Recent content by Ziroseventytwo

  1. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Maria Sarungi: Mfumo mpya wa ulipaji wa forodha, T - CAMS unahusishwa na familia ya Samia

    Mie niseme tu. Mapesa meeeengiìiii mimi siyataki. Hata utajiri mkuuubwaaaa sina haya nao. Nachotaka mimi ni maisha mazuri. Samia kama gili ni kweli huu upigaji hapana aisee.
  2. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Zuchu na Diamond wapata mtoto wa Kike

    Aanze majukumu sasa. Sio kydinywa tu.
  3. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Kuna ajali mbaya sana maeneo ya karibu na Makuyuni Arusha

    98% ya ajali ni uzembe. Tuwe makini.
  4. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Polisi waruhusu Mikutano ya hadhara.. Je, wamemgeuka Katambi?

    Ndio muda wakupeleka moto [emoji91][emoji91][emoji91]sasa
  5. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Super El nino 2026/2027.. El nino ya kihistoria

    Mara nyingi baada ya elnino kinachofuata hapo ni njaa. Mashamba mengi haswa ya kilimo cha mpunga yanakuwa hayawezi kuandaliwa kwa ajili ya kilimo, ambacho mara nyingi huwa maandalizi yanaanza mwezi decembar. Kushindwa kulima kunasababisha njaa. Mwaka unaofuata wa 2027-28. Hii naikumbuka vizuri...
  6. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda BREAKING: Dr Besigye collapses in court

    Watakuja wamuue huyu mzee. Mh Lisu asije akafikia hali hii. Sema Lisu akija mahakamani anakuwa na furaha na tabasamu.
  7. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Hussein Rais wa JMT 2030-2040

    Mh Tundu Lissu ndio atakuwa Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
  8. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Karibuni mbege wadau!!!!

    Wari o'mbeke uore umbi! Makundu na msesewe. Kunu kioso wari na mbeo hii kuichirima hnovoh Cc. chaggaz
  9. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Dodoma ndio Jiji lenye modern real estate kwa Tanzania

    Dodoma ndio mji unaokuwa kwa kasi kwa sasa. Kwa wale wapambanaji huku ndio kwa kuwekeza kwa sasa. Hardware Magari ya kubeba vifusi na mchanga(tipper)
  10. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Ukraine 🇺🇦 yapiga meli yenye zana za vita vya Iran 🇮🇷

    Ni muda sasa wa Putin kumalizana na Zeleskyy. Sio kwa mazungumzo. Zeleskyy anapaswa kuuliwa. Sijui Putin na Russia wanakwama wapi.
  11. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Natangaza kuidharau hotuba yote ya Emmanuel Nchimbi aliyoitoa leo kwa Wananchi, Imejaa ghiliba na uongo

    Nchimbi yupo sahihi. Anamaanisha kwamba japo serekali inampango wa kutuletea katiba mpya ila kuna mafisadi hayaitaji katiba mpya. Na ni kweli kuna watu wachache wenye utajiri mkubwa ambao hawataki mabadiliko kwa hofu ya mabadiliko.
  12. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Ukilewa usichat na usitoe hotuba, kongole wasaidizi kwa hili

    HIi nchi mpaka damu imwagike kama ilivyokuwa kwa Liberia ndio tutaheshimiana. Ile ya MO29 ule sio umwagaji damu. Tunataka ile ya liberia Haiwezekani wahuni wachache watuchezee namna hii.
  13. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

    Kwani nani anatutangazia kwamba hapa nchi kuna magaidi? Si ninwao wenyewe? Tayari wameshikilia magaidi zaidi ya 20. Tukiutangazia ulimwengu na dunia kwamba Tanganyika sio salama nani anatakiwa kulaumiwa? Wao au sisi?
  14. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Stake gani hizi jamani? Kutengeneza Adiction kwa stake za 100 mia ni ujuha.
  15. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Houthis yalipua matenki mafuta ya ARAMCO, Saudia

    Ndio mnavyolishwaga matango pori na nyie mnakula. Hata Hamas walikuwa wakiitwa magaidi. Uchaguzi ulipofanyika hamasi wakashinda kwa kishindo alichoshinda mama yako wa kizimkazi. Houthi kwa sasa ni sawa na Taliban, wanaiongoza Afganstan, Kama ilivyo kwa Hamas wanaiongoza Gaza. Houthi nao...
Back
Top Bottom