Watumishi wa Kada ya Afya Ajira Mpya, Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya bado hatuchapokea hela ya kujikimu, ajabu ni kwamba viongozi hawaongei chochote kuhusu hizo hela.
Utaratibu wa malipo hayo ya...
Ninaomba kuwasilisha kero kubwa inayotukumba sisi wafanyabiashara wa Kahama Mjini Kati.
Barabara zetu ziko katika hali mbaya sana, zimejaa vumbi kupita kiasi. Kila gari linapopita linachochea...
Kumekuwa na tatizo la maji katika eneo la Lemguru Kisongo A to Z, maji hayajatoka miezi miwili sasa na bili za maji zinakuja zikiwa juu bila maelezo
Tatizo limeripotiwa kwa Mkurugenzi idara ya...
Nina uhakika na shutuma hii kuwa ni kweli baadhi ya Kampuni za mawasiliano zinadanganya uma kuwa zinatoa kasi ya 4G au 5G lakini ukweli ni kuwa wamehariri majina ya Band lakini hawajafunga cable...
BM ni mojawapo ya mabasi ambayo imewekeza na kuingia kwenye usafiri na usafirishaji wa parcel kwa nguvu sana. Wana mabasi mengi sana route ya DAR-ARUSHA.
Wasafiri wa kanda hizo wanapenda luxury...
Baadhi ya vituo vya kutolea huduma za afya wilayani Karagwe ukienda kupata huduma usiku wanakwambia bima ya NHIF haitumiki usiku.
Soma Pia: Changamoto kwa baadhi ya vituo vya afya na zahanati...
Kuna maudhi yanayoendelea kwenye customer care au call centre za Tanzania ambayo hatuwezi kuyafumbia macho. Na mengi ya maudhi haya yako mashirika ya simu, na mengine yanayotoa huduma nyinginezo...
Kwenu DAWASA Tabata, Waziri Aweso na watendaji wote wahusika;
Mimi mkazi wa Tabata napenda kutoa malalamiko yangu rasmi kuhusu kukosekana kwa huduma ya maji katika eneo letu kwa muda wa zaidi ya...
Usaili unaofanyika kwa ajili ya kuomba ajira hauna kiwango na sio halali.
Sababu kuu ni:
Maswali yanayotolewa hayana uhalisia wa kile nilichosoma.
Mfano: Umesoma Veterinary unalatewa maswali ya...
Ningependa kuwasilisha hoja yangu kwa Mamlaka ya Utumishi inayohusika na usimamizi wa mitihani ya mtandaoni kwenye usaili wa kuandika.
Kumekuwa na mkanganyiko wa matokeo ambapo mtihani wenye...
Hili ni barabara iliyopo Gongolamboto maeneo ya Bomba Mbili kuelekea Njia Nne Mbondole, njia ni mbaya kuanzia Moshi Bar hadi unafika Njia Nne, ili uweze kufika eneo hilo unatakiwa kufika hadi...
Hivi TRA wameongeza kitu kwenye makato yao?
Binafsi sijaelewa vizuri ni nini kilichoongezwa.
Kuna ile kodi ya pango ambayo tunalipa siku zote mfano mimi nalipia Shilingi 72,000 kwa Mwaka, sasa...
Kuna kero kubwa kwenye ATM za Equity Tawi la Moshi, mwezi wa pili sasa, ukitoa pesa inaonekana umetoa na SMS inakuja kuwa umetoa, na tozo zote unakatwa, cha ajabu hela haitoki na ukiuliza...
Watumishi wa ngazi ya chini, yani Askari kuanzia cheo cha CR III mpaka PCR1 kwa kipindi kirefu hakuna mabadiliko ya malipo ya posho mbalimbali ikijumuisha mazingira magumu, kodi za nyumba, posho...
Mimi ni mwalimu, Nimehama kutoka halmashauri A tangu mwaka 2024 na sasa nipo halmashauri B lakini mshahara na taarifa za utumishi bado zinasoma halmashauri A.
Na wanaohusika kuhamisha hizo...
Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Leo ni jumanne ya pasaka toka mwokozi wetu YESU KRISTO afufuke
Hii nimeleta kama taarifa kuwa rift za majengo ya Victoria plaza jengo...
Leo nilikua nasafiri Kutoka Mwanza, kufika getini, nikaonesha tiketi ya kidijitali (kielektroniki) kwenye simu.
Katika hali ya kushangaza mhudumu akagoma ety napaswa kuonesha hardcopy au kulipia...
Halmashauri ya Bumbuli haijalipa posho ya kujikimu kwa ajira mpya tangu Mwaka 2025 Mwezi Februari, watu wanamaliza mishahara kulipia deni waliloahidi kupewa mwaka mmoha uliopita, kibaya zaidi...
“UKOSEKANAJI WA METER ZA MAJI ARUSHA”. Tumekuwa tunapitia changamoto kubwa ya kuunganishiwa huduma ya maji Arusha kwa kisingizio kutoka AUWSA kwamba hakuna meter.
Baadhi ya Wakazi wa Moshono...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.