KERO Threads

Anonymous
KERO 
Watumishi wa Kada ya Afya Ajira Mpya, Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya bado hatuchapokea hela ya kujikimu, ajabu ni kwamba viongozi hawaongei chochote kuhusu hizo hela. Utaratibu wa malipo hayo ya...
0 Reactions
6 Replies
173 Views
Anonymous
KERO 
Ninaomba kuwasilisha kero kubwa inayotukumba sisi wafanyabiashara wa Kahama Mjini Kati. Barabara zetu ziko katika hali mbaya sana, zimejaa vumbi kupita kiasi. Kila gari linapopita linachochea...
2 Reactions
6 Replies
187 Views
Kumekuwa na tatizo la maji katika eneo la Lemguru Kisongo A to Z, maji hayajatoka miezi miwili sasa na bili za maji zinakuja zikiwa juu bila maelezo Tatizo limeripotiwa kwa Mkurugenzi idara ya...
1 Reactions
1 Replies
100 Views
Nina uhakika na shutuma hii kuwa ni kweli baadhi ya Kampuni za mawasiliano zinadanganya uma kuwa zinatoa kasi ya 4G au 5G lakini ukweli ni kuwa wamehariri majina ya Band lakini hawajafunga cable...
4 Reactions
3 Replies
118 Views
BM ni mojawapo ya mabasi ambayo imewekeza na kuingia kwenye usafiri na usafirishaji wa parcel kwa nguvu sana. Wana mabasi mengi sana route ya DAR-ARUSHA. Wasafiri wa kanda hizo wanapenda luxury...
0 Reactions
1 Replies
115 Views
Anonymous (8b5c)
KERO 
Baadhi ya vituo vya kutolea huduma za afya wilayani Karagwe ukienda kupata huduma usiku wanakwambia bima ya NHIF haitumiki usiku. Soma Pia: Changamoto kwa baadhi ya vituo vya afya na zahanati...
0 Reactions
3 Replies
152 Views
Kuna maudhi yanayoendelea kwenye customer care au call centre za Tanzania ambayo hatuwezi kuyafumbia macho. Na mengi ya maudhi haya yako mashirika ya simu, na mengine yanayotoa huduma nyinginezo...
4 Reactions
17 Replies
284 Views
Kwenu DAWASA Tabata, Waziri Aweso na watendaji wote wahusika; Mimi mkazi wa Tabata napenda kutoa malalamiko yangu rasmi kuhusu kukosekana kwa huduma ya maji katika eneo letu kwa muda wa zaidi ya...
2 Reactions
23 Replies
333 Views
Anonymous (8b5c)
KERO 
Usaili unaofanyika kwa ajili ya kuomba ajira hauna kiwango na sio halali. Sababu kuu ni: Maswali yanayotolewa hayana uhalisia wa kile nilichosoma. Mfano: Umesoma Veterinary unalatewa maswali ya...
0 Reactions
0 Replies
110 Views
Anonymous
KERO 
Ningependa kuwasilisha hoja yangu kwa Mamlaka ya Utumishi inayohusika na usimamizi wa mitihani ya mtandaoni kwenye usaili wa kuandika. Kumekuwa na mkanganyiko wa matokeo ambapo mtihani wenye...
1 Reactions
1 Replies
127 Views
Anonymous
KERO 
Hili ni barabara iliyopo Gongolamboto maeneo ya Bomba Mbili kuelekea Njia Nne Mbondole, njia ni mbaya kuanzia Moshi Bar hadi unafika Njia Nne, ili uweze kufika eneo hilo unatakiwa kufika hadi...
1 Reactions
1 Replies
166 Views
Anonymous
KERO 
Hivi TRA wameongeza kitu kwenye makato yao? Binafsi sijaelewa vizuri ni nini kilichoongezwa. Kuna ile kodi ya pango ambayo tunalipa siku zote mfano mimi nalipia Shilingi 72,000 kwa Mwaka, sasa...
3 Reactions
3 Replies
181 Views
Anonymous
KERO 
Kuna kero kubwa kwenye ATM za Equity Tawi la Moshi, mwezi wa pili sasa, ukitoa pesa inaonekana umetoa na SMS inakuja kuwa umetoa, na tozo zote unakatwa, cha ajabu hela haitoki na ukiuliza...
2 Reactions
8 Replies
129 Views
Anonymous (9edb)
KERO 
Watumishi wa ngazi ya chini, yani Askari kuanzia cheo cha CR III mpaka PCR1 kwa kipindi kirefu hakuna mabadiliko ya malipo ya posho mbalimbali ikijumuisha mazingira magumu, kodi za nyumba, posho...
6 Reactions
47 Replies
1K Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mwalimu, Nimehama kutoka halmashauri A tangu mwaka 2024 na sasa nipo halmashauri B lakini mshahara na taarifa za utumishi bado zinasoma halmashauri A. Na wanaohusika kuhamisha hizo...
2 Reactions
2 Replies
147 Views
Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Leo ni jumanne ya pasaka toka mwokozi wetu YESU KRISTO afufuke Hii nimeleta kama taarifa kuwa rift za majengo ya Victoria plaza jengo...
3 Reactions
29 Replies
345 Views
Anonymous
KERO 
Leo nilikua nasafiri Kutoka Mwanza, kufika getini, nikaonesha tiketi ya kidijitali (kielektroniki) kwenye simu. Katika hali ya kushangaza mhudumu akagoma ety napaswa kuonesha hardcopy au kulipia...
3 Reactions
8 Replies
174 Views
Anonymous (8b17)
KERO 
Halmashauri ya Bumbuli haijalipa posho ya kujikimu kwa ajira mpya tangu Mwaka 2025 Mwezi Februari, watu wanamaliza mishahara kulipia deni waliloahidi kupewa mwaka mmoha uliopita, kibaya zaidi...
2 Reactions
5 Replies
153 Views
Anonymous
KERO 
“UKOSEKANAJI WA METER ZA MAJI ARUSHA”. Tumekuwa tunapitia changamoto kubwa ya kuunganishiwa huduma ya maji Arusha kwa kisingizio kutoka AUWSA kwamba hakuna meter. Baadhi ya Wakazi wa Moshono...
2 Reactions
3 Replies
183 Views
Back
Top Bottom