Recent content by Ziroseventytwo

  1. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Watakwenda kuulizwa maswali magumu mpaka wajambe. We fikiria uulizwe wapi mlipo mpeleka Ben Saa8. Yuko wapi kwa sasa Mdude. This tym mamaeee kweli.
  2. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    UShahidi wa hiyo video unayosema mahakama imeukataa.
  3. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba aanguka Jukwaani!

    ANahitaji mapumziko huyu mzee. Serekali ijiandae kibebeshwa furushi la lawama hata kama ni hali ya ugonjwa au uchovu umesababisha mzee kuanguka. Ccm na serekali yenu hili mnalo.
  4. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Yesu anaweza kuizuia El Niño. Ukweli huu hapa!

    Natural disaster. Baba usiombee.
  5. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuendelea na maswali ya dodoso Mahakamani Agosti 27, 2026

    Ahsanteni kwa update za hii case. Japo hii ya leo haijakaa kwenye mtiririko kama alivyofanya jana mkuu Manyanza. Nitoe ombi kesho kwa wale mtakaokuwa mnatoa update muwe mnaiweka pale ukurusa wa kwanza na post namba 1. Ahsanteni kwa leo muwe na siku njema
  6. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Nchi "imetekwa" Tuamke.

    Wewe ni Heche OG au fake. Ila andiko lako lina ukweli. Nini cha kufanya sasa?
  7. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Kalazimishwa ajiuzulu au aondolewe. Kaamua kutunza heshima yake. Ni kama ilivyokuwa kwa Ndugai.
  8. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu aendelea kujitetea - Agosti 24, 2026

    Manyanza. Umefanya kazi nzuri sana. Ubarikiwe sana
  9. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Russia is burning!!! Ukraine kapeleka moto mkali, russia inawaka. Inasemekana UK drone made zimesababisha maafa makubwa huko moscow na mikoani. So far Russia nae anafikiwa ndani kabisa. Refinary kibao tu zimelipuliwa na drones. Jana tu zimerushwa drones 600 zipo zilizokuwa intercepted lakini...
  10. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Wasabato na kunena kwa lugha, hadi lini mtaishi katika uongo?

    Waacheni wasabato wapumzike. Nyuzi za wasabayo zimekuwa nyingi
  11. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Historia ya wachaga na magari mabovu

    Hili unalolizungumzia lilikuwepo zamani sana. Nadhani baada ya biashara ya vyuma chakavu kushamiri, haya magari chakavu yalikatwa katwa na kuuzwa. Kwa sasa sasa haya magari hayapo kabisa.
  12. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje parachichi tunauziwa bei kubwa hivi?

    Ila pesa yetu haina thamani kabisa. Kuna mdau m1 aliwahi kusema inawezekanaje pesa ya mwisho juu kabisa10,000 haitoshi kwa matumizi ya siku nzima? Ukiagiza mchemsho tu wa samaki inaisha na unakosa hata hela ya kimiminika. Kama maji , soda au juice. Hii pesayetu (tshs) ni takatakata kabisa.
  13. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Nadhani kuna kitu tumefichwa kuhusu mwenge

    Kwa mujibu wa historia, Mwalimu Nyerere alianzisha mwenge baada ya kuambiwa afanye hivyo na Wazee wa dar es salaam wakiongozwa na mzee Faraje Gonzwe. Ukipita pita kule kwenye jukwaa la historia kuna uzi unaelezea hii kadhia ya kuanzishwa kwa mwenge.
  14. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania watembelea ofisi za JamiiAfrica jijini Dar

    Hao wengine kwenye picha ni maModerator?
  15. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Good morning terrorist!

    100% upo sahihi. Ccm wameamua kuiharibu nchi kwa kushindwa kujibu hoja za chadema na wananchi wanaotaka mabadiliko. Ccm na serekali yake inadhamini vikundi vya kigaidi. Ref ni Mbwa mwitu na wale wengine wanaongozwa na sherkhe Mwaipopo. Kama wawakilishi wa nchi za magharibi waliona zile clipp...
Back
Top Bottom