Kila jambo lina wakatu wake. Wan wa israel walipita jangwani miaka arobaini na wakaingia nchi ya ahadi yenye maziwa na asali.....hata ukiwa baharini wimbi likija lipishe usishindane nalo litakuua.
Aksante kwa taarifa, mimi sijawahi kuchoma hio chanjo na sika hata hicho kitabu cha njano, je naweza pata hio huduma hapo mnazi mmoja kila siku yeyote na ni sh ngapi kwa ujumla, niko morogoro nadio maana nataka nijue nisije kurupuka tu huku kumbe kuna siku maalum za kuchoma chanjo.
Nafikiri inabidi nchi hii iendeshwe kwa kutmia sheria na kanuni, kuna wimbi kubwa la watu wanaojiita madaktari wa tiba asili, wameawasaidia watu lakini nje ya taratibu na kanuni za tiba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.