Pale Kibiti Boys Secondary School Mwalimu Mkuu na baadhi ya Walimu wao fimbo imekuwa ni njia ya malezi, hili suala imekuwa too much.
Kuna muda Wazazi na Walezi wa Wanafunzi wanaosoma hapo walitoa...
Kisarawe2 barabara tuliahidiwa barabara itatengenezwa ila toka wasitishe mwezi wa pili mpaka sasa barabara imeharibika.
Isitoshe hio, wamekataza magari makubwa kupitia njia ya Geza, kwa hiyo...
Goba bana kero ya maji kwenye hii mitaa yetu ni kero kubwa sana jamani, maji tunapata mara moja kwa mwezi na sio ya uhakika, tumeshalalamika mno, kiangazi ndo inakua balaa kabisa wakati huu wa...
Uongozi wa Chuo Kikuu cha UDOM uongeze umakini mkubwa katika usimamizi wa masomo ya postgraduate.
Wanafunzi wengi wa postgraduate wanacheleweshwa kimaksudi na kulazimishwa kulipa pesa nyingi za...
Siku ya sikukuu ya Idd, watoto waliniomba niwapeleke eneo la kuogelea. Nilishauriana na mke wangu, naye akapendekeza tuwapeleke Jangwani Sea Breeze, kwani ni sehemu iliyo karibu, na pia watoto...
Ndugu wana JF,
Kuna jambo linazidi kuwa kero kwa wasafiri wengi wa mabasi ya mikoani. Ni hii tabia ya makampuni ya bus kusimamisha safari kwenye vituo maalum vya chakula ambavyo bei zake ziko juu...
Kuhusiana na changamoto yao kwenye mfumo wa Ajira Portal.
Hii course Tanzania inatolewa CHUO CHA USHIRIKA KIKO MOSHI tu. Kwenye mfumo wa Ajira Portal haijapewa kipaumbele kwenye course za...
Naomba mtusaidie kupazia sauti baraza la Madaktari Tanzania (MCT). Wenye mawasiliano hayo hapo juu ni namba za huduma kwa wateja hawapokei simu.
Ni kero sana hadi ugharamike kutoka mikoa ya mbali...
Habari Wanajukwaa,
Naleta hili kama mdau na msafiri wa mara kwa mara. Tumekuwa tukishuhudia tabia isiyofaa kutoka kwa baadhi ya mabasi ya abiria yanayofanya safari za usiku kutoka Mkoani Mwanza...
Tunaiomba mamlaka husika hasa TANESCO kutatua tatizo la umeme mdogo (low voltage) katika eneo la Nyamhongolo Stand, Wilaya ya Ilemela, Mwanza.
Wananchi na wafanyabiashara wa eneo hili tunaendelea...
Habari Jamiiforum.
Mimi ni mkazi wa kigoma mjini naomba niwashirikishe changamoto yangu inayonisibu maana mamlaka husika imeshindwa kufuatilia hili suala kwa undani zaidi.
Kumekuwa na Ongezeko...
Kero yangu ni selcom penalty, Selcom ulikuja kama mtandao (mobile wallet) mbadala kutokana na kuwa na makato madogo.
Ila kwa sasa hali imebadilika umekua ni mtandao wa kukata watu hovyo ukifanya...
Kituo cha Mabasi Korogwe Mkoani Tanga kibovu mashimo yamejaa tunatoboa matairi, ushuru tunalipa ila ni kero tupu.
Tusipoingia tunakamatwa, hela zinaenda wapi za ushuru wa magari Stand ni mbovu...
BARUA YA WAZI KWA WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA NA TUME YA VYUO VIKUU TANZANIA (TCU)
KUHUSU MALALAMIKO YA NYONGEZA YA ADA YA EXTENSION KWA WANAFUNZI WA SHAHADA YA UMAHIRI (MASTERS) –...
Kuna Changamoto Ambayo Tunaipata Sisi Wahitimu wa Degree Ya Microfinance And Enterprises Development tunakuwa Auto Rejected kwenye Ajira Portal Wakati hata sisi kweye Core za Masomo yote...
Serikali hasa TAMISEMI watoe tu uhamisho hata kama hajamaliza miaka mitatu, haswa kwa hawa watumishi wapya!
Kuna baadhi ya wilaya za pembezoni kama mkoa halmashauri zao, watumishi wapya...
Kero yangu kubwa ni hapa Manzese Bar ya Kwa Mkwere wanafungua sana mziki kwa sauti ya juu mpaka nyumba zinatetemeka.
Wanapiga kuanzia jioni mpaka asubuhi, ni miaka zaidi ya mitano sasa tunakosa...
Miundombinu ya Shule ya Msingi Namahonga iliyopo Kijiji cha Namahonga, Kata ya Maundo, Wilaya ya Tandahimba Mkoani Mtwara ni mbaya kiasi kwamba wakati wa mvua baadhi ya Wanafunzi wanapewa ruhusa...
Habari jamii forum,
Mimi ni mdau kutoka Mpanda, Katavi.
TANESCO Mpanda wanakata umeme ovyo ovyo. Ni kama vile hakuna mamlaka ya kusimamia.
Yaani kwa siku umeme lazima ukatwe zaidi ya mara 3 na...
Mimi ni dereva wa bus, ya kwanza ni kituo cha mabasi chemchem Bagamoyo, ndiyo kituo cha kwanza kupandisha ushuru kuwa mkubwa Tanzania, awali ilikuwa shilingi 2,000 kwa siku then sasa hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.