A
Anonymous
Guest
Bus za shabiby zimepoteza na zimeharibu mzigo wangu nimefuatilia kwenye uongozi nimeambiwa ni shida ya Kondakta na ni mwezi umepita sasa tangu mzigo wangu kuharibika na mwingine kupotea hamna anayewajibika hata kidogo.
Kwa wakati huu ambao usafirishaji wa mizigo kati ya Dom na Dar umeongezeka angalau waonyeshe utayari basi kwa Umma.
Kwa wakati huu ambao usafirishaji wa mizigo kati ya Dom na Dar umeongezeka angalau waonyeshe utayari basi kwa Umma.