Iran strikes Saudi Arabia’s major oil refinery

Iran strikes Saudi Arabia’s major oil refinery

Ujinga Tena !? Wewe kaa Kwa kutulia Ina maana wewe unawajua maadui wa Iran kuliko Iran wenyewe!?
upo siku utarudi kutoka kazini utakuta nyumba yako imelipuliwa na Iran kisa anatapatapa nchi zote duniani zisikie machungu anayopitia.
Afu tuone kama utachekelea ivi
 
Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.

Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Aramco ndio sponsor
 
Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.

Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Nakuona bwana ushauri kutoka bonyokwa......
Kwa hiyo wewe alivo uliwa kiongozi wa nchi kwako ni sawa ila ila kupigwq hayo ma tank ya mafuta unaanza kulia lia
Acha kuwa pangia irani namna ya kupigan
 
Iran has launched an aerial strike involving drones and missiles that hit Saudi Arabia’s major Saudi Aramco oil refinery and export hub at Ras Tanura on the Gulf coast, forcing the facility to temporarily shut down operations as a precautionary measure.

Iran wamewaambia saudia hawahusiki na Hilo shambulio
Labda wanaopora mafuta Venezuela ndiyo wahusika, maana bei itapanda
 
Kama ndio trend, kila rais akiingia madarakani USA lazima aanzishe vita yake!
The most inhumane, savage, barbarian, violent, tyrant, brutal human being is a Caucasian white male....
 
Husitegemee taifa lolote middle east likapigana na Iran, sababu ujasiri huo hawana hizo nchi zote zinalindwa na US na US anafanya hivyo sababu ya mafuta na maslahi yake. Iran anapiga hizo nchi sababj anajua US anamaslahi yake.
Kwahiyo akipiga hizo nchi au hayo maeneo, yanaathiri vipi USA kumpiga?
 
Kwahiyo akipiga hizo nchi au hayo maeneo, yanaathiri vipi USA kumpiga?
Kwa hiyo hata hizo roho za maskari wa US hazina maana?

Resource alizo invests zilizo middle east hazina maana?

Ila sikushangai kwa hiyo akili yako ya kuamini ndege mia mbili zimetanda anga la Iran, lazima hitoona US anapo athirika.
 
Nchi zinazotoa maeneo kwa ajili ya Military Base za US kuna somo limeshawaingia sasa hivi.
 
Nchi zinazotoa maeneo kwa ajili ya Military Base za US kuna somo limeshawaingia sasa hivi.
Tena sana ni ujinga mkubwa kuweka tumaini la usalama juu ya Jesh la Marekan!!

wkt wa vita Jesh lote linatafuta pakukimbilia bila aibu yoyote!!

sasa lilikuwa linamlinda nani siku zote zaidi ya kupiga pesa zako!!!!!!!!!
 
7EC8A7F9-F505-4BBC-A7C9-0675D822B204.jpeg
Mmeanza kuishauri Iran sasa
 
Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.

Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
IRAN anakufa na Wanafiq kama Saudi Arabia na Dubai ambao ni Puppets wa Marekani na Pia Marekani itaathirika kwakuwa inaitegemea Saudi kwa mafuta
 
IRAN anakufa na Wanafiq kama Saudi Arabia na Dubai ambao ni Puppets wa Marekani na Pia Marekani itaathirika kwakuwa inaitegemea Saudi kwa mafuta
Mafuta? 🤔

USA inachimba mafuta mengi tu kwake.
Halafu na wiki chache zilizopita imejipatia mafuta ya kujichotea tu huko Venezuela 🇻🇪.
(Venezuela ndo nchi inayoaminiwa kuwa na akiba kubwa ya mafuta duniani)

Hence, USA haina uhaba wa mafuta.
Na ukizingatia safari ya meli (oil tanker ship) kutoka Venezuela to USA ni chap tu.
 

Attachments

  • 1420263022254492.png
    1420263022254492.png
    163.2 KB · Views: 14
Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.

Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Iran Huwa Hana Target, Mabomu Yao waliya set Toka zamani, like kikinuka hili litadondoka Saudia, hili UAE, hili Oman, hili Bahrain, haya uelekeo Israel, wapi hasa, itajulikana kule yanapokwenda wenyewe ndiyo watasema yamedondokea wapi...!

Nchi inayoshindwa kulinda Viongozi wake, Mimi tu Kwa kipindi Marekani kasogeza Mizimu yake, ningekua na record Video na kurusha hewani nikiwa Chini huko kilomita 3 Toka Uso wa Dunia....! Wairan Akili kisoda.
 
Back
Top Bottom