Recent content by Ziroseventytwo

  1. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Golikipa wa psg yeye bado anaendelea na tabia yake ya kupoga mipira ya goalkick nje.
  2. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    So far game ya fainal ni ile ya psg dhidi ya bayern. Game zote mbili. Hii haina hadhi ya kuwa game ya fainal.
  3. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Full Time UEFA Final: PSG 1 -1 Arsenal - Puskás Arena | May 30, 2026 - Baada ya Penati PSG anaibuka Bingwa (4-3)

    Arsenal mkichukua hili kombe ni dalili za wazi kabisa ccm kuanguka. Tuendelee kuiombea aseno.
  4. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Andoni Iraola ndio kocha mtarajiwa wa majogoo. Hii ni kwa mujibu wa Romano
  5. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Rais Trump, huyu Mzanzibari Samia Suluhu akikusumbua, mfuate kama Nicolás Maduro, Ramani hii hapa

    figganigga umenifurahisha pale uliposema mwanamke wa kwanza mwenye uroho wa madaraka.
  6. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    SIjapita hapa siku nyingi sana. Wale wadau mliokuwa mnachangamsha huu uzi amani iwe juu yenu. wale pro Russia na pro Ukraine. Huu uzi ulikuwa wa moto. Ila kwa sasa umepoa. Hata kama russia akipokea kipigo toka ukraine au ukraine akipata kipondo yoka kwa russia bado updete zinakuwa chache.
  7. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Tucheze mchezo wa Kombolela na WanaJF

    Enzi zangu nikicheza kombolela na binti pisi kama wewe lazima nikuambulie tu. Tunajificha pamoja. Those was a days
  8. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awazawadia Serengeti Boys, U17 milioni 500

    Mimi naanza maombi tupoteza fainali, tuone atafanyaje?
  9. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Hii kauli lazima tu itamgharimu. Ila sisi watanganyika tumewezaje kukubali kutawaliwa na raia wakanchi kadogo cha viwango vya zanzibar!!! Huu muungano bora tu tuuvunje.
  10. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Orodha kamili ya Majina na Picha za Maelfu waliouawa Oktoba 29 kuwekwa hadharani

    Ccm chakavu hili tukio la Mo29 limewamaliza kabisa. Kila m1 anajitahidi kutete, badala yake ndio wanazidi kulikoroga. Hii kete Chadema waishikilie mpaka 2030. Isibanduke masikioni mwa watu. #freeTunduLisu katiba mpya
  11. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Full Text: The Reassessing the United States-Tanzania Bilateral Relationship bill

    Acha waminywe nje na chadema waendelee kupeleka moto huku ndani. Miguno itakuwa mingi sana this tym.. Kunguni hawa.
  12. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Neno 'MAFWELE' lirasimishwe na BAKITA, litumike kuashiria 'MAOVU'

    Inawezekana. Iliwezejana kwa kihiyo.
  13. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Heche: Lissu anaumwa sana Tumbo, nimeongea na mdogo wake

    Ila Mh Heche uwasilishaji wake wa hoja mpaka naogopa.
  14. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Pigo Kubwa Kwa Iran: Rais Xin Ping wa China Amesema China na Marekani Zinatakiwa Kuwa Washirika na Siyo Washindani

    Waliyoongea mbele ya camera za wanahabari sio mambo yaliyopmeleka Trump china. Hayo ni mengineyo. Kilichompeleka Trump China ni kwenda kuiomba Uchina kujaribu kuishauri Iran ifungue mlago wa Hormuz kuifichia aibu Marekani. Baada ya Pakistani kushindwa kushawishi pande zote za Iran na Marekani...
Back
Top Bottom