Mie niseme tu. Mapesa meeeengiìiii mimi siyataki. Hata utajiri mkuuubwaaaa sina haya nao. Nachotaka mimi ni maisha mazuri.
Samia kama gili ni kweli huu upigaji hapana aisee.
Mara nyingi baada ya elnino kinachofuata hapo ni njaa. Mashamba mengi haswa ya kilimo cha mpunga yanakuwa hayawezi kuandaliwa kwa ajili ya kilimo, ambacho mara nyingi huwa maandalizi yanaanza mwezi decembar.
Kushindwa kulima kunasababisha njaa. Mwaka unaofuata wa 2027-28.
Hii naikumbuka vizuri...
Nchimbi yupo sahihi. Anamaanisha kwamba japo serekali inampango wa kutuletea katiba mpya ila kuna mafisadi hayaitaji katiba mpya.
Na ni kweli kuna watu wachache wenye utajiri mkubwa ambao hawataki mabadiliko kwa hofu ya mabadiliko.
HIi nchi mpaka damu imwagike kama ilivyokuwa kwa Liberia ndio tutaheshimiana. Ile ya MO29 ule sio umwagaji damu. Tunataka ile ya liberia
Haiwezekani wahuni wachache watuchezee namna hii.
Kwani nani anatutangazia kwamba hapa nchi kuna magaidi? Si ninwao wenyewe? Tayari wameshikilia magaidi zaidi ya 20.
Tukiutangazia ulimwengu na dunia kwamba Tanganyika sio salama nani anatakiwa kulaumiwa? Wao au sisi?
Ndio mnavyolishwaga matango pori na nyie mnakula. Hata Hamas walikuwa wakiitwa magaidi. Uchaguzi ulipofanyika hamasi wakashinda kwa kishindo alichoshinda mama yako wa kizimkazi.
Houthi kwa sasa ni sawa na Taliban, wanaiongoza Afganstan, Kama ilivyo kwa Hamas wanaiongoza Gaza. Houthi nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.