Me kiukweli alinambia ukweli alitembea na mwanaume mmoja tu na nilimuelewa
Mkuu ni kitu ambacho wanaume wengine kinatuuma tunapotezea tu lakini wengi tulitamani tuwe wa kwanza kwa wake zetu kama mpango wa Mungu ulivyo
Kingine nimegundua kwa sasa wanaume wengi hawana time ya kuangalia past ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.