SIjapita hapa siku nyingi sana. Wale wadau mliokuwa mnachangamsha huu uzi amani iwe juu yenu.
wale pro Russia na pro Ukraine. Huu uzi ulikuwa wa moto. Ila kwa sasa umepoa. Hata kama russia akipokea kipigo toka ukraine au ukraine akipata kipondo yoka kwa russia bado updete zinakuwa chache.
Hii kauli lazima tu itamgharimu. Ila sisi watanganyika tumewezaje kukubali kutawaliwa na raia wakanchi kadogo cha viwango vya zanzibar!!!
Huu muungano bora tu tuuvunje.
Ccm chakavu hili tukio la Mo29 limewamaliza kabisa. Kila m1 anajitahidi kutete, badala yake ndio wanazidi kulikoroga.
Hii kete Chadema waishikilie mpaka 2030. Isibanduke masikioni mwa watu.
#freeTunduLisu katiba mpya
Waliyoongea mbele ya camera za wanahabari sio mambo yaliyopmeleka Trump china. Hayo ni mengineyo.
Kilichompeleka Trump China ni kwenda kuiomba Uchina kujaribu kuishauri Iran ifungue mlago wa Hormuz kuifichia aibu Marekani. Baada ya Pakistani kushindwa kushawishi pande zote za Iran na Marekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.