Mimi na familia yangu tumefika mara mbili katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou Toure baada ya kupoteza wapendwa wetu katika miezi tofauti, tumekutana na changamoto ambayo baada ya kuuliza...
🚍 KERO MWENDOKASI MBAGALA
1. Mfumo wa kupanda 🚫
Mwendo kasi za Mbagala hairuhusiwi kugeuza. Ukifika mwisho, lazima ushuke halafu upange mstari upya ili upate siti.
👉 Hii inalazimisha baadhi ya...
Salaam JF.
Pamoja na fremu za Mwenge (nimeona JF mmreripoti kuhusu hii ishu), kuna fremu za KMC Complex (Uwanja wa Mpira, Mwenge - Dar es Salaam).
Hizi fremu ni kituko kinachoonekana mchana...
Sisi baadhi ya wananchi tuna malalamiko kuhusu hali ya utoaji huduma katika Hospitali ya Wilaya ya Igawilo, zipo changamoto mbalimbali zinazoathiri upatikanaji wa huduma bora za afya kwa leo...
Kero yangu ni huduma za kibenki Manispaa ya Kibaha, Kibaha nzima ina bank yenye ATM ya Umoja Switch moja tu nayo iko Hospitali ya Tumbi ambapo pia ni kushoto sana kutoka huduma zingine zilipo...
Mimi ni Mkazi wa Vikindu Kazole Mtaa wa Cheta Bich, kero kubwa ya huku kiukweli kipindi kama hiki cha mvua barabara haipitiki hata kwa pikipiki hali ni mbaya sana.
Zaidi ya sana natowa wito kwa...
Barabara ya Kilema Mkoa wa Kilimanjaro, Wilaya ya Moshi Vijijini, Kata ya Masaera Kusini ni mbovu sana, tunaomba mtusaidie kupaza sauti viongozi wanachaguliwa bure tu.
Barabara tangu nazaliwa...
Hapo ni Mbagala Stend ya Daladala, hivyo ni vyoo vya hapo, kila siku vinajaa havina usafi wa maangalizi ya Jamii, ujumbe huu ufike mbali ili hatua zichukuliwe kwani ni mwanzo wa kusambaza magonjwa.
Halmashauri ya Mkalama DC, Singida watumishi wa Ajira Mpya tangu Novemba 2024, Kada ya Afya, hawajathibitishwa kazini hadi sasa ni Mwaka na miezi 5, japo wapo baadhi wamethibitishi kwenye mfumo...
Serikali isafishe eneo la Kata ya Nala iruhusu watu wafuate utaratibu mzuri na mpango mzuri zaidi wa watu 2000 wanaweza kupata kujiajiri, itapata mapato kwa maegesho kwa kila gari linaloingia...
Mwezi March mwaka huu, watumishi wanaishi maisha magumu sana.
Shirika limeshindwa kulipa madi hayo ya watumishi, mfano fedha ya likizo baadhi ya hifadhi za mwaka juzi hawajalipwa
Pia limeshindwa...
Naomba kuwasilisha kilio cha muda mrefu cha ukosefu wa maji safi kutoka DAWASA sisi wakazi wa Goba Mpakani Mtaa wa Badilika, yapata sasa mwaka mzima na zaidi hatupati maji, mafundi wanapita...
Kero kubwa ya kukatika umeme na kuwa gizani ikifika Saa moja usiku, Mtaa wa NALA SHULE YA MSINGI hapa Dodoma, kila tukiuliza majibu ya wahusika ni kwamba umeme mdogo.
Je, huduma tunayolipia sisi...
Mimi ni Mwananchi kutoka Katavi Wilaya ya Mlele naomba Serikali iongeze Watumishi Idara ya Afya Kitengo cha Mionzi, kwani kuna Mtumishi mmoja tu naye anapitia changamoto za ajali ya mguu, hivyo...
Kero yangu Barabara ndogo ya kwenda Saku Mwisho Kata ya Chamazi - Dar es Salaam, Diwani kaweka matuta ya udogo kuanzia mwezi kwanza ila mpaka sasa hakuna chochote kilichofanyika.
Pia, baadhi ya...
Kwa sababu hii ni taasis inayofanya Biashara, sina haja ya kuivua Nguo, Itoshe kusema; Kulipa wafanyakazi Mishahara katikati ya mwezi unaofuata sio sawa kabisa!.
Kama mnafirisika bora mtangaze...
Kumekuwa na tabia ambayo imekuwa endelevu kwa baadhi ya mabasi mengi yanayotokea Kigoma kuelekea MWANZA, mfano GTA Express, kuuza wateja wake baada ya kukata tiketi usiku wake unapigiwa simu eti...
Watumishi wa Mtwara Manispaa wanadai posho za safari na kazi mbalimbali lakini Mkurugenzi halipi hela zote, anatumia yeye kusafiri kila siku hata muda wa kukaa ofisini hana.
Imeumiza sana, watu...
Tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu ucheleweshaji wa kurejeshewa fedha za tiketi za safari zilizoahirishwa kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa kutumia reli ya kisasa (SGR).
Kwa...
Mimi ni mdau wa ukurasa wenu. Nina kero moja, Watumishi wa Ajira Mpya (Walimu) za Januari 2026 wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam hatujapewa pesa zetu za kujikimu.
Kila tunapofuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.