We Echolima1 saa zinginr ni mwehu. Khamenei aliuliwa siku ya kwanza ya mashambulizi ya israel na marekani tarehe 28. Nafasi ya Ayatollah iimejazwa au haijajazwa? Jibu ni imejazwa.
Viongozi wote waliouliwa na israel na marekani nafasi zao zimeshajazwa kwa kuwekwa viongozi wengine.
Strait of...
Kuna ukweli mwingi sana kwenye hoja yako. Sema tu uwasilishaji wako ndio kama unawachamba badala ya kuwashauti.
Ni kweli mitaro na mifereji isipofanyiwa usafi kunyandua ukiwa umeinamishwa lazima mnyanduaji aweke pua juu kama mbwa wa polisi.
Mbona nimeona kama waziri wa mambo ya nje wa iran amekiri kweli kulikuwa na mazungumzo, na akasema mazungumzo yalienda vizuri.
Kama Muajemi wa bongo mimi hili sijalifurahia. Iran inatakiwa iendelee kukaza. Haswa pale Hormuz, miguno ishakuwa mingi na mikubwa. Ilikuwa ni swala la muda tu.
Kete ya iran mpaka sasa ni kuvuruga upatikanaji wa gas na mafuta. Kwa hii kete marekani kashikwa pumbu.
Kiukweli Israel/Marekani wamepiga mahesabu vibaya. Iran anawashangaza wote na dunia kwa ujumla.
Kulamba K ni unyama. Kama Uumbwa, Ung'ombe, Umbuzi nk. Ndio maana mbwa, ng'ombe na mbuzi huwa wanazinusa na kuzilamba kabisa.
Hivyo kama unafanya hivyo jua wewe ni mnyama.
Kesho wale wavaaa suruali fupi sijui ni kaptura ndefu wanafungua.
Hawa ndio wapo sawa. Hawa wengine ni Waislam wa bakwata almaarufu waislam wa ccm. Kazi wanayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.