Ungefananisha hivi ningekuona kidogo unafikirisha kichwa chako: ITALIA VS SAUDI ARABIA AU VATICAN CITY VS MAKKAH/MADINA
NOTE: Makkah na Madinah ndio sehemu takatifu na sio Saudi Arabia
NOTE2: Makkah na Madina haparuhusiwi kuingia kafiri yoyote mfano wako wewe mtoa mada
Sio sababu! Arusha jiji nayo imezungukwa kila upande na Arumeru lakini mbona mambo shwari. Damu za Masheikh wanaoteseka mikononi mwa Polisi zitalipwa kwa damu za haohao Polisi.
Kwahiyo wewe unaona ni sawa mto kukaushwa? Halafu acha kukariri maisha sio kila anaekaa Ungalimited ni muhuni wapo Maproffessor wapetokea maeneo hayo na inakubidi uwaombe radhi wakazi wa Ungalimited. Lowasa turudishie wakazi wa Arusha maji ya mto Themi.
Miaka ya sitini, sidhani kama ni kweli ila nijuavyo mimi kipindi nipo shule ya msingi Lemara na baadae nikahamia shule ya msingi Themi na hii ni mwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000 mto huu ulikua umefurika maji mengi sana mpaka kufikia maji kuingia kwenye maeneo ya watu msimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.