Mtemi Mbeyela
New Member
- May 19, 2026
- 1
- 0
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Maji Wanging'ombe(WANGIWASA) Waliopo kijiji cha Luduga kata ya Luduga Wamekuwa ni miungu watu kijijini hapa.
Hawawajibiki kabisa kwenye majukumu tao yaani wao muda wote wanatuomba rushwa na bila kuwapatia rushwa hawafanyi kazi yeyote ile kwako, badala yake watakuwa wanakupiga kalenda mpaka utajuta.
Wamekuwa na kauli mbovu kwa sisi wateja, pia wanang'oa mita bila taarifa, na gharana za kuingiza maji huwa wanataja mara mbili au tatu kabisa ya gharama halisi.
Tunaomba wahamishwe kituo cha kazi ili na sisi wananchi tupate kupumua kidogo.
Tunaomba Mamlaka zinazohusika zichukue hatua za haraka na za naksudi kabisa kulichunguza hili swala lakini pia kuwahamisha kazi vituo .
Hawawajibiki kabisa kwenye majukumu tao yaani wao muda wote wanatuomba rushwa na bila kuwapatia rushwa hawafanyi kazi yeyote ile kwako, badala yake watakuwa wanakupiga kalenda mpaka utajuta.
Wamekuwa na kauli mbovu kwa sisi wateja, pia wanang'oa mita bila taarifa, na gharana za kuingiza maji huwa wanataja mara mbili au tatu kabisa ya gharama halisi.
Tunaomba wahamishwe kituo cha kazi ili na sisi wananchi tupate kupumua kidogo.
Tunaomba Mamlaka zinazohusika zichukue hatua za haraka na za naksudi kabisa kulichunguza hili swala lakini pia kuwahamisha kazi vituo .