Saudi Arabia na Vatican city

Saudi Arabia na Vatican city

Endelea usitumie.... Leo jumapili hujenda kudance kwenye nyumba ya ibada?
Siku moja watu wote watatumia akili zao kama wewe afu wote watakuwa waislam. HUJAGUNDUA TU KUWA AKILI YAKO HAINA AKILI TU????
 
Siku moja watu wote watatumia akili zao kama wewe afu wote watakuwa waislam. HUJAGUNDUA TU KUWA AKILI YAKO HAINA AKILI TU????
Kuamini kuwa Mungu kachomwa chomwa ndio kuwa na akili? mhhh Kheri kuwa sina akili kama kuamini ivo ni kuwa na akili......
 
Kichwa wazi
d54f8d8e0bc281cb991bb1a062eedd51.jpg




Kafunika kichwa
375ead14e6e1237f221cb5202a4331f1.jpg
Ungefananisha hivi ningekuona kidogo unafikirisha kichwa chako: ITALIA VS SAUDI ARABIA AU VATICAN CITY VS MAKKAH/MADINA
NOTE: Makkah na Madinah ndio sehemu takatifu na sio Saudi Arabia
NOTE2: Makkah na Madina haparuhusiwi kuingia kafiri yoyote mfano wako wewe mtoa mada
 
ndo mjue waarabu c lolote kwao wanawaona ovyo tu na mafuta yenu cjui dhahabu
nendeni Europe muone hawa bulshit. wakiarabu na kihindi wanavyodharauliwa ni mijitu selfish na yenye roho mbaya unadhani ugaidi ni baati mbaya kuemerge kwao its how their
Yesu alikuwa mtaliani?
 
Ungefananisha hivi ningekuona kidogo unafikirisha kichwa chako: ITALIA VS SAUDI ARABIA AU VATICAN CITY VS MAKKAH/MADINA
NOTE: Makkah na Madinah ndio sehemu takatifu na sio Saudi Arabia
NOTE2: Makkah na Madina haparuhusiwi kuingia kafiri yoyote mfano wako wewe mtoa mada
Kafiri ndio nini mdau?
 
una compare Vatican na vitu vya kijinga.

Makka haisimami bila Mtawa mmoja jina Bi khadija ,spy aliyetumwa na kanisa catholic kuupika (reform) uislamu .

akiuua wanaume watatu kabla ya kuolewa na mtume.akiwa ndiye master plan ya safari zote za mtume.

Safari za kujifunza elimu ghali kwa wasabaeans.

leo wewe una thubutu kulishusha hadhi kanisa Catholic .kanisa lililo financial uislamu.

utakuwa zoba wewe.
Mnajinganya duh
 
una compare Vatican na vitu vya kijinga.

Makka haisimami bila Mtawa mmoja jina Bi khadija ,spy aliyetumwa na kanisa catholic kuupika (reform) uislamu .

akiuua wanaume watatu kabla ya kuolewa na mtume.akiwa ndiye master plan ya safari zote za mtume.

Safari za kujifunza elimu ghali kwa wasabaeans.

leo wewe una thubutu kulishusha hadhi kanisa Catholic .kanisa lililo financial uislamu.

utakuwa zoba wewe.
Kachambishe ki shack mbulula wahed.
 
Ninacho Amini mm Ugaidi ni Itiqad ya Mtu anaweza akawa ni Muislam /Mkristo hakuna dini inayofungamana na Fikra hizi za Kigaidi

Kwamfano Uislam ni dini ambayo iko mbali na Fikra za Kigaida sema watu wengi hawafahamu Mafundisho sahihi ya Uislam wao wanawaangalia Makundi Potezu kama Alshabaab , Boko Haram & ISIS hayo Makundi yako mbali na Mafundisho ya kiislam haya ni makundi ya watu wahuni na Waovu wanaofanya Ufisadi katika Ardhi kwasababu ya Ujinga walionao hawaja Soma Dini ni watu wajinga Hawana Hata Wanachuoni ( Islamic Scholars) wanao waunga mkono Bali hawa ndio wanaotoa Image Mbaya ya Uislam lakini Uislam uko Mbali kabisa na Makundi hayo

Mfano Mwingine Kule Africa ya Kati kuna kikundi Kinaitwa ANT-BARAKA hiki ni kikundi cha Kigaidi kinacho endeshwa na Wakristo Je kwakuchukulia Matendo yanayofanywa na Ant-Baraka na sisi tuseme Ukristo ni Dini ya Kigaidi?
Ndugu tufautisha kati Ya vita na ugaidi,so hao anti baraka wanapigana vita dhidi ya waislam ambao walianza kuwaua wakristo hovyo mitaani...na hao anti baraka hawawauwi waislam wasio na hatia ndo mana waislam Wa huko hukimbilia makanisani
 
Ndugu tufautisha kati Ya vita na ugaidi,so hao anti baraka wanapigana vita dhidi ya waislam ambao walianza kuwaua wakristo hovyo mitaani...na hao anti baraka hawawauwi waislam wasio na hatia ndo mana waislam Wa huko hukimbilia makanisani
Shabaha ya maneno ni kuwa Mkristo hawezi kuwa Gaidi au Unamaabisha nini?
 
Kama kuamini kitabu cha Mungu ni ugonjwa ni bora nisipone tu. Siwezi kuamini story za watu kuwa ni maneno ya mungu, wala siwezi kuamini dini ambayo inachagua kipi kiekwe kwenye kitabu cha "Mungu" na kipi kisiekwe
Jaribu kutumia akili na maarifa japo kidogo mpendwa unaushahidi gani kwamba Biblia takatifu inamaneno ya kuingizwa, je ulishawahi walau kusoma biblia na kufananisha na maandiko yaliyomo kwenye quaruan? Nakushauri usifuate mafundisho ya baadhi ya waislamu wenzako wapotoshaji kwamba wakristo wametunga biblia zao ukweli ni kwamba watu hao wamesoma biblia na kuugundua ukweli lkn wanaficha wengine wasijue ukweli uliomo kwenye biblia. Ushauri soma biblia utajua mambo mengi mazuri ndani yake na kukuongezea ujuzi, hekima na maarifa mintarafu uchaji wa Mungu
 
A
Dini ya kweli ni uislam. Ni dini pekee ambayo inatoka kwa Allah ambayo kitabu chake hakijatiwa mkono na yoyote. Na madhehebu yote ya kiislam, ikiwa shia, sunni na ibadhi wanatumia kitabu hicho hicho kimoja na hakina tofauti. Ukitafuta Quran ya miaka 1000 ilopita na hii tulokuwa nayo ndio hio hio.
Acha uongo wewe, waislamu wanatumia Quran, Hadith na suna ndio maana kuna mkanganyiko wa mambo na madhehebu yanaibuka kibao. Laiti tungeisoma Quran na kuielewa hiyo mikanganyiko wala isingekuwepo. Lakini tumeamua kufuata maneno ya watu na tukaiacha Quran. Na Mungu ametuonya sana kwa hili kwenye Quran.
 
Mambo ya IMANI ni magumu sana. ila mwezi huu (Ramadhani) hawa jamaa watakuwa wapole hawatatukana sana ila ukiisha, labda huu uzi ufutwe.
 
A

Acha uongo wewe, waislamu wanatumia Quran, Hadith na suna ndio maana kuna mkanganyiko wa mambo na madhehebu yanaibuka kibao. Laiti tungeisoma Quran na kuielewa hiyo mikanganyiko wala isingekuwepo. Lakini tumeamua kufuata maneno ya watu na tukaiacha Quran. Na Mungu ametuonya sana kwa hili kwenye Quran.
Mbona Unapupa mkuu? Lipi la uongo hapo nimelizungumza? kwamba waislam wa madhehebu yote wanatumia QURAN hio hio?

Ngoja nikufundishe kitu basi, kamwe hatuwezi sooote tukawa na ufahamu sawasawa. Kabla ya kusema kuwa tufuate Quran tu, tungekuwa tunasali vipi? Nioneshe kwenye Quran tunapofubdishwa kusali? au baadhi ya hukmu tungelizitoa wapi? au hizo sunna ungezijuaje?

Kwa faida yako tu, tofauti katika uislam zilikuja kisiasa zaidi kuliko kiimani. Chanzo kilianza kwenye suala la UKHALIFA.

Tulia usivabe usichokijua......

Kama wewe ni muislam, ningependa kuujua msimamo wako kuhusu Mungu, hebu nambie Mungu amekaa kwenye kiti cha Arshi?
 
Kama kuamini kitabu cha Mungu ni ugonjwa ni bora nisipone tu. Siwezi kuamini story za watu kuwa ni maneno ya mungu, wala siwezi kuamini dini ambayo inachagua kipi kiekwe kwenye kitabu cha "Mungu" na kipi kisiekwe
Hahahaha dini ni kuamini tu hata ujinga pasipo kuwa na uthibitisho na hicho ukiaminicho, leo hii mnadanganywa kuwa kitabu kiliandikwa na Mungu lkn ukiulizwa ulithibitishaji kama Mungu alihusika kukiandaa unaanza tilalila tu, au wewe ulisikia sauti ya Mungu ikikuambia kuwa ameandika kitabu?! Hahahaha mambo haya bhana yahitaji kujitoa akili tu kuyaamini

Mkuu chilibu mbona unamkimbia sana ndugu gemmanuel?

Mtendee haki angalau kidogo basi.
 
Ninacho Amini mm Ugaidi ni Itiqad ya Mtu anaweza akawa ni Muislam /Mkristo hakuna dini inayofungamana na Fikra hizi za Kigaidi

Kwamfano Uislam ni dini ambayo iko mbali na Fikra za Kigaida sema watu wengi hawafahamu Mafundisho sahihi ya Uislam wao wanawaangalia Makundi Potezu kama Alshabaab , Boko Haram & ISIS hayo Makundi yako mbali na Mafundisho ya kiislam haya ni makundi ya watu wahuni na Waovu wanaofanya Ufisadi katika Ardhi kwasababu ya Ujinga walionao hawaja Soma Dini ni watu wajinga Hawana Hata Wanachuoni ( Islamic Scholars) wanao waunga mkono Bali hawa ndio wanaotoa Image Mbaya ya Uislam lakini Uislam uko Mbali kabisa na Makundi hayo

Mfano Mwingine Kule Africa ya Kati kuna kikundi Kinaitwa ANT-BARAKA hiki ni kikundi cha Kigaidi kinacho endeshwa na Wakristo Je kwakuchukulia Matendo yanayofanywa na Ant-Baraka na sisi tuseme Ukristo ni Dini ya Kigaidi?
Hakuna mkristo Gaidi

Ova and Out
 
Back
Top Bottom