Wafanyakazi hatulipwi kwa wakati na wapo walioingia kazini Nov. 2025 hawajalipwa mpaka imebidi waondoke na ni vijana waliotoka chuo, wanaishije?
Alikuja Mkurugenzi wa land planning somebody Mdeke...
Naomba kuwasilisha kero yangu kuhusu huduma ya TTCL hasa katika maeneo ya Wilaya ya Mbeya Vijijini mkoani Mbeya.
Nimeomba kuunganishiwa huduma ya fibre kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa, lakini hadi...
Nina matatizo makubwa sana, umri wangu ni miaka 30, nimeolewa lakini sijabahatika kupata mtoto, kwani nikiwa Kidato cha 4 nilifanyiwa oparesheni ya uvimbe, niliporeje home mama akaniambia huku...
Hizi Kadi za Mwendokasi inabidi ziboreshwe, unakuta ikiwa mpya au haijapata shuruba zozote inaonesha Namba ya Card ambayo Imeprintiwa juu ya lamination...
Sasa lamination ikitoka Namba ya Kadi...
Kuna changamoto ambayo ipo kwenye Kampuni ya Ulinzi Suma JKT kutoa mkataba baada ya mkataba wa kwanza kuisha hupewi tena, changamoto ipo kwenye suala la kupata likizo ni inachukua muda kupata au...
Nimefanya kazi ya kuwauzia milango Wilaya ya Nanyumbu, Mkoa wa Mtwara tangu Mwaka 2023 mpaka sasa sijalipwa, nimejitahidi kwa kadri nilivyoweza kuonana na wahusika lakini bado hali ni mbaya...
Mimi ni mdau na mtumiaji wa Stendi ya Makumbusho na eneo la Makumbusho ndipo palipo ofisi nifanyiapo kazi, kero yangu kuu kama mtumiaji wa stendi ile ni uchafu wa mazingira, hasa eneo au barabara...
Shida ni kwamba hizi Telecom Companies na pia other companies ambazo zinajihusisha na services za home internet hazisema ukweli interms of amount ya data unayopata, kwa mfano unaweza kulipa...
Kwa muda mrefu sasa, abiria wanaotumia kituo cha Mwendokasi Kivukoni tumekuwa tukipata shida kutokana na kufungwa kwa vyoo vilivyokuwa vinatumiwa na abiria.
Tunapowauliza wahudumu wa kituo hicho...
Nauliza hivi hizi bei za mbolea zilizopanda wakati huu Serikali inafahamu hii changamoto maana hatuoni tena umuhimu wa ruzuku
Maana sasa mbolea ni shilingi 85,000 kwa mbolea ya kukuzia hadi...
Mimi niliajiriwa Mwaka 2025 katika Halmashauri ya Ngara Mkoani Kagera lakini hela zetu za kujikimu mimi na wenzangu hatujapewa, tupo Kada ya ELIMU ila wenzetu Kada ya AFYA walivyofika tu wakapewa...
Mimi kufikisha kero zetu za Watumishi wa Halmashauri kuwa na mishahara midogo sana ambayo haiendani na watumishi wenzetu waliopo kwenye taasisi za kiserikali.
Mfano Engineer wa Halmashauri ajira...
Mtazamo wangu ni kuwa Shirika la Posta ndilo shirika lisilojielewa kuliko mashirika yote ya umma, ni vile tu huduma zake mbovu hazionekani kirahisi.
Mimi nipo Dodoma, nina sanduku langu la barua...
Tulikamatwa vijana zaidi ya 20 wa CHADEMA wakati wa Uchaguzi wa 2025 tarehe 28 Oktoba, ilikuwa kabla ya uchaguzi wenyewe, tulikuwa watu wa 3 tukanyang’anywa simu.
Ilikuwa katika Kituo cha Polisi...
Mimi ni Mtumishi nipo Kada ya Afya Mkoani Tabora, nimeajiriwa tangu Mwaka 2024, changamoto ipo Kada ya Ualimu na Afya intake moja
Barua za uthibitisho imekuwa kero lakini mikoa mingine...
Written interview za online ni unfair kwa sababu mifumo ya mitihani ya online huwa inaleta matokeo moja kwa moja punde tu unapomaliza kujibu mtihani, kwanini mfumo wa Utumishi haujatengenezwa...
Malalamiko yangu kwa vyombo vinavyohusika na usalama wa mitandao nchini hayajatokana na chuki, bali ni matokeo ya uchungu mkubwa ninaouona katika mwelekeo wa maadili ya jamii yetu.
Kwa muda sasa...
Nina siku ya pili napiga simu ya huduma kwa wateja NHIF na haipokelewi hii ni kero kubwa kwani kuwepo kwa huduma hii inatusaidia sisi kwenda kurundikana kwenye ofisi zao.
Napiga namba...
Habari JamiiForums.
Poleni kwa majukumu mnayoyafanya ya kufichua changamoto zilizopo katika jamii na mamlaka husika kuzifanyia kazi changamoto hizo.
Kero yangu ni kwamba, sisi wakazi wa Goba...
Mimi ni mtumishi wa afya Serikali za Mitaa, naomba kujua makato ya Pay As You Earn (PAYE) ni kwa ajili ya nini?
Naomba wizara husika iliangalie hili kwani linatesa walio chini tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.