Umekuwa mgeni na asenali tena?๐๐๐....
Endelea kuamini ikuaminishe maumivu๐๐๐๐
Hii n timu ya kufurahia matukio mengi yasihusisha kubeba ndoo๐
Yaan suala la kombe piga chini aiseee labda itokee tu kama muujiza au siti ipokonywe kombe na fifa๐๐๐...
Enewei n maamuz yako ila kwa ratiba ilivyo...
Hivi wodi klass mnaichukuliaje aiseee, wedi klasi ni wakina kroos,kdb,salah,kane,....binafsi natambua wediklasi kama ubora dhahiri katka kuleta matokeo yenye tija pasipo kushindwa kuwa na udumifu
Pale asenali labda odegaard tu japo nae kuna kipindi alipoteana na arteta akawa anampumzisha,saka...
Kuna asenali ya jukwaani ya wazee w mapenzi upofu na asenali ya kule wingereza yenye kina kai๐... ANGALIZO Moja ni matokeo yake unaambiwa kabla ya mechi pili matokeo yake baada ya mechiiii๐๐๐๐aloooo usizichanganye utapata kifukutoooo......
Poleni asenali lia lia,arteta kajitahidi ila...
Hii ndio asenali sasa haina vitu vipya sana kama unatarajia asenali kubeba kombe na ukasahau asili ya timu n kujilisha upepo tu๐๐๐.....
Hii ndio kwaheri ya kuonana ikitokea siti ajichanganye basi n kwa uchacheeee sanaaaaaa kiufupi asenali ndio msimu umeisha
Kimsingi arteta anakua na kuendelea kukua jana amejifunza kitu kuwa hkule yuefani kosa moja unanyolewa mara hio hio๐๐๐.....
Mechi ijayo atajifunza zaidi kwa kuwa yupo tayari kujifunza,yuefan hapa hitaji mbwembwe za ajabu pasipo goli
Tatizo tunamkuza sana kabla ya kufikia kiwango ,kiwior n uchochoro yule namna yake ya kukaba ni hatar sana anapenda mamikono na ile miguu yake illivyo ๐๐๐๐....
Humu kuna baadhi ya mashabiki akikuelezea wachezaj wa asenal wanawakuza kama vile malaika kumbe n wanadamu wenye morali tu
Alichokifanya saka anadhihirisha kuwa yeye bado anaumachachari tu na sio mahiri,afikishiwe ujumbe kuwa yuefa sio ligi kuu ya kujisahau sahau,ila hizi mechi mbili ya madrid na bayern bado mbichi.
Kwasasa wenye nafasi ya kuendelea mbele kulingana na rekodi n bayern na siti tu,madrid na asenali...
Kaka umekuwa mbele ya muda kuona madhara aiseee kipara akiwa juu tu ni kosa hilo,jamaaa utamfukuzaaaa mpaka anavaa medali ๐๐๐๐....kwa vita ya pale juu mtu hatari ni siti kwakuwa anaweza kupambana na adui mpaka dk za mwishoni.
Liva hatari yake inaletwa na upepo alionao sasa hivi....
Mechi ya...
Nafikiri ramsdale ukimhitaji aanzishe mashambulizi kadiri ya falsafa ya arteta mara nyingi lazima akuuze tu,ramsadale ni mzuri wa kubutuaaa mbele kama alivyocheza kipindi cha pili,mipira mingi amebutua tu na akaendeleza kuokokoa michomo
K
Kaka naamini ni mmoja ya watu unaelewa vizuri sana mambo ya karma na jinsi inavyofanya kazi.
๐๐๐....
Naam sababu ya kutokea jambo ni huyo aliyeruhusu na kadhalika kutotokea ni huyo pia.
Binadamu hukumu zetu zinaongozwa sana na nyakati zilizopita ila Mungu nafikiri anahukumu kwa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.