KERO Threads

Nachoka mimi nachoka.... Tuliambiwa pindi ujenzi wa Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP) utakapokamilika na mitambo ya kufua umeme kuwashwa basi Tanzania itakuwa na uwezo wa kuzalisha kiasi...
10 Reactions
41 Replies
1K Views
Anonymous (b5ce)
KERO 
Mimi ni Mwananchi wa Manispaa ya Lindi, Mtaa wa Jangwani, kero yangu ni kuwa Barabara inayounganisha Mtaa wa Jangwani na Manispaa (mahala tunapopata huduma zetu za kila siku) imeharibika haifai...
1 Reactions
0 Replies
108 Views
Anonymous (b5ce)
KERO 
Hellow habari za Majukumu... Naomba mtusaidie kupaza Sauti sisi waajiliwa wapya wa kada ya AFYA katika halmashauri ya wilaya Butiama Hatujapewa Hela ya Kujikimu tangu tumepata Ajira mwaka Jana...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
Anonymous (270d)
KERO 
Habari, Mimi ni mkazi wa Morogoro mjini. Changamoto niliyokutana nayo TTCL Morogoro ni kuwa nilituma maombi kwa ajili ya kuja kufungiwa fiber internet kwenye eneo langu la kazi lakini maombi...
1 Reactions
5 Replies
161 Views
Ni zaidi ya miezi 10 sasa tangu tuajiriwe katik halmashauri ya manispaa ya geita. Kila tukiuliza wanasema hela hazijatolewa kutoka serikali kuu. Muda mwengine tukiuliza wanatujibu kikejeli sana...
1 Reactions
2 Replies
104 Views
Anonymous
KERO 
Kozi zinazotolewa CNMS hazina ajira moja kwa moja tofauti na kwenda kuwa Lecturer Chuoni. Mfano ni Bsc. Physics na Bsc. Biology. Unakuta mtu umebobea kwenye masomo magumu ya Sayansi bila kuwa na...
5 Reactions
12 Replies
323 Views
Habari Mimi ni mdau wa JamiiForums, nina hoja kuhusu suala la elimu Kwa wanafunzi wanaosoma shule za serikali Tanzania kwanini wizara ya elimu inawaruhusu wanafunzi vipindi vya masomo wanaenda...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Jengo la Sophia House lililopo eneo la Bakhresa (Tazara) linavujisha maji ya chooni kwa upande wa nyuma, na maji hayo yananuka na yanaweza kusababisha magonjwa sababu yanaingia moja kwa moja...
7 Reactions
22 Replies
269 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Kariakoo ni kitovu cha biashara na panaingiza fedha nyingi sana lakini ni eneo ambalo ni limesahaulika na watu wa manispaa au serikali za mitaa wanachojua ni kukusanya service levy tu. Mfano...
0 Reactions
1 Replies
111 Views
Wakuu, ushaona foleni hadi bodaboda inakwama sehemu inabidi isubiri gari zisogee? Sasa huku ni hizo gari chache ambazo zinatoka Mbezi juu, hali ya huko si ndio italuwa balaa? Na hii si asubuhi...
2 Reactions
13 Replies
245 Views
Anonymous
KERO 
Mimi nilikuwa Mfanyakazi kwenye kampuni ya Wachina inayojihusisha na michezo ya kubahatisha inaitwa BONANZA, ni kampuni maarufu sana na huenda ikawa ya kwanza kuingia nchini, nimefanya kazi...
8 Reactions
69 Replies
1K Views
Anonymous (c258)
KERO 
Sisi ni Wananchi wa Kijiji cha Mitatuni, Jimbo la Mtambile, Wilaya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba katika eneo letu tunaloishi kumepita mradi wa ujenzi wa Barabara ya Mtambile hadi Nanguji...
0 Reactions
2 Replies
127 Views
Precision Air wawajibike kwa kuwachelewesha abiria 'airport' bila maelezo yanayoeleweka, "tumekaa zaidi ya masaa matatu" Abiria ambao tulikuwa na tiketi za kusafiri na ndege ya Precision Air...
1 Reactions
6 Replies
639 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Hali ilivyo katika Jiji la Mwanza, Wilaya ya Nyamagana, Kata ya Kishiri, eneo la Mtaa wa Mnazi Mmoja kuelekea Bukaga ni mbaya sana. Wakati wa mvua, wananchi hushindwa kabisa kuvuka kutokana na...
1 Reactions
1 Replies
81 Views
Mkumbwa Jr
KERO Responded 
Wanajukwaa habari za muda huu. Ninalazimika kupanda jukwaani kutokana na usumbufu mkubwa sana uliopo Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSSSF . Hawa watu wanakuwa na vipengele vingi vya kufuatilia na...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Mlikuja vizuri, mkatufungia router ndani, mkachukua details zetu na mkatutumia control number tukalipia 55,000. Cha kusikitisha tangu tulipie mwaka jana mwezi wa 8 hadi leo huduma haijawahi...
8 Reactions
52 Replies
803 Views
Anonymous
KERO 
Sisi Waalimu wa Halmashauri ya Mkinga -Tanga, Tumekua Tukiahidiwa Pesa ya Kujikimu kuwa tutapewa lakini mpka Sasa pesa hiyo imekua ni danadana, Halmashauri wamekua na maneno Matamu ya KESHO ...
1 Reactions
8 Replies
173 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Kila maeneo ukipita kwenye hiyo Barabara lazima utakuta kuna maeneo ni pabovu au kuna viraka kama vyote. Serikali imekaa kimya, ajabu imeleta Mei Mosi ifanyike Njombe, hata hivi viraka vinazibwa...
0 Reactions
1 Replies
104 Views
Anonymous (c258)
KERO 
Ninapenda kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu ujazo wa gesi ya kupikia. Tarehe 24 March 2026 nilijaza gesi kama kawaida lakini cha kushangaza ni kwamba tarehe 10 tu ya mwezi Aprili gesi imeisha...
3 Reactions
10 Replies
166 Views
Mwanafunzi Mmoja wa Shule ya Msingi Mlembea iliyopo Tarafa ya Mashati, Wilaya ya Rombo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 13 amedai kubakwa na Wanaume watatu tofauti na kwa nyakati tofauti tangu...
1 Reactions
12 Replies
309 Views
Back
Top Bottom