Recent content by zogondo

  1. Z

    Nahitaji tiba ya mtu aliyepooza na uvimbe kwenye ubongo

    Wadau nina mgonjwa kapalalaizi tumeenda Muhimbili imesemekana ana uvimbe kwenye ubongo uliosababishwa na TB (kifua kikuu). Mwenye kujua dawa ya kuyeyusha huo uvimbe anisaidie, hata mawazo pia ntayapokea nilimradi nipate pa kuanzia.
  2. Z

    Tujuzane kidogo, Uchawi una nafasi gani katika biashara

    Uhu uhu uhu[emoji1787][emoji1787] acha nikucheke kwa dharau Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Z

    Sitasahau biashara ya uchimbaji ilivyonifilisi

    Ni pm tuyajenge Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Z

    Nafasi za kazi kampuni ya kuzuia ujangili (kwa waliopitia jkt tu)

    Kwa hiyo Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Z

    Msaada:kuhusu biashara y nguo vijijini

    Vitenge ?? Tenna chuo ??
  6. Z

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Hivi dawasa kwa nini mnakata maji kabla ya mwezi kuisha hamjui wengine tunapokea pesa tarehe thelathini
  7. Z

    Naomba kufahamu masoko ya kuuza asali kwa jumla

    Hujatoa mchanganuo kwa nini Kenya ?
  8. Z

    Nauza asali ya nyuki wadogo

    MAAJABU YA ASALI YA NYUKI WADOGO KM HUYAJUI PITIA DAKIKA 2 Asali ya nyuki wadogo/wapole(stingless bees' honey) imekuwa ikitumiwa toka enzi za mababu zetu kama chakula na tiba kwa maradhi mbalimbali, sababu kubwa ikiwa ni utajiri wa virutubisho, madini na uwezo wa kutibu magonjwa mara mbili...
  9. Z

    Soko la bata aina ya Moscovy

    Kanyagio tena la kitimoto
  10. Z

    Asali ya nyuki wadogo ni tiba soma hapa

    MAAJABU YA ASALI YA NYUKI WADOGO KM HUYAJUI PITIA DAKIKA 2 Asali ya nyuki wadogo/wapole(stingless bees' honey) imekuwa ikitumiwa toka enzi za mababu zetu kama chakula na tiba kwa maradhi mbalimbali, sababu kubwa ikiwa ni utajiri wa virutubisho, madini na uwezo wa kutibu magonjwa mara mbili...
  11. Z

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Umekurupuka Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Z

    Nahitaji kununua nta mkoa wa Tabora

    ncheki tuongee 0717709300
  13. Z

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    pia mwenye wimbo Wa ...... "Tanzania you are a beautiful country Tanzania you are my country in the woord" wimbo uliimbwa na watoto flan wa kike watatu wanaisifia Tz,
Back
Top Bottom