Forbes1990
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 513
- 989
Habari za Jumapili,
Napenda kufahamishwa masoko ya kuuza asali kwa jumla kuanzia lita 20 na kuendelea. Nimesikia wanunuzi wa kubwa ni viwanda vya madawa na cosmetics. Ukiachilia mbali kampuni zinazonunua asali kwa matumizi ya binadamu.
Hivyo basi naomba mnisaidie wakuu.
Asanteni sana.
Napenda kufahamishwa masoko ya kuuza asali kwa jumla kuanzia lita 20 na kuendelea. Nimesikia wanunuzi wa kubwa ni viwanda vya madawa na cosmetics. Ukiachilia mbali kampuni zinazonunua asali kwa matumizi ya binadamu.
Hivyo basi naomba mnisaidie wakuu.
Asanteni sana.