Pembejeo izo vyenye thamani ya milioni 100 na zaidi vineibiwa kwenye godawn kuu la Wilaya ya Kibiti.
Huku kukiwa na juhudi lukuki kutoka kwa viongozi wa Wilaya kutaka kulizima swala hilo
Halmashauri ya wilaya ya Chato inachangisha pesa kwa wafanya biashara kwa ajili ya mwenge. Wakusanyaji wanaongozwa na mtendaji wa kijiji
Soma Pia:
Viongozi wa Kijiji cha Mlimba B, Halmashauri...
Wananchi wa Mtongani Mecco, Kunduchi, tunaendelea kupata mateso makubwa kutokana na kukosa njia ya uhakika ya kuingia na kutoka katika eneo letu baada ya kufungwa kwa barabara kufuatia mradi wa...
Kama una mpango wa kuja Mwenge ukitokea Tegeta au mbezi au Kawe tafuta njia nyingine tu
Kuna foleni ya kutisha na haisogei nimekaa hapa ni lisaa limekata hakuna matumaini ya kusogea hata...
Mimi nipo Mbeya huwa nasikiliza Redio Access FM kuanzia saa tatu usiku na kuendelea, kuna matangazo ya Waganga wanasema wanatoa mali kwa Sh 160,000.
Swali langu Je, Serikali inaruhusu mganga...
Huduma ya ttcl fibre Arusha ni mbovu, imejaa ubababishaji sana, mtu unalipia na unacheleweshewa kufungiwa na wakati huo kifurushi kinahesabika kinatumika. Hii tabia inakera, wahudumu hawana majibu...
Ndugu zangu wa JamiiForums Wasalaam,
Naleta mada hii mbele yenu nikiwa kama mkazi wa eneo la Kata ya Mlandizi mkoani Pwani. Lengo langu kuu ni kuomba hifadhi ya utambulisho wangu (Anonymous)...
Barabara inayotoka Chalinze kuelekea Mwarabu, kupitia Kijiji cha Malivundo hadi Msigi, ipo katika hali mbaya sana, kiasi kwamba wananchi wanapata shida kubwa kuitumia, hasa wakati wa msimu wa...
Walimu wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam tumelipwa nusu tu ya hela ya kujikimu yaani laki 550,000, tumeajiriwa tangu Februari mosi 2025.
Hiyo nusu yenyewe tumepewa baada ya mwaka mzima na...
Baadhi ya shule za sekondari za serikali katika kipindi hiki cha likizo, zipo ambazo zinaendelea kuwalazimisha wanafunzi kuhudhuria masomo bila utaratibu unaoeleweka.
Mfano, Shule ya Sekondari...
Baadhi ya wananchi wa Ukonga Mazizini, Mtaa wa Kwamakobe, tunawasilisha malalamiko yetu rasmi kuhusu mwenyekiti wa mtaa wetu, Musa Komba.
Kumekuwa na kero kubwa inayotokana na mwenendo wake wa...
Mimi ni moja ya watumishi wapya (Kada ya Elimu) Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu. Tangu January 2026 hatujapewa pesa ya kujikimu mpaka muda huu.
Hata ajira za mwaka jana (2025), February...
MAMLAKA YA MKOA WA SIMIYU – IDARA YA ELIMU: HESHIMUNI NA LIPENI STAHIKI ZA WALIMU WANAOSAHIHISHA MITIHANI YA MOCK
Baada ya baadhi ya walimu kukamilisha zoezi la usahihishaji katika masomo yetu...
Halmashauri ya Wilaya Tandahimba Ajira Mpya wengi wetu hatujapewa fedha zetu za kujikimu tangu tu report kazini Mwezi January 2026. Tunapouliza jibu huwa ni moja kuwa “Tunalishughulikia” bila...
Mimi ni mdau wa elimu kutoka Jiji la Arusha.
Kwa sasa dirisha la maombi ya kujiunga na vyuo vya kati kwa kozi za afya lipo wazi. Hata hivyo, jambo linalozua maswali mengi ni hatua ya NACTVET...
Mimi ni Mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya Itilima, Mkoa wa Simiyu, kuna Mtumishi ajira mpya Afya ali-report kituoni toka mwezi wa 7 mwaka Jana 2025 hadi leo yeye na wenzake wanalalamika kutolipwa...
Jumapili nilipata fursa ya kutembelea eneo la Gongolamboto AIESS, lakini nilichokikuta kuhusu hali ya usafi kinatia wasiwasi mkubwa.
Taka zimejaa na kulundikwa barabarani kabisa, hali...
Wilaya ya Mbarali Mbeya kuna changamoto ya umeme yapata Miezi 6 sasa, changamoto inayosumbua ni low voltage (umeme kukosa nguvu) hii inaathiri baadhi ya nyumba lakini kwa wamiliki wa viwanda yaani...
Kuna changamoto inayotusumbua sisi wanafunzi wa Chuo cha City College. Kila tunapotaka kufanya uhamisho kwenda vyuo vingine tunazuiliwa na kuambiwa kuwa chuo hakiruhusu kufanya uhamisho.
Hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.