CRISTIANO RONALDO For Ballon D'Or 2013

CRISTIANO RONALDO For Ballon D'Or 2013

Lastly the loooong wait...ule mda ambao ulisengenywa sana umewadia and the winner is....cr7.....
 
Ni Cristiano.....

Hata sishangai, ilibidi apewe huyo zoba ili FIFA ijiepushe na lawama kutokana na ile kauli ya Blatter.

Upuuzi tu, kama safari ile walivyomnyima Sneijder, safari hii zawadi ya Ribery kapewa huyo mwanamitindo
 
Hata sishangai, ilibidi apewe huyo zoba ili FIFA ijiepushe na lawama kutokana na ile kauli ya Blatter.

Upuuzi tu, kama safari ile walivyomnyima Sneijder, safari hii zawadi ya Ribery kapewa huyo mwanamitindo

Ribery wamemnyima tena dah!
 
hongera CR7 mpira wako ni wa jeshi la mtu mmoja.
 
Blatter na wala hongo wenzake wa FIFA wametuletea kioja kingine

World XI: Neuer; Alves, Thiago Silva, Ramos, Lahm; Iniesta, Xavi, Ribery; Ronaldo, Messi, Ibrahimovic.



The self-proclaimed greatest league in the world - the Premier League - has a grand total of zero representatives.

Huo ndo ukweli, EPL mpira wao magazetini.
 
Hata sishangai, ilibidi apewe huyo zoba ili FIFA ijiepushe na lawama kutokana na ile kauli ya Blatter.

Upuuzi tu, kama safari ile walivyomnyima Sneijder, safari hii zawadi ya Ribery kapewa huyo mwanamitindo

Mkuu fafanua hapo unataka kusema nini.?
 
Hata sishangai, ilibidi apewe huyo zoba ili FIFA ijiepushe na lawama kutokana na ile kauli ya Blatter.

Upuuzi tu, kama safari ile walivyomnyima Sneijder, safari hii zawadi ya Ribery kapewa huyo mwanamitindo

Pole sana!
 
I like the winning feeling so much....the whole world's eyes are on you at what time?? The winning time. ..so nice...am inspired by Cr7s hard work...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom