Recent content by Ziroseventytwo

  1. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe polisi, anatakiwa ajibiwe kwa risasi haraka

    Hii kauli lazima tu itamgharimu. Ila sisi watanganyika tumewezaje kukubali kutawaliwa na raia wakanchi kadogo cha viwango vya zanzibar!!! Huu muungano bora tu tuuvunje.
  2. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Orodha kamili ya Majina na Picha za Maelfu waliouawa Oktoba 29 kuwekwa hadharani

    Ccm chakavu hili tukio la Mo29 limewamaliza kabisa. Kila m1 anajitahidi kutete, badala yake ndio wanazidi kulikoroga. Hii kete Chadema waishikilie mpaka 2030. Isibanduke masikioni mwa watu. #freeTunduLisu katiba mpya
  3. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Full Text: The Reassessing the United States-Tanzania Bilateral Relationship bill

    Acha waminywe nje na chadema waendelee kupeleka moto huku ndani. Miguno itakuwa mingi sana this tym.. Kunguni hawa.
  4. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Neno 'MAFWELE' lirasimishwe na BAKITA, litumike kuashiria 'MAOVU'

    Inawezekana. Iliwezejana kwa kihiyo.
  5. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Heche: Lissu anaumwa sana Tumbo, nimeongea na mdogo wake

    Ila Mh Heche uwasilishaji wake wa hoja mpaka naogopa.
  6. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Pigo Kubwa Kwa Iran: Rais Xin Ping wa China Amesema China na Marekani Zinatakiwa Kuwa Washirika na Siyo Washindani

    Waliyoongea mbele ya camera za wanahabari sio mambo yaliyopmeleka Trump china. Hayo ni mengineyo. Kilichompeleka Trump China ni kwenda kuiomba Uchina kujaribu kuishauri Iran ifungue mlago wa Hormuz kuifichia aibu Marekani. Baada ya Pakistani kushindwa kushawishi pande zote za Iran na Marekani...
  7. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Samaki wasio na mapezi na magamba hawaruhusiwi kuliwa

    China wanakula nyoka, vyura, konokono na matakataka mengine yenye kinyaa kwa sisi tunaoangaika na dini. Unajua sababu ya wao kula haya matakataka? Sababu ni moja tu. Sio waamini katika imani zetu za uislam na ukristu. Hizi dini ndio zimejaribu kutuwekea limitation ya aina ya vyakula vya kula...
  8. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Huna huo ujasiri

    Sijaelewa. Utakuwa wewe ni mkamaria sugu. Maana unajua njia zote.
  9. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Nendeni Kilimanjaro International Leather Industry (KLICL) pale magereza moshi mkanunue mikoba original ya ngozi, acheni kuchezea pesa za watanzania

    Huo mkoba una nini haswa? Mbona hata mwonekano wake ni wa kawaida tu. Au ni kwa sababu umetoka nje ya nchi? Kama alivyosema mkuu Mshana Jr ufahari ni mama wa ujinga.
  10. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Najua watu wataniona mjinga ila Lamine Yamal is talented than Lionel Messi

    Kama ikitokea Lamin Yamal hatapona kwa wakati kabla ya world cup ya mwezi ujao, basi mashindano yahairshwe mpaka dogo apone kabisa. Dogo ndio star wa kwenye kombe la dunia la 2026. Amerudisha tabasamu kwa wapenda soka dunia.
  11. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Njia rahisi ya Kupunguza bei ya mafuta

    Kwani bei mpya zimetoka? Nimezurura kote huku sijaona hizo bei. Pikipiki yangu siwezi kuazimisha tena.
  12. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wamekuwa kama wale waliowacheka

    Kuna wakati utajiri ni sehemu ya shida za dunia. Bora kuwa na maisha mazuri. utajiri hapana.
  13. Ziroseventytwo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina neno, jioneeni wenyewe

    Kuna ushahidi wa % nyingi, shetani ni mwanamke. No matter what, ni mama zetu, wake zetu na mabinti zetu. Ila ushetani upo ndani yao.
  14. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania NYUMA YA PAZIA. Kwanini Heche ni Pandikizi Jipya kwenye upinzani?

    Mleta mada kwanza inaonekana unamwelewa Hecge. Ndio maana hata id yako umejiita Heche. 2. Ni kilele za kiwango gani zimeshapigwa na vyama vta upinzani jinsi nchi inavyoendeshwa kiboya kwenye sekta zote za kiuchumi, kijamii, elimu nk, na ccm imeziba masikio na haina hata habari. Heche ni mmoja wa...
  15. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Mnaweka namba za watu hadharani mkihamasisha watukanwe ila mnakana kuhusika na jaribio la mapinduzi Oktoba 29

    CHADEMA hatukutaka kupindua nchi au serekali kama mnavyodai. Sisi tulikuwa na lengo la kuzuia uchaguzi. Na tulifanikiwa kwa 100%. Idadi ya watu waliojitokeza kwenda kupiga kura ilikuwa ni wastani wa watu 17 kwa kila kituo. Hapo tulifanikiwa kuzuia uchaguzi au hatukufanikiwa. Serekali iliyopo kwa...
Back
Top Bottom