Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Ni Cristiano.....
Messi ni zaidi! Licha ya kukaa nje muda mrefu bila kucheza, bado takwimu zake ziko vizuri tu
FIFA wamemsahau kabisa.Maradona....Badala yake wanamtukuza Pele...
But leo CR7 atamshinda tu huyo Messi.
Ni Cristiano.....
Hata sishangai, ilibidi apewe huyo zoba ili FIFA ijiepushe na lawama kutokana na ile kauli ya Blatter.
Upuuzi tu, kama safari ile walivyomnyima Sneijder, safari hii zawadi ya Ribery kapewa huyo mwanamitindo
Blatter na wala hongo wenzake wa FIFA wametuletea kioja kingine
World XI: Neuer; Alves, Thiago Silva, Ramos, Lahm; Iniesta, Xavi, Ribery; Ronaldo, Messi, Ibrahimovic.
The self-proclaimed greatest league in the world - the Premier League - has a grand total of zero representatives.
Hata sishangai, ilibidi apewe huyo zoba ili FIFA ijiepushe na lawama kutokana na ile kauli ya Blatter.
Upuuzi tu, kama safari ile walivyomnyima Sneijder, safari hii zawadi ya Ribery kapewa huyo mwanamitindo
Hata sishangai, ilibidi apewe huyo zoba ili FIFA ijiepushe na lawama kutokana na ile kauli ya Blatter.
Upuuzi tu, kama safari ile walivyomnyima Sneijder, safari hii zawadi ya Ribery kapewa huyo mwanamitindo
chezea uvumilivu wa hali ya juu..Cristiano kampiga Irina busu la Hatare....