KERO Threads

Natoa rai kwa mamlaka husika kufuatilia hali mbaya ya miundombinu ya choo katika stand ya Bweri Musoma. Vyoo hivyo vimekuwa kitishio kwa afya na usalama wa watumiaji kutokana na uchafu na ukosefu...
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa Ulongoni A karibu na Bar ya Magogoni, Mtaa unaitwa kwa Makamba Jijini Dar es Salam hapa Ilala upande Kinyerezi, kero yangu ni umeme kukatika katika kila mara ifikapo saa moja...
0 Reactions
6 Replies
171 Views
Jiji la Mwanza licha ya kupewa upendeleo wakati wa JPM hadi kujengewa stand kubwa mbili za kimkakati ya Nyegezi (Nyamagana) na Nyamhongolo (Ilemela) lakini bado viongozi waliopewa kuongoza Jiji...
3 Reactions
6 Replies
218 Views
Anonymous
KERO 
Je, serikali haioni haja ya kutenga eneo maalumu ambalo garage zote zitakuwa mahala hapo zikiwa na miundombinu rafiki kuwezesha magari kuja kutengenezwa mahala hapo? Hii itasaidia hata Jiji la...
2 Reactions
10 Replies
228 Views
Kila mwaka vyama vya wafanyakazi vinasherekea siku ya wafanyakazi yaani mei mosi na sherehe hizi zinaendana na kutengeneza sure hususan Tshirt au kutoa khanga kwa ajili ya kushona. Jambo la...
0 Reactions
2 Replies
91 Views
Habari wakuu mimi ni mdau wa elimu kutoka mkoa wa Tanga nimekuwa nikifuatilia maendeleo ya elimu katika shule ya msingi Makole iliyopo katika halmashauri ya WILAYA Korogwe DC katika kata ya...
1 Reactions
1 Replies
108 Views
Anonymous
KERO Responded 
Kero yangu ni hii Ofisi ya Utumishi, nimewasilisha ombi la uhamisho zaidi ya miezi sita sasa likapita ngazi zote ndani ya mwezi mmoja, hii ni ngazi ya mwisho kabisa ya maamuzi lakini miezi kama...
4 Reactions
11 Replies
502 Views
Anonymous
KERO 
Nina jambo moja ambalo linaumiza vijana wengi waliosoma famasi Tanzania. Serikali imetumia mabilioni kusomesha wataalamu wa famasi, lakini baada ya kuhitimu tunaachwa bila mtaji, bila uwezeshaji...
1 Reactions
3 Replies
132 Views
Mimi ni mkazi wa Shekilango NHC maghorofani. Kwa kweli hali ni mbaya sana kwa sasa. Tumekuwa tukilipa fedha za usafi kila mwezi kama inavyotakiwa, lakini cha kushangaza, huduma ya ukusanyaji taka...
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi wa Afya Halmashauri ya Iramba Mkoani Singida, Hospitali ya Wilaya Kiomboi tunakaribia Mwaka sasa hatujalipwa stahiki zetu za Extra Duty na uongozi upo kimya kila tukiuliza tunajibiwa...
0 Reactions
1 Replies
226 Views
Anonymous
KERO 
Kwa muda mrefu wananchi wa Dar es Salaam tumekuwa tukitegemea huduma za mabasi ya UDART kwa usafiri wa kila siku. Awali, nauli ya kutoka Mbezi hadi Kimara ilikuwa Tsh 500 kwa umbali wa takribani...
2 Reactions
0 Replies
154 Views
Anonymous
KERO 
Kumekuwa na changamoto ya ukosefu wa taa za barabarani katika barabara nyinginza jiji la Mwanza hivyo kupelekea barabara nyingi usiku kutopitika na pia kuvutia wahalifu. Kwa mfano, barabara...
1 Reactions
0 Replies
88 Views
Anonymous
KERO 
Mamlaka ya maji safi na taka Mtwara mjini imeshindwa kutoa maji kwa wakazi wa shangani east, sijui na maeneo mengine kwa muda wa takriban miezi miwili. Afya za watu hawa zipo hatarini kwani...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
CRDB kama mpo hapa naomba mlifanyie kazi hii kero ya kuchelewesha kurudisha muamala hasa kwa sisi mawakala wa CRDB, Yaani muamala(shs 237,800/=) Wangu una mwezi mzima mpaka leo ni danadana...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Anonymous
KERO 
Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, tunaomba utusikilize sisi wafanyakazi wa Tanzania-Zambia Railway Authority (TAZARA) upande wa Tanzania. Takribani mwaka sasa hatujalipwa baadhi ya stahiki...
1 Reactions
3 Replies
140 Views
Ni kweli tunataka maendeleo ila kiukweli naona kabisa Yard ile kua pale jeshini sio sehemu sahihi. Kwa mtazamo wangu ilibidi isogezwe huko nje ya miji kuliko pale. Mfano usiku huu malori...
14 Reactions
90 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, hususan katika kata zinazopakana na nchi jirani ya Uganda, yaani kata za Mrongo na Bugomora, wananchi ni wazalishaji wakubwa wa zao la kahawa aina ya Robusta...
1 Reactions
1 Replies
197 Views
Anonymous
KERO Responded 
"Mimi ni mkazi wa Mwanza, ninaishi Mtaa wa Mpya, Kata ya Isamilo. Maisha yangu ya utafutaji yalianza hapa, na mkasa wangu ulianza hivi: Ilikuwa mwaka 2020 nilipofanikiwa kununua eneo langu hapa...
0 Reactions
7 Replies
343 Views
Anonymous
RESOLVED KERO 
Watu wa Kimara Michungwani mtaa wa Mengeni tunapata sana shida ya maji ingawa mvua zinanyesha lakini tunakaa week 3 hadi mwezi bila maji na tunaona hali hii haitatuliwi maana ni muda mrefu sasa...
0 Reactions
3 Replies
142 Views
Anonymous
KERO 
Fremu za Tegeta Nyuki zilijengwa na wananchi wakaambiwa wachukue kodi kwa miaka 10, kisha fremu zirudishwe Halmashauri wapewe wananchi wanaohitaji kupanga. Lakini mpaka sasa miaka 10 imeisha muda...
0 Reactions
4 Replies
127 Views
Back
Top Bottom