KERO Threads

Anonymous
KERO 
Barabara hii ni mpya na ilikamilika kujengwa mwaka 2023 chini ya usimamizi wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma. Hata hivyo, tangu kukamilika kwake imekuwa ikikabiliwa na changamoto mbalimbali. Kwanza...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mwanachama wa mifuko kadhaa UTT na kwamba UTT wamefanya maboresho ya program ambapo program iliyokuwa inatumika zamani imefungwa tangu tarehe 01/03/2026. Sasa tatizo lililopo ni kwamba...
10 Reactions
56 Replies
2K Views
Anonymous
KERO 
Baadhi ya watumishi walioajiriwa wilaya ya Siha mwaka 2021, hatukulipwa mshahara wa kwanza wa July 2021. Imepita miaka minne sasa unaenda mwaka wa tano. Tumeshaandika sana barua na kujaza fomu...
2 Reactions
3 Replies
107 Views
Anonymous
KERO 
Umri wangi ni miaka 32, ninajishughulisha na biashara ndogo ndogo. Nilifunga ndoa Mwaka 2017 na mwanamke ambaye ni mtumishi wa Serikali, na tumebarikiwa kupata watoto wawili. Hata hivyo, tangu...
6 Reactions
32 Replies
555 Views
Mkurugenzi pole kwa uchovu wa kazi, najikita moja kwa moja kwenye hoja, mkurugenzi nimeamua kukuandikia barua hii ya wazi nikikupa taarifa kuhusu utiririshaji wa maji machafu ya chooni yanayotoka...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Anonymous
KERO 
Bus za shabiby zimepoteza na zimeharibu mzigo wangu nimefuatilia kwenye uongozi nimeambiwa ni shida ya Kondakta na ni mwezi umepita sasa tangu mzigo wangu kuharibika na mwingine kupotea hamna...
2 Reactions
5 Replies
165 Views
Anonymous (b4b1)
KERO 
Mimi ni mtumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Idara ya Utawala na Rasilimali Watu. Tuna changamoto kubwa inayohusu mfumo wa PEPMIS, ambapo mwaka 2025 tulitakiwa kupanda daraja lakini...
2 Reactions
25 Replies
862 Views
Anonymous
KERO 
Unakuta mtu una Cheti cha ndoa, umeshathibitishwa kazini, ukiomba uhamisho unakataliwa na kuambiwa uombe kwenye mfumo. Mfumo ukiomba haukuruhusu eti mpaka miaka mitatu. Hii ni kinyume na haki za...
1 Reactions
5 Replies
329 Views
Anonymous
KERO Responded 
Napenda kuwasilisha hoja kuhusu changamoto inayowakabili Wahadhiri wengi wa Vyuo vya Elimu ya Juu nchini katika mchakato wa kupandishwa vyeo. Kwa sasa, Wahadhiri wengi wamekwama kutokana na...
1 Reactions
7 Replies
295 Views
Anonymous
KERO 
Wananchi wa eneo la Pasiansi jijini Mwanza wamekumbwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa takribani wiki mbili sasa, hali inayosababisha usumbufu mkubwa katika shughuli zao za kila siku. Kinachozua...
1 Reactions
3 Replies
100 Views
Anonymous
KERO 
Wanafunzi wa MUST Mbeya Tunaomba Majibu Kuhusu Kuchelewa kwa Boom ya HESLB kwa Watumiaji wa CRDB Tunapaza sauti yetu kama wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kuhusu...
0 Reactions
1 Replies
105 Views
Kwa masikitiko makubwa, hali ya umeme katika maeneo ya Wilaya ya Chunya — Matundasi, Makongorosi, Lupa, Saza na Itumbi — imekuwa ya kudhalilisha wananchi na kuonyesha wazi kushindwa kwa mamlaka...
1 Reactions
1 Replies
104 Views
Anonymous
KERO 
Malalamiko yangu kituo cha mafuta satale mpigimagoe pump ⛽ zao zinatupunja mafuta tunaomba ewura wake wahakiki . Mafuta Yao ni machache ukilinganisha na unayoweka kwenye kituo kingine cha mafuta
1 Reactions
4 Replies
105 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mkazi wa kata ya Inyala Mbeya vijijini. Ni mwaka sasa umeisha tulipimishwa viwanja kwa bei ya laki 1 na elfu 30 kwa kiwanja ili tupewe hati. Lakini mpaka sasa wahusuka wamepotea tukipiga...
1 Reactions
2 Replies
187 Views
Anonymous
KERO 
Ningependa kuanza kwa kuipongeza JamiiForums kwa huduma nzuri mnayoitoa kwa jamii kwa kutoa jukwaa la wananchi kusikika. Leo ninawasilisha malalamiko yangu kuhusu huduma za mtandao wa Vodacom...
2 Reactions
6 Replies
107 Views
Habari, Nilijiandikisha na nida mwaka kati ya mwaka 2020-2022 nikapatan namba vizuri tu lakini baada ya hapo sijawahi kupata kitambulisho changu mpaka leo. Licha ya juhudi zangu kufuatilia...
1 Reactions
3 Replies
85 Views
Anonymous
KERO 
Watumishi Idara ya Elimu Wilaya ya Chalinze wanavyoonewa na kudhalilishwa na Afisa Elimu na baadhi ya Walimu Wakuu kwa kuwachongelea walimu kwa Afisa Elimu kisha kuwatisha kuwaharibia kazi...
2 Reactions
3 Replies
78 Views
Anonymous
KERO 
Mimi ni mmoja wa watumishi wa kada ya afya tuliyoajiriwa mwaka 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea. Kero yangu kubwa ni kutolipwa stahiki zetu za pesa za kujikimu (allowance) kama...
1 Reactions
1 Replies
60 Views
Anonymous
KERO 
Malalamiko yangu kuhusu nafasi ya Afisa Uhifadhi wa Bahari kwa upande wa Zanzibar kwenye mfumo wa Zanajira, kwenye nafasi hii sisi ambao tumesoma BACHELOR OF SCIENCE IN AQUACULTURE from SUA...
1 Reactions
1 Replies
131 Views
ngawia
RESOLVED KERO 
Bomba kubwa la DAWASA limepasuka maneno banana ukonga mkabala na Aviation house toka mwezi wa nne mpaka Sasa tumetoka taarifa DAWASA Kinyerezi na wamefika hakuna utatuzi wowote. Maji yanayomwagika...
1 Reactions
5 Replies
199 Views
Back
Top Bottom