Hii kauli lazima tu itamgharimu. Ila sisi watanganyika tumewezaje kukubali kutawaliwa na raia wakanchi kadogo cha viwango vya zanzibar!!!
Huu muungano bora tu tuuvunje.
Ccm chakavu hili tukio la Mo29 limewamaliza kabisa. Kila m1 anajitahidi kutete, badala yake ndio wanazidi kulikoroga.
Hii kete Chadema waishikilie mpaka 2030. Isibanduke masikioni mwa watu.
#freeTunduLisu katiba mpya
Waliyoongea mbele ya camera za wanahabari sio mambo yaliyopmeleka Trump china. Hayo ni mengineyo.
Kilichompeleka Trump China ni kwenda kuiomba Uchina kujaribu kuishauri Iran ifungue mlago wa Hormuz kuifichia aibu Marekani. Baada ya Pakistani kushindwa kushawishi pande zote za Iran na Marekani...
China wanakula nyoka, vyura, konokono na matakataka mengine yenye kinyaa kwa sisi tunaoangaika na dini. Unajua sababu ya wao kula haya matakataka? Sababu ni moja tu. Sio waamini katika imani zetu za uislam na ukristu.
Hizi dini ndio zimejaribu kutuwekea limitation ya aina ya vyakula vya kula...
Huo mkoba una nini haswa? Mbona hata mwonekano wake ni wa kawaida tu. Au ni kwa sababu umetoka nje ya nchi?
Kama alivyosema mkuu Mshana Jr ufahari ni mama wa ujinga.
Kama ikitokea Lamin Yamal hatapona kwa wakati kabla ya world cup ya mwezi ujao, basi mashindano yahairshwe mpaka dogo apone kabisa.
Dogo ndio star wa kwenye kombe la dunia la 2026. Amerudisha tabasamu kwa wapenda soka dunia.
Mleta mada kwanza inaonekana unamwelewa Hecge. Ndio maana hata id yako umejiita Heche.
2. Ni kilele za kiwango gani zimeshapigwa na vyama vta upinzani jinsi nchi inavyoendeshwa kiboya kwenye sekta zote za kiuchumi, kijamii, elimu nk, na ccm imeziba masikio na haina hata habari.
Heche ni mmoja wa...
CHADEMA hatukutaka kupindua nchi au serekali kama mnavyodai. Sisi tulikuwa na lengo la kuzuia uchaguzi. Na tulifanikiwa kwa 100%. Idadi ya watu waliojitokeza kwenda kupiga kura ilikuwa ni wastani wa watu 17 kwa kila kituo. Hapo tulifanikiwa kuzuia uchaguzi au hatukufanikiwa.
Serekali iliyopo kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.