Katika Mkutano huu, Rais Zuma, JK, Melles, Raila Odinga na rais wa Guinea walipewa nafasi kuchangia nini hasa kifanyike ili Afrika iweze kupiga hatua....Jk kwa kweli lionyesha kutojua anachosema mwanzoni, kwa sababu pengine hakuwa anajiamini, hasa baada ya wenzake kumtangulia kutoa pointi za...