Recent content by Ziroseventytwo

  1. Ziroseventytwo

    Dharau za Waislamu wa Zanzibar dhidi yetu Waislamu wa Bara

    Ni kweli. Kuna tofauti kubwa kati ya mwislam wa zenji na bongo. Bongo mashekhe ubwabwa ndio wengi.
  2. Ziroseventytwo

    TANZIA Seleman Said Bungara (Bwege) afariki dunia

    Ila huu una machozi. Sio wale wa nzi wa kijani. RIP BWEGE
  3. Ziroseventytwo

    Nimepiga Ban hawa members mpaka tarehe 11 /5 /2026

    Tlaatlaah ,ChoiceVariable Lucas mwashamba ninyi uvumilivu kwangu ushafikia mwisho. Kinachofuata ni kuwa ignore tu.
  4. Ziroseventytwo

    Tetesi: Brenda William Lukuvi kugombea ubunge jimbo la Isimani

    Watu wa Isimani watakuwa ni Matraakwo kweli kweli!!! Hilo jimbo kama vipi liitwe Lukuvi tuelewe moja.
  5. Ziroseventytwo

    Hilda Newton: Hili liwe funzo kwa Mafwele na genge lake. Christopher Bagenyi kunyongwa hadi kufa

    Zombe ana upepo. Alichomoka kwenye hii kesi. Aliuza sana magazeti.
  6. Ziroseventytwo

    Israel yadai kumuua Kamanda wa Iran, Alireza Tangsiri aliyetoa agizo la kufungwa kwa mfereji wa Hormuz

    We Echolima1 saa zinginr ni mwehu. Khamenei aliuliwa siku ya kwanza ya mashambulizi ya israel na marekani tarehe 28. Nafasi ya Ayatollah iimejazwa au haijajazwa? Jibu ni imejazwa. Viongozi wote waliouliwa na israel na marekani nafasi zao zimeshajazwa kwa kuwekwa viongozi wengine. Strait of...
  7. Ziroseventytwo

    Waziri Mstaafu wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis: Vita bila mkakati ni upumbavu

    Sa far Iran ndio ana kadi. Na akiitumia vizuri hii kadhia ya kushambuliwa mara kwa mara itaisha kabisa. Strait of Homurz ndio roho yake kwa sasa.
  8. Ziroseventytwo

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Kuna ukweli mwingi sana kwenye hoja yako. Sema tu uwasilishaji wako ndio kama unawachamba badala ya kuwashauti. Ni kweli mitaro na mifereji isipofanyiwa usafi kunyandua ukiwa umeinamishwa lazima mnyanduaji aweke pua juu kama mbwa wa polisi.
  9. Ziroseventytwo

    Iran yasema hakuna mazungumzo kati yake na Marekani, yadai ni njama za Trump

    Mbona nimeona kama waziri wa mambo ya nje wa iran amekiri kweli kulikuwa na mazungumzo, na akasema mazungumzo yalienda vizuri. Kama Muajemi wa bongo mimi hili sijalifurahia. Iran inatakiwa iendelee kukaza. Haswa pale Hormuz, miguno ishakuwa mingi na mikubwa. Ilikuwa ni swala la muda tu.
  10. Ziroseventytwo

    Nimehofishwa kidogo na upelekwaji wa hii ndege kule middle east na US. Si kwamba inatisha sana, hapana! Ila hayo ndio mazingira yake

    Kete ya iran mpaka sasa ni kuvuruga upatikanaji wa gas na mafuta. Kwa hii kete marekani kashikwa pumbu. Kiukweli Israel/Marekani wamepiga mahesabu vibaya. Iran anawashangaza wote na dunia kwa ujumla.
  11. Ziroseventytwo

    Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Kulamba K ni unyama. Kama Uumbwa, Ung'ombe, Umbuzi nk. Ndio maana mbwa, ng'ombe na mbuzi huwa wanazinusa na kuzilamba kabisa. Hivyo kama unafanya hivyo jua wewe ni mnyama.
  12. Ziroseventytwo

    Mufti: Mwezi haujaandama, Machi 20 tunakamilisha Ramadhani 30

    Kesho wale wavaaa suruali fupi sijui ni kaptura ndefu wanafungua. Hawa ndio wapo sawa. Hawa wengine ni Waislam wa bakwata almaarufu waislam wa ccm. Kazi wanayo.
Back
Top Bottom