
Back
Top Bottom