KERO Threads

Anonymous
KERO 
Mimi ni Afisa Mtendaji niliyeajiriwa mwaka 2024 katika Wilaya ya Hai, Idara ya Utawala. Tangu nianze kazi hadi leo, sijawahi kupatiwa fedha ya kujikimu kama inavyotakiwa. Kinachoniumiza zaidi ni...
1 Reactions
3 Replies
99 Views
Anonymous
KERO 
Nimeona taarifa ya DC mmoja akikemea utupaji taka kwenye Fukwe za Bahari ya Hindi. Taka zinazotupwa beach ni chache, kwani nyingi huingia kupitia mabonde ya mito inayopeleka maji baharini...
1 Reactions
2 Replies
97 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni Mkazi wa Jijini arusha, nina malalamiko yangu juu ya mamlaka ya Maji Arusha niliomba muunganisho wa maji mapya na wakanipa gharama za kulipia, nikalipia kwa muda muafaka ila cha kushangaza...
1 Reactions
1 Replies
68 Views
Anonymous
KERO 
Tunaomba muangalie na hizi Microfinance zinazo kopesha, riba imekuwa kubwa sana watu wanaumia especially na apps mfano wanajiita flying shilling ili uweze kupewa laki mbili ni lazima ukope laki 4...
0 Reactions
4 Replies
194 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mtumishi katika Wilaya ya Hai, nikiwa nafanya kazi kama Afisa Mtendaji tangu nilipoajiriwa mwaka 2024. Tangu nianze kazi hadi leo, sijawahi kupatiwa fedha ya kujikimu, jambo ambalo...
1 Reactions
2 Replies
80 Views
Anonymous
KERO 
Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi ni wiki Sasa hakuna maji, na hakuna maelezo yoyote ya lini maji yatatoka. Kwa sasa ndoo ya maji inauzwa Tsh 1000 mtaani. Sijajua changamoto ni...
0 Reactions
0 Replies
78 Views
Anonymous
KERO 
Uyole, Jimbo jipya la Mbunge Tulia Mkoani Mbeya nimelipia huduma ya kuunganishiwa maji safi tangu mwezi wa 4 lakini hadi leo hii tunaambiwa vifaa hamna. Wanataka tusubiri hadi vitakapo kuja...
1 Reactions
4 Replies
80 Views
Anonymous
KERO 
Katika Mtaa wa Nguku, Kata ya Nyandoto, Tarime Mjini, wananchi wanaishi katika hofu ya usalama baada ya mkulima mmoja kupanda mabingobingo (Napier Grass) katikati ya makazi ya watu. Nyasi hizo...
6 Reactions
12 Replies
230 Views
Anonymous
KERO 
Mamlaka husika zinazingatia sheria gani katika kupandisha madaraja ya watumishi specifically (waalimu)? kwani kuna walioajiriwa July 2022 na kuthibitishwa July 2023. Baadhi ya wilaya...
1 Reactions
4 Replies
197 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Mwanza, na napenda kuelezea changamoto kubwa tunayoipitia kila siku, hasa nyakati za asubuhi kwa wanafunzi wanaotegemea daladala kwenda shule. Kwa muda sasa, hali imekuwa ngumu...
3 Reactions
4 Replies
197 Views
Anonymous
KERO 
Tukiwauliza viongozi hatupewi majibu tunaishiwa kutishiwa tu na kujibiwa kisiasa kuwa akama ni haki yetu tutaipata hata kwa kuchelewa sana
0 Reactions
2 Replies
110 Views
Anonymous
KERO 
Chamwino Kada ya Afya tulioripoti March 2025 hatujalipwa fedha za kujikimu, Viongozi wanatupuuza Sisi Watumishi wa Halmashauri ya Chamwino Kada ya Afya tulioripoti March 2025, hatujalipwa fedha...
1 Reactions
5 Replies
205 Views
Makonda wa daladala za Masaki-Gerezani wamekuwa wakichukua nauli iliyozidi. Nauli ni 700 wao ukiwapa hela kama 1000 na kuendelea wanakukata 800 kwa kisingizio cha kukosa chenji.
0 Reactions
3 Replies
88 Views
Anonymous (169a)
KERO 
Daladala za Mbeya mjini kutoka stand kuu na kwenda sehemu mbali mbali maeneo ya jiji la Mbeya especially Uyole zimekuwa zinatoza nauli ya kianzio cha shilingi elfu 1 kama nauli ya chini hata kama...
0 Reactions
1 Replies
97 Views
Anonymous
KERO 
Kuna application hii ya kutoa mikopo mitandaoni inaitwa KKPESA naombeni muifuatilie kwa ukaribu sana. 1. Riba zao ni kubwa na inatakiwa mkopo ulipwe kwa muda mfupi sana siku 7. 2. Siku ya 6...
5 Reactions
30 Replies
502 Views
Anonymous (f916)
KERO 
Pembezoni mwa Hombolo Dam serikali ilikuja na project ya kupanda miti Na kukafanyika uzinduzi, mahema , misafara ya viongozi. Kumbuka hekaheka zote hizi zinafadhiliwa na pesa za walipa kodi...
0 Reactions
0 Replies
114 Views
Anonymous
KERO Responded 
Msewe Chief Kunambi Maji yamekuwa shida tangu November 2025 ✅️ Mvua ikinyesha maji nayo yanatoka, Ikikatika maji nayo yanakatika. ✅️ Tunamaliza wiki mbili bila maji ya mgao, yanaweza toka usiku...
3 Reactions
26 Replies
364 Views
Anonymous
KERO 
Ni kuhusiana na agizo la serikali kuhusu kima cha chini cha mshahara kuwa shilingi 308,000. Pamoja na maelekezo hayo kutolewa na kurudiwa mara kadhaa, kuna baadhi ya makampuni bado hayatekelezi...
1 Reactions
5 Replies
159 Views
Anonymous
KERO 
Hapa Mpwapwa Mjini tuna kero kubwa ya kuwa na dampo lango la stendi ya mabasi taka zinakaa muda mrefu sana na imekuwa changamoto ya muda mrefu sana harufu kali inahatarisha afya za watumiaji wa...
0 Reactions
1 Replies
83 Views
Anonymous
KERO 
Sisi Watumishi wa Afya kutoka Wilaya ya Geita DC tulioajiriwa kuanzia mwezi January 2026 hatujalipwa pesa za kujikimu na uongozi wa hautupi ushirikiano wowote. Soma Pia: Simiyu Itilima DC...
0 Reactions
0 Replies
73 Views
Back
Top Bottom