proisra
Umeandika meeengi kama huna ubongo vile. Sema mahakama ya kadhi ianzishwe ila ijigharamie yenyewe ingetosha. Ila ni kwanini ijigharamie yenyewe na inatoa huduma kwa wananchi? Ushani tibua na akili yako ndogo.
Kumbuka unachoamini ndio mwisho wako wa kufikiri. Binadamu hakuamini sikumoja atatembea mwezini akakomaa kujielimisha sasa hivi wanaitafuta Mars. Hakika elimu ya dini ni ngumu kuliko ubongo wa mwanadamu ulio ganda. Huamini, chunguza zaidi. Unaamini juelimishe zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.